Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #901
Jibu liko wazi
Allah alishindwa kujua swala lepesi , starehe kwenye kupiga machine ni tuzaane , na hapa ndio napigilia msumari Muhammad alikuwa anatunga na kuunga unga na kuiba maandiko ya watu1.kuhusu Peponi Kupewa Wanawake Mabikra.Peponi Ni Sehemu Ya Starehe Sio Sehemu Ya Kula Mikate Na Divai tu.Hata Adam Licha Ya Kuwa Na Kila Kitu Kwenye Bustani Ya Eden Mungu Aliona Bado Ni Mpweke Hvo Akampa Hawa(Eva).Allah Kawaahidi Watu wa Peponi Vitu Ambavyo Macho Hayajawahi Ona,Wala Maskio Kusikia,Wala Akili Kufikiri.Kama Ndo Ingekuwa Mm Nimeahidiwa Pepo Ya Kuabudu Kula Mikate Na kunywa Divai Si Bora Nibaki Duniani.Starehe Kubwa Ni Mwanamke Katika Hii Dunia.Peponi Ni Sehemu Ya Starehe Kwa Hiyo wanawake Watakuwepo Peponi.Na Tutafanya Nao Mapenzi Na Sio Kuzini Kwan Tayar Mungu Anakuwa Kukahalalishia.
😀😀😀 Huu mjadala ushakuwa mzito kwako Mkuu. Nakushauri nenda Kwa mwalimu wako WA diniSoma isaya 42:8 hyo ni mungu wa bibilia anavo jitambulisha
Mimi nataka kuuliza hicho kipengele cha kupewa wanawake 72 kule katika Pepo ya Waislamu.Allah alishindwa kujua swala lepesi , starehe kwenye kupiga machine ni tuzaane , na hapa ndio napigilia msumari Muhammad alikuwa anatunga na kuunga unga na kuiba maandiko ya watu
Bora KUABUDU jiwe kuliko liallahWew unamuabudu nani?
[emoji16][emoji16]tulia watu tupo kuswaliMimi nataka kuuliza hicho kipengele cha kupewa wanawake 72 kule katika Pepo ya Waislamu.
Je kutakuwa na kuzaliana watoto na hao Bikra 72.
Au itakuwa ni swala la kustarehe nao tu hao Bikra 72 ?
Safi sana nilitaka wa2 wajue hyu yehova ni nani apo umetupa somo zuri LA yehova sasa swali duniani kuna mungu wangap maana hats yehova kwenye Quran limesemwa ila ni kwa luga ya kiarabu likiwa na man a ya huu😀😀😀 Huu mjadala ushakuwa mzito kwako Mkuu. Nakushauri nenda Kwa mwalimu wako WA dini
Isaya 42:8
Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.
Msikilize Musa maana Hakuwa mjinga, anajua anaongea na Mungu lakini anamuuliza huyo Mungu jina lake,
Kutoka 3:13
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
Kutoka 3:15
Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.
Mungu anaendelea huku Sura ya 6 ya kutoka
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
ASA we huna mungu c atuelimishani hvo APA atupo kupotosha MTU type hoja sehem flan soma tuambie na sisi tuabudu jiwe kama huna fact tuliaBora KUABUDU jiwe kuliko liallah
Dhumuni la kupiga machine ni kuzaa , Allah alishindwa kuelewa hilo,[emoji16][emoji16]tulia watu tupo kuswali
Paradise is not a place for reproduction
Ibaki tu tuamini kuwa tutapewa mabikra 72 tuwashughulikie iyo ndo moja wapo katika starehe ambazo tumewekewa wazi na inafikirika japo kuwa mambo hayatakuwa kama uku duniani hakuna mkongo kule yani ni kula tu watoto wazuri... Kuna mtu hapendi hii kitu ?
Nyie mtaendelea kusifu na kuabudu sisi mtuache tukale mabikra kila mtu apewe anachoamini[emoji28][emoji28]
Unaweza Kuta ni jiwe la maccaS
ASA we huna mungu c atuelimishani hvo APA atupo kupotosha MTU type hoja sehem flan soma tuambie na sisi tuabudu jiwe kama huna fact tulia
Yusuf Israel miak 147Kama Quran imetimia embu tuambie
Wahusika hawa Kwa mujibu wa Quran walizaliwa wapi? Wakaishi na kufa wakiwa na miaka mingapi?
Musa,
Yusufu
Ibrahimu
Daudi,
Suleiman
Yakobo
N.k.
Kama kweli unataka kitabu cha Quran kitumike Kama rejea kuu
Koran imeshindwa kutoa majibu?Yusuf Israel miak 147
Ibrahim Iraq miaka 1000 ilio pita kwa mujib wa hadithi
Daudi miaka 200
Yakubu 180 Iraq
Suleiman 100 Iran
Tofautisha kati ya Quran ilikuja na lengo LA kujua mungu sio kumjua nani ana miaka mingap kaishi WAP hayo utayakuta kwenye vitabu vingine vya hadithi za mitume na maisha yao huwez kuta katiba ya Tanzania ukakuta na maisha ya viongoziKoran imeshindwa kutoa majibu?
