Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Tena pale Bakhresa ukienda interview kama hauitwi Salim au Saidi ujue hupati kazi...na Kama unaitwa John hata ukipata kazi, kwa jinsi utakavyobaguliwa haumalizi mwezi unaresign.
Sidhani kama kuna kampuni lenye itikadi za hivi kwa wakristo.
Hakunaga sisi tunawaajiri wote tu nawanakaa kwa raha
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hiyo inaitwa "Royal We" yaani respect and glorification na sii PLURAL au UWINGI.....

Majestically Allah anaposema "Tume.." au "We" ni respect and glorification of the CREATOR na wala siyo UWINGI....

Onyesha ufafanuzi ulioutoa kupitia maandiko ya Quran, au hayo ni maoni yako?

Hapo ndipo hoja ya kuwa utatu mtakatifu wa Wakristo unapopata nguvu Kwa Aya za namna hiyo.
 
Waislam huwa siamini kabisa kama kichwani wana akili.....huku Zanzibar kila kukicha vitoto kutwa nzima vipo madrasa, lakini kwenye mitihani ya kitaifa vikifeli wazenji utasikia "watanganyika wanafelisha kwa maksudi watoto wetu" wapumbavu sana hawa watu.
 
naona mna pekenyua ili muaminishe watu ukafiri wenu ila dini yahaki ni uislam kwingine niuasi mtupu.

Wala haihitaji kutumia nguvu kubwa kuku thibitishia wewe kafiri ambae Moto utakua malipo yako milele na milele
 
naona mna pekenyua ili muaminishe watu ukafiri wenu ila dini yahaki ni uislam kwingine niuasi mtupu. Wala haihitaji kutumia nguvu kubwa kuku thibitishia wewe kafiri ambae Moto utakua malipo yako melele na milele

Badala ujibu hoja zilizopo Kama upo mahakamani wewe unaleta upuuzi wa mihemko yako.

Unafikiri humu kila mtu anaamini kuna Moto wa milele?
Hapa vinavyojadiliwa ni vitabu, sio hayo maoni yako
 
Onyesha ufafanuzi ulioutoa kupitia maandiko ya Quran, au hayo ni maoni yako?

Hapo ndipo hoja ya kuwa utatu mtakatifu wa Wakristo unapopata nguvu Kwa Aya za namna hiyo.
Kwa wasioelimu ni sawa kwao kuamini hivyo unavyotaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Badala ujibu hoja zilizopo Kama upo mahakamani wewe unaleta upuuzi wa mihemko yako.

Unafikiri humu kila mtu anaamini kuna Moto wa milele?
Hapa vinavyojadiliwa ni vitabu, sio hayo maoni yako
unaweka hoja kwenye vitu ambavyo huvijui nyau wee
 
Kwa wasioelimu ni sawa kwao kuamini hivyo unavyotaka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo kwaajili yako mungu wa waarabu/Allah ili aonyeshe utukufu na nguvu zake ndio maana anatumia wingi katika kujieleza? 😀😀
Naomba usijibu swali hili maana najua huna maarifa nalo,

Nilikuuliza swali kwenye Uzi wa Jana, kabla Muhammad hajawa Mtume alikuwa anaabudu mungu yupi?
Hukunijibu,

Wakati bi. Khadija anaenda Kwa padri walaga unafikiri hapakuwa na vitabu vinavyosimulia habari za Kina Musa, Yesu, Yusuf, Daudi na Suleiman?

Maana ni kosa kubwa kudhani Muhammad ndiye mtu wa Kwanza kuzungumza visa vya Wayahudi ilhali vilikuwepo na yeye ni mtu wa Mbali mno kinasaba na kisimulizi Kwa habari za visa alivyosimulia.

Hujajibu hoja hata Moja, yaani Uzi huu bado hajatokea anayejibu hoja zilizotolewa, kila mmoja akija anakuja na mambo yake mapya ambayo hayajaletwa kwenye Baraza.
 
Bottom line ni kwamba awe mwislamu au mkiristo, bila kumpokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu tutakosa uzima ujao. Yeye pekee ndiye mwokozi wa kutuokoa na hukumu iliyoko mbele yetu na moto wa milele. Ukweli ndio huo hata tukipinga ni kazi bure tu maana alichoamua Mungu hakuna wa kupinga. Yesu ndiye amepewa vyote na Baba (Mungu) na ndiye pekee ambaye ni mwokozi wa roho zetu.

