inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Al baqara 97 whoever is an enemy of Gabriel should know that he revealed this(Qur'an) to your heart by Allah's will, confirming what came before it, a guide and good news for the believersIfike wakati Tuwaambie tu Waislamu Ukweli... Tutadaiwa Roho zao huko mbele, Aliyeteremsha Quran ni SHETANI full stop,
huyo ndo adui wa Jibril. NO hadithi ni longo longo... labda kama wanampinga allahView attachment 2403211
Quran na uisilamu ni mfumo wa maisha na ni katiba na sheria unapoipeleka mahakamani unatumia Quran kuijudge ama man made laws?Kwema Wakuu!
Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.
Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?
Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;
Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.
Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;
1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.
Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.
Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.
Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.
2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.
Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.
Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.
4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?
Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.
5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu
Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.
6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.
Mbona Injili haujarudia visa,
Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.
Majaji mjadili Kwa hoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Naomba kama kweli ni mjuvi kama unavyojinasibu utoke kwenye GENERAL UENDE KWENYE SPECIF....Hhhhhhhhhhhh baada ya kukubana kule na hoja zetu ukakimbilia kuanzisha uzi wako hhhhhhhhhh
Maria Nyedetse amekukamata na hoja zake umemkimbia
Utata ni mwingi sana.Kwema Wakuu!
Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.
Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?
Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;
Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.
Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;
1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.
Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.
Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.
Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.
2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.
Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.
Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.
4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?
Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.
5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu
Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.
6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.
Mbona Injili haujarudia visa,
Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.
Majaji mjadili Kwa hoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
SASA BASI, kama kweli Injili ilitiwa MKONO, naomba mnijibu maswali yafuatayo.Tambua hamna biblia iliyosushiwa yesu kama unayo leta iyo imechukua vitabu vya torat na zaburi..na qur an ipo kweny series ya vitabu vya mungu lazima isadifu yaliyopita na kuendeleza taratibu za imma huu.
Mkuu binafsi huwa naheshimu sana maandiko yko mengi ila hili nimekushusha thamani mpk kwenye 0 kiukweli,yan mpk nimerud tena juu nihakiki kma ni kweli ndo wewe uliyeandika hv,sijaamini kma ndo wewe unaweza kuandika nonsense kma hv.Kwema Wakuu!
Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.
Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?
Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;
Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.
Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;
1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.
Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.
Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.
Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.
2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.
Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.
Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.
4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?
Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.
5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu
Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.
6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.
Mbona Injili haujarudia visa,
Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.
Majaji mjadili Kwa hoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
ILI IONEKANE UNASEMA KWELI... HEBU NJOO TUTHIBITISHIE HATA JINA "BIBLIA" KAMA LIPO POPOTE LILIPOANDIKWA NDANI YA BIBLIA.. ACHANA NA COVER...Kwema Wakuu!
Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.
Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?
Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;
Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.
Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;
1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.
Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.
Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.
Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.
2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.
Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.
Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.
4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?
Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.
5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu
Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.
6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.
Mbona Injili haujarudia visa,
Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.
Majaji mjadili Kwa hoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mimi simo, kwa kile unachokitafuta kwa bibi yetu wa JfKwema Wakuu!
Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.
Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?
Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;
Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.
Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;
1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.
Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.
Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.
Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.
2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.
Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.
Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.
4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?
Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.
5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu
Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.
6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.
Mbona Injili haujarudia visa,
Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.
Majaji mjadili Kwa hoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ifike wakati Tuwaambie tu Waislamu Ukweli... Tutadaiwa Roho zao huko mbele, Aliyeteremsha Quran ni SHETANI full stop,
huyo ndo adui wa Jibril. NO hadithi ni longo longo... labda kama wanampinga allahView attachment 2403211
Anatumia zaidi akili yake na utashi wake bila ya elimu ya hicho anachokiandikaMkuu binafsi huwa naheshimu sana maandiko yko mengi ila hili nimekushusha thamani mpk kwenye 0 kiukweli,yan mpk nimerud tena juu nihakiki kma ni kweli ndo wewe uliyeandika hv,sijaamini kma ndo wewe unaweza kuandika nonsense kma hv.
Hv unaijua Quran sawasawa mkuu?
Ulishawahi kuisoma vzr ukaielewa?
Unajua Quran ni nini na ni maneno ya nani?
Unajua Muhammad yale si maneno yake?
Unawafahamu walioiandaa hiyo bible?Unaelewa makusudio yao?
Yan leo umeandika kama mtoto wa std7 aisee.....Kaa chini usome Quran uelewe sio unakurupuka tu
Nimekuelewa sana hapo juu.Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
QURAN MAANA YAKE NI MASHAIRI YA KIARABU USHAHIDI HUU HAPAILI IONEKANE UNASEMA KWELI... HEBU NJOO TUTHIBITISHIE HATA JINA "BIBLIA" KAMA LIPO POPOTE LILIPOANDIKWA NDANI YA BIBLIA.. ACHANA NA COVER...
Mimi nilidhani kule pangoni alikuja Jibril, kumbe ni adui yake Ibris.Ifike wakati Tuwaambie tu Waislamu Ukweli... Tutadaiwa Roho zao huko mbele, Aliyeteremsha Quran ni SHETANI full stop,
huyo ndo adui wa Jibril. NO hadithi ni longo longo... labda kama wanampinga allahView attachment 2403211
Huyu jamaa kalewa kanywa mbege eti biblia aliona wapi kwenu vitabu vya mungu Kuna biblia😂😂😂
Kumbe ni mashairi ya kutungwa tu basi.QURAN MAANA YAKE NI MASHAIRI YA KIARABU USHAHIDI HUU HAPA
MAANA YA NENO QUR'AN TUNALIPATA HAPA CHINI
QUR'AN MAANA YAKE NI MASHAIRI YA KIARABU YENYE KUKARIRIWA NA MTU YEYOTE:
Qur'an 43:2 Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha
Ufafanuzi wake
Kiarabu kilichotumiwa ni Qur'ani ambayo inamaana ya mashairi ya Kiarabu yenye maana ya kusomwa kwa kukaririwa kirahisi*
القرآن 43: 2 أقسم بالكتاب الذي يوضح
تعريفه
اللغة العربية المستعملة هي المصحف الذي يعني الشعر العربي الذي يعني التلاوة بالتلاوة:
View attachment 2403241
Hoja yako ni dhaifu Mno na inaonesha ni kiwango gani usichojua unachokizungumza....Mume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana .
mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.
Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.
Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.
Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia
lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa
Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo mohammad aliyajua tu ( kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake.. maana ni mbali na uarabuni
Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni ambayo mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jiran zake
The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands, and only the plants and fruits that grow in that geography.”
Also Foods known in the Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…
Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the Arabian geography doesn’t indicated in the Qur’an?
Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .
Inshort prophet Mohammad had a dream
Nothing was going to stop him from making that dream come true…
He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one government.
Kuna ukweli, lakini ngoja waje wenyewe watoe majibu, maana wakali kama nyuki!Kwema Wakuu!
Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.
Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?
Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;
Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.
Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;
1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.
Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.
Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.
Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.
2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.
3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.
Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.
Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.
4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?
Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?
Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.
5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu
Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.
6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.
Mbona Injili haujarudia visa,
Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.
Majaji mjadili Kwa hoja.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam