Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua


Unajua uislam uliingia lini China?
Unajua wachina mungu wao anaitwa Nani?
 
YEHOVA NI LUGHA GANI SASA CHUKUA BIBLIA YA KICHINA UANGALIE KAMA WAMEANDIKA YEHOVA
MIMI NIKUULIZE WEWE KITABU ASILI CHENY LUGHA YA KIEBRANIA KIKO WAPI MAANA HUMO NDIO KUNA JINA HALISI LA MUNGU
 
Hakuna Mtume wala nabii ambaye hakiwa Muislamu, wote walikuwa Waislamu.

Leo hii Yesu akija atawashangaa sana na Ukristo wenu hakuacha Ukristo Yesu.
Acha kudanganya kijana

Mnaposema maana ya Uislamu ni kumnyenyekea Mwenyezi Mungu mmoja, unapaswa kuthibitisha kwamba, Je! Mungu anaetajwa na Yesu Kristo, Je! ndiye Mungu wenu anaehusika na Uislamu???

Luka 10:22 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.

Yesu anatueleza kwamba, Mungu yeye ni Baba yake, Je! Mungu wenu ndani ya Quran yeye ni Baba wa Yesu hata awe muislamu??
 
Kuhusu mfumo kamili wa maisha ...Quran ....Leo nimekukamilishieni dini yenu, na kukutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni uislamu uwe dini Yenu...(5:3)..
😂😂😂 Alie andika Koran alikuwa mjinga Sana , yupo surah ya 5 alafu anasema kakamilisha dini 😂😂😂🤣
 
Kitu ambacho kinanithibitishia kabisa kuwa, Yesu Kristo hajawahi kuwa Muislamu, ni kauli ya MUHAMMADI, yeye anasema.

وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ

(AZZUMAR – 12)
Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.

قُلْ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

(AZZUMAR – 13)
Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi.

Hapo [https://s0] MUHAMMADI anasema kwamba, yeye ameamrishwa awe wa kwanza wa Waislamu, na akathibitisha kuwa yeye ni muislamu wa kwanza

لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ

(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Sasa ikiwa MUHAMMADI aliyekuja miaka 570 baada ya Yesu, anasema yeye ni muislamu wa kwanza, ni vipi Yesu aliyetangulia awe muislamu??? ikiwa MUHAMMADI ni muislamu wa kwanza, Yesu Kristo, ni muislamu wa ngapi???
 
Yohana 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;

Yohana 17:2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
 
Unajua uislam uliingia lini China?
Unajua wachina mungu wao anaitwa Nani?
Nikurekebishe kidogo.

Imani au dini ndio zina Mungu na miungu.
Wabudha, Wayahudi, Waislamu, Wahindu, Wafreemasons nk. Ndio wana miungu au Mungu.

Katika Wachina kuna Wakristo, Waislamu, Wabudha nk. Na wanaabudu Mungu na miungu mbali mbali.
 
kama haujui Kuanzia Adam mpaka nabii Muhammad wote walikuwa kitu kimoja
Kitu ambacho kinanithibitishia kabisa kuwa, Yesu Kristo hajawahi kuwa Muislamu, ni kauli ya MUHAMMADI, yeye anasema.

وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ

(AZZUMAR – 12)
Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.

قُلْ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

(AZZUMAR – 13)
Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi.

Hapo [https://s0] MUHAMMADI anasema kwamba, yeye ameamrishwa awe wa kwanza wa Waislamu, na akathibitisha kuwa yeye ni muislamu wa kwanza[https://s0]

لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ

(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Sasa ikiwa MUHAMMADI aliyekuja miaka 570 baada ya Yesu, anasema yeye ni muislamu wa kwanza, ni vipi Yesu aliyetangulia awe muislamu??? ikiwa MUHAMMADI ni muislamu wa kwanza, Yesu Kristo, ni muislamu wa ngapi???
 
😂😂😂 Alie andika Koran alikuwa mjinga Sana , yupo surah ya 5 alafu anasema kakamilisha dini 😂😂😂🤣
TUCHUNGE SANA MIDOMO YETU HAYA TUNAYOYAANDIKA IPO SIKU TUTAYAKUTA KWA MUUMBA WETU SISI SIO CHOCHOTE ILA NI VIUMBE DHAIFU SANA KWAHY USISEME KILE USI HOKUWA NA ELIMU NACHO USIJE UKAJUTIA MBELENI
 
Nikurekebishe kidogo.

Imani au dini ndio zina Mungu na miungu.
Wabudha, Wayahudi, Waislamu, Wahindu, Wafreemasons nk. Ndio wana miungu au Mungu.

Katika Wachina kuna Wakristo, Waislamu, Wabudha nk. Na wanaabudu Mungu na miungu mbali mbali.

Ndio maana namuambia kuwa kila jamii inamungu wake Mkuu na miungu.
Huyo Allah na Yahwe ni Mungu Kwa jamii za hapo mashariki wakati

Ila Allah kaiba content za Manabii wa Yehova. Akampa Muhammad muarabu
 
Biblia haitufundishi kuwa Yesu alikuwa Mwislamu inatuambia Yesu ni mwana wa Mungu soma (Mathayo 3;16-17,Yohana 17;1,8;54,)aidha Tunafundishwa kuwa Bwana Yesu ndiye mwanzilishi wa kanisa katika Mathayo 16;18 anasema

“Nitalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu haitalishinda”

Yesu aliyasema hayo kabla Muhamad hajazaliwa wala uislamu haujaanza aidha ufunuo wa Yohana sura ya pili yoote Yesu anazungumza na kanisa na anatofautisha na sinagogi. Hivyo Kanisa limeanzishwa na Bwana. Maadui wakubwa wa waislamu ni mayahudi Surat al maida 5;82 na Yesu alikuwa myahudi leo Mujahidina wanasemaje Yesu alikuwa Mwislamu?

Na Quran inasema maadui zao ni wayahudi na biblia inasema Yesu alikuwa Myahudi soma (Yohana 4;9).
 
mungu Allah alikuwa anamshushia pedophile ruhusa ya dhambi tena anamsifia kabisa
Kula house girl kamsifia
Kula mateka wa vita kamsifia
Kula katoto kakaa kimya ka Aisha kakaliwa
Akasema wanawake wakajitoe pedophile apige anavyotaka bila ndoa , katoto Aisha kakawa kanalalamika na kuona kinyaa
Kuua ,kubaka mwisho akasema Muhammad nampa leseni ya dhambi zote
 
Hakuna Mtume wala nabii ambaye hakiwa Muislamu, wote walikuwa Waislamu.

Leo hii Yesu akija atawashangaa sana na Ukristo wenu hakuacha Ukristo Yesu.
Biblia haitufundishi kuwa Yesu alikuwa Mwislamu inatuambia Yesu ni mwana wa Mungu soma (Mathayo 3;16-17,Yohana 17;1,8;54,)aidha Tunafundishwa kuwa Bwana Yesu ndiye mwanzilishi wa kanisa katika Mathayo 16;18 anasema “Nitalijenga kanisa langu wala milango ya kuzimu haitalishinda”Yesu aliyasema hayo kabla Muhamad hajazaliwa wala uislamu haujaanza aidha ufunuo wa Yohana sura ya pili yoote Yesu anazungumza na kanisa na anatofautisha na sinagogi. Hivyo Kanisa limeanzishwa na Bwana.

Maadui wakubwa wa waislamu ni mayahudi Surat al maida 5;82 na Yesu alikuwa myahudi leo Mujahidina wanasemaje Yesu alikuwa Mwislamu? Na Quran inasema maadui zao ni wayahudi na biblia inasema Yesu alikuwa Myahudi soma (Yohana 4;9).
 
Mungu ni aliye umba mbingu na nchi ndio maana Torati imeandika.

Kumbukumbu la Torati 5:7 Usiwe na miungu mingine ila mimi.

Hapo hapaja andikwa
Miungu wengine bali
miungu wengine

Hakuna jina la Miungu, bali
miungu
Umeelewa lakini nilichokimaanisha

Hakuna amri hapo huo ni Uandishi tu ndugu ..au lugha ni jinsi gani inaelekeza iwe hasa hizo Nomino, hiyo miungu lazima utaifanya midogo haina tija kwako kutokana na kuamini kwako, Huyu huyu anaebudu Ng'ombe si atasema huyo ni Mungu wake na siyo ..mungu ila kwa upande wako au wangu ni vice-versa

Hapo natumaini umeelewa vyema.
 
TUCHUNGE SANA MIDOMO YETU HAYA TUNAYOYAANDIKA IPO SIKU TUTAYAKUTA KWA MUUMBA WETU SISI SIO CHOCHOTE ILA NI VIUMBE DHAIFU SANA KWAHY USISEME KILE USI HOKUWA NA ELIMU NACHO USIJE UKAJUTIA MBELENI
Acha uoga wa hivyo,
Hawa jamaa Haijalishi ni Arabu au West people walio zieneza hizi Dini zote hapa ndipo walipowini

The purpose of Believes Ndio hiki kutengeneza hofu ndani yako ilihali wao wanapiga hatua kubwa huko waliko

Asee pia jaribu kufuatilia mambo kiundani zaidi Upeo wako usifungwe kwa kitu kimoja tu ulichokikuta....
 
Apa unaonekana kabisa unabishana sio mtu wa fact.. nenda kapitie vitabu vyote alafu urudi kwa style hii utashindwa kuwaelewa watetezi wa pili,

Kwani injili haijabeba simulizi za watu kabla ya yesu? Na kama imebeba je ni nani alisimulia ? Na kulikua na maana gani yakusimulia ?

Ni lipi dhumuni la muandishi wa bible kuunganisha vitabu vya manabii tofauti tofauti kwanini asiandika injili tu ili kwenda sawa na generation yake?

Je wayahudi wa kipindi cha yesu walitumia kitabu gani kati ya torat na zaburi? au viliunganishwa vyote? Na kama viliunganishwa kiliitwa kitabu gani?

Wayahudi wa sasa wanaizungumzia vipi bible ?

Kama yesu alikuwa myahud inamaana alitaka kubadilisha taratibu na sheria za dini ya uyahud kwakuwachomekea injil na tunajua kabisa uyahudi ilikua dini ya kweli ya Mungu

Kama yesu hakuwa myahudi alikua dini gani? Na kwanini alipigwa vita na wayahud wakati jewesh walisimama na vitabu vya mungu tunavyovijua?

Im curious lengo langu nikujifunza


Tatizo icho kichwa cha uzi hakiendani na maswala ya kiimani kinaxalisha mabishano tunashindwa kujifunza mambo mengi
 
Kwa Hilo Akili hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…