Muhammad alikuwa ana copy tu character anawapachika haweki taarifa za kutoshelezaTofautisha kati ya Quran ilikuja na lengo LA kujua mungu sio kumjua nani ana miaka mingap kaishi WAP hayo utayakuta kwenye vitabu vingine vya hadithi za mitume na maisha yao huwez kuta katiba ya Tanzania ukakuta na maisha ya viongozi
Kwa mujibu wa uelewa wako mdogo ila kama utatumia akili utajua kuwa ukiachana na kuzaa kupiga machine ni starehe una level gani kwanza ya elimu kijana?Dhumuni la kupiga machine ni kuzaa , Allah alishindwa kuelewa hilo,
Hakuna kitu kama hicho apo atujakupiga maswali tukikupiga maswali ndani ya bble hutokiMuhammad alikuwa ana copy tu character anawapachika haweki taarifa za kutosheleza
Tuliache , kama Allah alishindwa kuelewa embryology, na hili lilimshindaKwa mujibu wa uelewa wako mdogo ila kama utatumia akili utajua kuwa ukiachana na kuzaa kupiga machine ni starehe una level gani kwanza ya elimu kijana?
Unashindwa kutumia akili ya kawaida ingekuwa dhumuni ni ilo basi kusingekua na menstrual circle kwa upande wa wanawake ingekua kipindi chochote ukipiga machine anapata mimba au wangekuwa kama wanyama yani wanapata joto kipindi flani tu alafu kipindi kingine hawawezi kutiana lakini tofauti yani kipindi cha kushika mimba ni kifupi kuliko cha kustarehe, waulize wanawake kwani hawapati utamu siku ambazo sio za hatari??
Hivi unajua tokea umeandika huu Uzi hadi Sasa hilo andiko linalosema Yesu amezaliwa katika hori la ng'ombe haujalitoaWakili WA Quran naona unatangatanga, hujui hata unachokieleza!
Haya eleze kwa mujibu wa Quran sababu ipi ilimfanya Mariam azaliwe kwenye Mtende kama ilivyoeleza.
Alafu Mimi Wakili WA Biblia nakuwekea sababu za Yesu kuzaliwa Kwenye Hori la ng'ombe.
Soma;
Luka 2:4
Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi, Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa mbari na jamaa ya Daudi;
Luka 2:5
ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.
Luka 2:6
Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,
Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Biblia inajieleza wazi hapo,
Sio kwamba Mariam na Yusufu walifika Bethlehem alafu siku huyohuyo uchungu ukampata Mariam, isipokuwa Walikuwa katika kukaa huko Bethlehem, yaani wakukaa zaidi ya siku moja.
Usitake kuniambia Mariam na Yusufu hawakujua kuwa siku za kujifungua mtoto zimefika, huo utakuwa ni uongo.
Ndio maana eneo walilolipata ambalo ni kwenye Zizi la ng'ombe walikuwa wameliandaa Kwa dharura yoyote endapo ungejitokeza Mariam akajifungua.
Hata Yesu alizaliwa usiku, na Nyota ndio iliyowaongoza Mamajusi(wanajimu na wachungaji wa Kondoo waliokuwa porini) kufika usiku huohuo mahali alipozaliwa Yesu.
Embu tuambie Quran inatoa sababu ipi ya Yesu kuzaliwa Kwenye mtende?
Wakati Mariam anajifungua Yusufu alikuwa wapi?
Maana Quran inaeleza kuwa Mariam alikuwa mwenyewe.
Its true ingawa Alexanda mkuu ametajwa kwenye quran kama DhurkanainUna hoja tena nzito
Halafu Biblia ni kitabu chenye historia hata ya Ulimwengu wote
Mtu Kama Sir Isack Newton alichambua kitabu Cha Daniel vizuri Sana
Kupitia Biblia unakutana na Unabii wa Tawala za Alexander mkuu, vitu Kama hivi huwezi kukuta kwenye Quran
Kitu kingine ambacho nakipenda kwenye Biblia ,mfano kitabu Cha ufunuo kimetabiri kabisa Super power atakuwa U.S.A,
Miaka ya 80-90 ,watu walikuwa hawaamini Biblia inapotabiri mnyama wa 2 ambaye Ni U.S.A kuwa atakuwa Super power ,wakiangalia USOVIET USSR ilivyokuwa na nguvu .
Lakini Leo Nani atabisha U.S.A Sio Super power?
USSR ilisambaratishwa
Biblia ni kitabu kitamu Sana , Nimesoma Quran Sana tu ni kitabu hakieleweki, kinajichanganya, hakina Tumain lolote kwa mwanadamu
Nina shuhuda Zaidi ya 10000 za Biblia Ni kitabu Cha Mungu wakweli.
Aisee iacheni Biblia tu, Ni vile matapeli Kama mwamposa ,n.k wanaitumia vibaya kutapelia,
Lakini Biblia ina maajabu mengi sana