Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Wewe ndio unabisha kuwa Arabuni haijapokea ufunuo thibitisha hoja Yako bac usikane bila sababu toa sababu tuione

Hivi wewe Uelewa wako katika kuandika upo chini eeh!

Nabii Isaya hapo anapokea Ufunuo juu ya Arabuni, na sio kuwa kutakuwa na ufunuo utakaoshushwa arabuni.

Kwa mfano;
Isaya 13:1
Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.
Isaya 13:2
Haya! Juu ya mlima usio na miti inueni bendera, wapazieni sauti zenu, wapungieni mkono, kwamba waingie katika malango ya wakuu.

Huo ni ufunuo aliopewa Nabii Isaya kuhusu Babeli ambayo ni Iraq ya leo.
Ulisikia kuna Nabii kutoka jamii ya Wamedi/wairaq?

Embu jiongeze.
 
Heeeh huo ni utabiri Kwa mamb yajayo Kwa kipindi kile Cha nabii Isaya usidanganye watu kaka
 

Huyo ni Kuhani wa Kiyahudi hayo ndio mavazi Yao.
Dini ya kiyahudi ndio ipo hivyo.
Na ndio tunasema Quran imeiba na kufanya plagiarism katika Aya za kiyahudi na kuunda Quran.

Alafu anayeagiza hayo mavazi ni Mungu WA kiyahudi aitwaye Yehova, sio Allah mungu wa waarabu.

Wapi hauelewi.
Lazima uelewe hayo maelezo anayatoa Nani? Kama ungeulizwa mahakamani ungejibu anayeongea hapo ni Allah?
 

MBN UNAHAMISHA MADA SASA JIBU SWALI LANGU LILE USINITOE KWENYE MCHEZO
 
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.

Isaya 21:13
 
Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Wewe unajua kiswahili kweli Kuna sehemu hapo imeandikwa amezaliwa katika hori ya kulia ng'ombe?

Au kuvikwa nguo na kulazwa ndio kuzaliwa?

Andiko lako linasema mtoto amelazwa katika hori sio kuzaliwa tena amelazwa hapo baada ya Mariam kukosa nafasi nyumba ya wageni Ina maana angepata nafasi nyumba ya wageni hapo katika hori asingefika hapo ni sehemu ya kupumzika ( warding)

Toa andiko linalosema Lebor ya Yesu ilikuwa wapi?
 
Heeeh huo ni utabiri Kwa mamb yajayo Kwa kipindi kile Cha nabii Isaya usidanganye watu kaka

Ninyi Waislam hamna mnachojua mambo ya unabii Kwa sababu hamjui historia ya Dunia.
Huo unabii wa Nabii Isaya ulitimia hata kabla ya Yesu kuzaliwa,

Yesu kazaliwa kwenye utawala wa Roma, unabii wa Isaya kuhusu Babeli umetumia nyakati za utawala wa Mfalme Nebukadreza mkaldayo mpaka Dario Mmedi/Muiraq.

Biblia imeandikwa Kwa mlolongo Kwa kufuata nyakati na tawala za dunia.
Quran haujui hata historia ya Dunia imekaaje.
Sio ajabu hata wasomaji wake hawajui historia ya Dunia.

Mtu akisoma Biblia hata kama hajaenda shule anaijua dunia ilipotoka. Kwa sehemu
 
Quran imeelezea vitabu ambavyo tayari vilikuwepo.
Jipya la Quran ni lipi?
Au hujui kila kitabu kinalengo lake kuu?
Kwanza inatakiwa ujue vitabu vyote vilivo shuka ni Qur'an pekee ndio kitabu kisicho na shaka yeyote na huwez badili neno at a moja ili kupata maana yako na huwez kuhusisha neno moja na kipande kingine iliilete maana ni WAP biblia imejithibitishaa?
 

Unajua Yesu alizaliwa muda gani?
Huo muda aliozaliwa Yesu ungemruhusu azaliwe kwenye mtende?

Biblia na manandiko yapo wazi, hori la ng'ombe ni zizi la ng'ombe na ndipo Mariam alipomzalia huyo Mtoto Yesu.

Haya niambie Quran imesema Yesu alizaliwa Mkoa gani? Au kazaliwa Dar es salaam?
 
Kwanza inatakiwa ujue vitabu vyote vilivo shuka ni Qur'an pekee ndio kitabu kisicho na shaka yeyote na huwez badili neno at a moja ili kupata maana yako na huwez kuhusisha neno moja na kipande kingine iliilete maana ni WAP biblia imejithibitishaa?
Muhama kaiba maandiko mpaka ya wapagani , kaiba mpaka fairy tale story za wayahudi, kama zile Suleiman anapaa na zulia mara kaongea na siafu
 
HUJAJIBU HOJA NAONA TU KULALAMIKA SIJAONA HOJA
 
Muhama kaiba maandiko mpaka ya wapagani , kaiba mpaka fairy tale story za wayahudi, kama zile Suleiman anapaa na zulia mara kaongea na siafu
WAISLAMU NA MANABII WALIOPITA HATUNA SHIDA KABISA NYIE SASA
 
Kwanza inatakiwa ujue vitabu vyote vilivo shuka ni Qur'an pekee ndio kitabu kisicho na shaka yeyote na huwez badili neno at a moja ili kupata maana yako na huwez kuhusisha neno moja na kipande kingine iliilete maana ni WAP biblia imejithibitishaa?

Shaka lazima iwepo Kwa watu wenye Uelewa wa Historia ya Dunia?

Nakuuliza Swali Kama Quran haina Shaka yoyote,
Waisrael Kwa mujibu wa Quran walichukuliwa utumwani mara ngapi?
Kwa mujibu wa Quran Yesu alizaliwa wakati WA utawala wa Nani au taifa gani?

Kwa mujibu wa Quran, elezea Kwa mtirirko wa mataifa yaliyotawala Dunia kabla ya Muhammad?

Kwa mujibu wa Quran, eleza ni Mungu yupi aliyekuwa anaabudiwa na Muhammad?

Ukijibu hayo na yaliyokuwa kwenye Andiko langu utaona sio tuu Quran inashaka ndani yake Bali ni kitabu kilichojaa plagiarism
 

Huyo anayeongea hapo ni yehova sio Allah.
Sijui Kama unaelewa.
 
Kuna tofaut Surat maryam aya ya 22 ad 35 yesu au isaa kazaliwa chini ya mtendee
 
Kuna tofaut Surat maryam aya ya 22 ad 35 yesu au isaa kazaliwa chini ya mtendee

Weka hiyo Aya hapa ili watu wote wasome ili wajionee tofauti Kwa macho Yao huku Mimi nikionyesha hizo tofauti.

Huko juu nimeshaeleza kuwa Quran haijui Yesu alizaliwa Mkoa gani, bila Shaka hata tabia ya nchi ya eneo husika wasijue ikoje na inasapoti aina gani ya mimea.
 
Muhama kaiba maandiko mpaka ya wapagani , kaiba mpaka fairy tale story za wayahudi, kama zile Suleiman anapaa na zulia mara kaongea na siafu
Thibitisha kwa ayaa tuone ni wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…