Someni maandiko yaliyo chini. Nimeona waislamu wengi tu wametokewa na Yesu Kristo na sasa wanahubiri injili ya kweli na wamekuwa wakifundisha vizuri tu bila kuwakwaza ndugu zao waislam na wanajaribu sana kuwaeleza kiheshima njia ya kweli. Tafuteni kwenye YouTube.

Maombi yangu ni kwamba tusibishane sana labda tumwombe Mungu atuonyeshe njia iliyo ya kweli.

Flp 2:10-11​

ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Yesu anajibu hivi: “Mimi ndiye njia na kweli na uzima.” Mtu anaweza kuingia katika nyumba ya Baba yake wa mbinguni ikiwa tu atamkubali Yesu, mafundisho yake, na kuiga maisha yake. Yesu anasema: “Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila kupitia kwangu.”—Yohana 14:6.

Yohana 3:16
16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Ufunuo wa Yohana 21:8
[8]Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

Maombi yangu ni kwamba wote mnaobisha kwa vitu msivyovijua, Mungu wa Mbinguni awape macho ya kuyaona haya na masikio ya kusikia kabla siku zako hazijaisha katika ulimwengu huu maana baada ya kifo ni hukumu na hakutakuwepo tena nafasi ya kutubu.

Ukiristo na Uislamu ni dini tu na tukiwa kwenye hizo dini zetu tupo wengi tunaendelea kutenda maovu na tumekuwa chukizo mbele za Mungu huku tukienda makinisani na misikitini.

Na hapo juu tumeona watendao maovu wote watakwenda kwenye moto wa milele.
 
Hivi Kwa akili yako kweli Mungu anahuo muda wa kuandika maandiko yote hayo ilhali mwanadamu anaweza kuandika?

Musa hakushushiwa Torati Bali alipewa torati/maneno kisha akayaandika mwenyewe.

Zingatia, Musa ni msomi aliyekulia jumba la kifalme. Hivyo anaelimu na Uelewa mkubwa Kwa wakati ule
Hahahaaa eti mungu ana huo muda... concept ya mungu kwako ikoje!?..yaani mungu ni nini kwako!?...muda ni wewe binaadam umeweka ili uhesabu
 
Bottom line ni kwamba awe mwislamu au mkiristo, bila kumpokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu tutakosa uzima ujao. Yeye pekee ndiye mwokozi wa kutuokoa na hukumu iliyoko mbele yetu na moto wa milele. Ukweli ndio huo hata tukipinga ni kazi bure tu maana alichoamua Mungu hakuna wa kupinga. Yesu ndiye amepewa vyote na Baba (Mungu) na ndiye pekee ambaye ni mwokozi wa roho zetu. Someni maandiko yaliyo chini. Nimeona waislamu wengi tu wametokewa na Yesu Kristo na sasa wanahubiri injili ya kweli na wamekuwa wakifundisha vizuri tu bila kuwakwaza ndugu zao waislam na wanajaribu sana kuwaeleza kiheshima njia ya kweli. Tafuteni kwenye YouTube.

Maombi yangu ni kwamba tusibishane sana labda tumwombe Mungu atuonyeshe njia iliyo ya kweli.

Flp 2:10-11​

ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Yesu anajibu hivi: “Mimi ndiye njia na kweli na uzima.” Mtu anaweza kuingia katika nyumba ya Baba yake wa mbinguni ikiwa tu atamkubali Yesu, mafundisho yake, na kuiga maisha yake. Yesu anasema: “Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila kupitia kwangu.”—Yohana 14:6.

Yohana 3:16
16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Ufunuo wa Yohana 21:8
[8]Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

Maombi yangu ni kwamba wote mnaobisha kwa vitu msivyovijua, Mungu wa Mbinguni awape macho ya kuyaona haya na masikio ya kusikia kabla siku zako hazijaisha katika ulimwengu huu maana baada ya kifo ni hukumu na hakutakuwepo tena nafasi ya kutubu.
Ukiristo na Uislamu ni dini tu na tukiwa kwenye hizo dini zetu tupo wengi tunaendelea kutenda maovu na tumekuwa chukizo mbele za Mungu huku tukienda makinisani na misikitini. Na hapo juu tumeona watendao maovu wote watakwenda kwenye moto wa milele.
Kwa hiyo yesu mungu au!?..palikua na haja gani mungu kumtoa mwanae wa pekee ili kituokoa!?...yeye mwenyewe hawezi kituokoa?
 
