Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Aiseeh ni hatari sana hakika.[emoji16][emoji16]tulia watu tupo kuswali
Paradise is not a place for reproduction
Ibaki tu tuamini kuwa tutapewa mabikra 72 tuwashughulikie iyo ndo moja wapo katika starehe ambazo tumewekewa wazi na inafikirika japo kuwa mambo hayatakuwa kama uku duniani hakuna mkongo kule yani ni kula tu watoto wazuri... Kuna mtu hapendi hii kitu ?
Nyie mtaendelea kusifu na kuabudu sisi mtuache tukale mabikra kila mtu apewe anachoamini[emoji28][emoji28]
Ila msahafu upoHuyu jamaa kalewa kanywa mbege eti biblia aliona wapi kwenu vitabu vya mungu Kuna biblia[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimba ya kwenye Koran ilitimiza miezi 9 auHivi unajua tokea umeandika huu Uzi hadi Sasa hilo andiko linalosema Yesu amezaliwa katika hori la ng'ombe haujalitoa
Umeatoa andiko linalosema amevikwa nguo akalazwa katika hori la ng'ombe tena wameenda hapo katika hori baada ya kukosa nafasi nyumba ya wageni
Kwahiyo huko nyumba ya wageni Mariam alipokosa nafasi alienda na mimba?
Sasa kama upo Mahakamani unaambiwa toa ushahidi wa andiko linalosema Yesu amezaliwa katika hori la ng'ombe badala yake wewe unatoa andiko linalosema Yesu amevikwa nguo akalazwa katika hori la ng'ombe huo ushahidi utapokelewa ?
Umekutana na kitu kizito ulikuwa hujui kuwa mnaposema Yesu amezaliwa katika hori la ng'ombe mnadanganyana
Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ngβombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
Kama unalo andiko linalosema Yesu amezaliwa katika hori la ng'ombe toa
Ila ukweli ni kwamba Yesu amezaliwa chini ya Shina la mtende na ushahidi huu apa
Quran 19:23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!
24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!
Quran :25.
Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.
Msahafu umeandikwa wapiILI IONEKANE UNASEMA KWELI... HEBU NJOO TUTHIBITISHIE HATA JINA "BIBLIA" KAMA LIPO POPOTE LILIPOANDIKWA NDANI YA BIBLIA.. ACHANA NA COVER...
Koran huwezi kuitumia kama rejea , inataja majina tu haikupi maelezo ya kutoshaTofautisha kati ya Quran ilikuja na lengo LA kujua mungu sio kumjua nani ana miaka mingap kaishi WAP hayo utayakuta kwenye vitabu vingine vya hadithi za mitume na maisha yao huwez kuta katiba ya Tanzania ukakuta na maisha ya viongozi
Mtajua hamjuiAiseeh ni hatari sana hakika.
Ni mwendo wa kudinya tu huku pembeni ikikatisha mito ya Asali, Maziwa na Divai iliyochachuka.
Patachimbika [emoji28][emoji28][emoji28]
Msahafu ni neno lenye maana ya kitabu kikubwa, Quran ni Quran haiitwi msahafu ewe punguani mbumbumbu usiye na elimuIla msahafu upo
Sasa unamiini kitabu gani kati ya hvo viwili maana Quran imekusanya yote kuanzia kwa musa ad kwa Muhammad imetoka injili ikaja Quran nyie MNA bibliaKoran huwezi kuitumia kama rejea , inataja majina tu haikupi maelezo ya kutosha
Unakuta yakobo anaitwa yakobo mara ghafla anakuwa Israel na wala hakuna maelezo ilikuwaje jina likabadilika
Story kama ya Musa ipo scattered kwenye surah mbali mbali , mara Allah asema waisrael walirith misri Yani full kujichanganya
Mbona wagumba na matasa hawazai na wanapigana mashine!!..Hilo boga lako juu ya shingo halina faidaDhumuni la kupiga machine ni kuzaa , Allah alishindwa kuelewa hilo,
Kwani Malaika wanateseka ? Hakuna zawani kubwa kama kutokuwa na humans needs, humans needs ni mateso , sasa nyie ndo zawadi zenu , dudu kudisa milele, kunywa pombe , kula ndizi mbivu( Yani hii inachekesha Muhammad aliona ndizi ni ya muhimu kwa sababu alikiwa jangwani), kula maini ya nyangumi , kunywa chai ya tangawizi ππππMtajua hamjui
Sisi tumewekewa wazi mambo yetu yani ukizingua adhabu unaipata ukifaulu unakula bata
Ndo tofauti ya sisi na nyie yani nipate tabu apa duniani alafu niende front nikaimbe mapambio hii approach mbona yakinyonge sana mababu zenu waliwezaje kushawishika na hii mbona haisound good..
Lakini sishangai yani ukisikiliza sala na maombi ya wakristo wengi wanaomba mafanikio ya hapa duniani wakati huo wazee wa kobazi sisi tunadeal na life after death kila mtu aende na tiketi yake na hiyo package ya bikra 72 kuwapata sio kizembe ina maelezo yake msichojua [emoji16]
Kwahiyo Yesu ni mwana wa Daudi ?Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Sasa umeshasema mgumba πππ wewe mfuasi wa pedophile vipi, bila starehe ya ngono hakuna mtu angejisumbua kuzaliana , na tena siku yai linatoka ndio hamu inazidi , hii ilmu Allah alinyimwaMbona wagumba na matasa hawazai na wanapigana mashine!!..Hilo boga lako juu ya shingo halina faida
Isa ni ndugu na Amram na Haruni?Kwahiyo Yesu ni mwana wa Daudi ?
[emoji28][emoji28] ungepata mtu ambaye angekuelewesha vizuri swala la embryology kwa mujibu wa quran ungetafuta weakness nyingine yani mascholar wakubwa wa upande wako wenye uadui mkubwa na quran wamelishindwa ilo wameliacha sio kama wewe tia maji tia maji ambaye huna misingi istoshe washikaji zako waislam na mnaishi poa tu huwezi kuleta hoja za msingi utajikanyaga sana na material ya googleTuliache , kama Allah alishindwa kuelewa embryology, na hili lilimshinda
Onesha/toa andiko kazaliwa hori la ng'ombe,acha kurukarukaMimba ya kwenye Koran ilitimiza miezi 9 au
Mbona limeshawekwa andiko , ungejibu Isa mimba yake ilitimiza miezi 9?Onesha/toa andiko kazaliwa hori la ng'ombe,acha kurukaruka
Wagumba wanapigana mashine hawapigani!?..Sasa umeshasema mgumba πππ wewe mfuasi wa pedophile vipi, bila starehe ya ngono hakuna mtu angejisumbua kuzaliana , na tena siku yai linatoka ndio hamu inazidi , hii ilmu Allah alinyimwa
Yusuf Israel miak 147
Ibrahim Iraq miaka 1000 ilio pita kwa mujib wa hadithi
Daudi miaka 200
Yakubu 180 Iraq
Suleiman 100 Iran
Unajua attlest kwako tunapata kitu tofaut na wengine huo ni mujibu wa hadithi uku kwetuπππ
Daah! Mkuu
Naomba nikuache maana umetoa kichekesho, alafu naona umeamua kufurahisha mahakama
Kuna RAIA apo ad sahv ajui WAP yupo akae kwa Quran au Bibleπππ
Daah! Mkuu
Naomba nikuache maana umetoa kichekesho, alafu naona umeamuyupia kufurahisha mahakama