Hahahaaa eti mungu ana huo muda... concept ya mungu kwako ikoje!?..yaani mungu ni nini kwako!?...muda ni wewe binaadam umeweka ili uhesabu

Kwa hiyo Kwa akili yako Mungu aliandika torati au zaburi au Injili au hiyo Quran? Ndio akili yako inavyoelewa hivyo?

Kwa kukusaidia tuu. Nenda kasome Historia vizuri ya Religious figures na nyakati walizokuwa nazo Enzi hizo. Alafu ndio uje Hapa.

mungu wa Muhammad kabla hajapewa utume alikuwa akiitwa Nani?
Yaani Muhammad akiwa na miaka 39 Kurudi chini alikuwa anaabudu mungu yupi?

Je mungu aliyekuwa anaabudiwa na kabila la Muhammad kabla ya Muhammad hajapewa utume anaitwa Nani?
Fuatilia hiyo,
Kabla ya Muhammad hajawa Mtume ni Nabii gani katika kabila au taifa Lao alikuwepo kama reference ya Ibada zao?

Ni ipi dini ya Muhammad kabla hajaanzisha uislam?
Hapo ndipo Ulipo msingi wa Quran
 
Unahoja ipi?
Au unapangua hoja ipo Kati ya zilizoainishwa kwenye Uzi?
Nimemuonesha huyo alio weka aya ya maono ya daniel, ili aone bible ilivyo shikwa shikwa, ingeachwa kama ilivyo andikwa tusinge kuwa na mijadala kama hii
 
Kwa hiyo Kwa akili yako Mungu aliandika torati au zaburi au Injili au hiyo Quran? Ndio akili yako inavyoelewa hivyo?

Kwa kukusaidia tuu. Nenda kasome Historia vizuri ya Religious figures na nyakati walizokuwa nazo Enzi hizo. Alafu ndio uje Hapa.

mungu wa Muhammad kabla hajapewa utume alikuwa akiitwa Nani?
Yaani Muhammad akiwa na miaka 39 Kurudi chini alikuwa anaabudu mungu yupi?

Je mungu aliyekuwa anaabudiwa na kabila la Muhammad kabla ya Muhammad hajapewa utume anaitwa Nani?
Fuatilia hiyo,
Kabla ya Muhammad hajawa Mtume ni Nabii gani katika kabila au taifa Lao alikuwepo kama reference ya Ibada zao?

Ni ipi dini ya Muhammad kabla hajaanzisha uislam?
Hapo ndipo Ulipo msingi wa Quran
KUTOKA 31:18
mwenyezi mungu alipomaliza kuongea na Musa mlimani Sinai,alimpatia Musa vile vibao viwili vya mawe ambavyo yeye mungu aliviandika kwa mkono wake
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo![emoji3][emoji3]

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Umeandika pumba tupu ila tambua kuwa Hauna hoja za kupinga Aya za Quran iwe kwa kutumia Bibilia, Mahakamani au kwa kutumia akili yako ya kibinaadamu

Mimi nakujibu pumba yako Moja tu

YESU AMEZALIWA WAPI?

Hakuna andiko lolote katika Bibilia lililotaja sehemu alipozaliwa Yesu Yani (Lebor ya Yesu)

Luka 2 (KJV)
6 Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,
7 akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Hili andiko halisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la ngombo linasema amevikwa nguo akalazwa katika hori tena amelazwa hapo baada ya Mariam kukosa nafasi nyumba ya wageni inamaana wangepata nafasi nyumba ya wageni hapo katika hori la ngombo wasingefika

Yani kama hospital hapo katika hori ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kupumzika na watoto wao baada ya kutoka Labor

Sasa je Lebor ya Yesu ili kuwa wapi ? Kwa mujibu wa Quran Lebor ya Yesu ni chini ya Shina la mtende

Quran 19:23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

25.
Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.

Hamuna uwezo wa kuipinga Quran kwa hoja na ndio maana Allah aliwambia asiye itakata Quran na achukue kamba AJINYONGE
 
Back
Top Bottom