Embu toa ilmu ya embryology inasema Kuna mda Kuna mifupa tupu ndani ya mji wa uzazi π[emoji28][emoji28] ungepata mtu ambaye angekuelewesha vizuri swala la embryology kwa mujibu wa quran ungetafuta weakness nyingine yani mascholar wakubwa wa upande wako wenye uadui mkubwa na quran wamelishindwa ilo wameliacha sio kama wewe tia maji tia maji ambaye huna misingi istoshe washikaji zako waislam na mnaishi poa tu huwezi kuleta hoja za msingi utajikanyaga sana na material ya google
Mbona limeshawekwa andiko , ungejibu Isa mimba yake ilitimiza miezi 9?
Limewekwa na nani!?..weka hapa wewe tulione kwamba Maryam uchungu ulimkuta kwenye hori la ng'ombe akazaa hapoMbona limeshawekwa andiko , ungejibu Isa mimba yake ilitimiza miezi 9?
Hapa mahakamani inayojadiliwa na Quran na Biblia sio kitabu au hadithi nje ya hivyo.Unajua attlest kwako tunapata kitu tofaut na wengine huo ni mujibu wa hadithi uku kwetu
Toa yakoEmbu toa ilmu ya embryology inasema Kuna mda Kuna mifupa tupu ndani ya mji wa uzazi π
Umebakiza kujichekesha tuπππ
Daah! Mkuu
Naomba nikuache maana umetoa kichekesho, alafu naona umeamua kufurahisha mahakama
APA kwa mahakamani ni Quran inakua kama shahid wa mwisho kesi iishe maana utofaut umekuja APA kwa isa au yesu na Muhammad awaa wa2 wawili ndio kuna kituHapa mahakamani inayojadiliwa na Quran na Biblia sio kitabu au hadithi nje ya hivyo.
Embu kuwa kama upo mahakamani Mkuu
Hapa pia Kuna Boko Moja la Hatari. Yakobo yupo hata Musa alikuwa si mwenye kutajwa, halafu unasema Yakobo akamzaa Yusufu, Yusufu alikuwa mumewe Mariamu aliye mzaa Yesu. Wakristo mkiitwa wajinga mkasirike.ΒΉβΆ Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
Embryology ya Allah[emoji28][emoji28] ungepata mtu ambaye angekuelewesha vizuri swala la embryology kwa mujibu wa quran ungetafuta weakness nyingine yani mascholar wakubwa wa upande wako wenye uadui mkubwa na quran wamelishindwa ilo wameliacha sio kama wewe tia maji tia maji ambaye huna misingi istoshe washikaji zako waislam na mnaishi poa tu huwezi kuleta hoja za msingi utajikanyaga sana na material ya google
Kila siku nawaambia laiti kama mngekuwa mnahakiki maandiko yenu. Asingesalia Mkristo hata mmoja.Kizazi kimoja ni miaka 100
Kuanzia ibrahimu mpaka yesu ni miaka 4200
Kijana hapa hakuna Chain aliyo andika kijana. Labda kama hamjui maana ya Chain, Chain lazima iungane, chain yenu imekatika. Yesu hawezi kuwa mwana wa Daudi na kadhalika Yesu hawezi kuwa mtoto Yusu ambaye ni mtoto wa Yakobo.Asante sana.
Tunamwomba na huyo Kisai, atuwekee chaini ya mtume wake Muhammadi.
Chein ya Uzao toka Ibrahimu hadi Muhammadi. Kama ulivyo tuonesha wewe. Tujue kumbe naye ni wa Uzao wa Ibrahimu.
Maana Mungu wa Ibrahimu alimuahidi Ibrahimu kuwa Manabii wote watatoka katika Uzao wa Ibrahimu
Mwanzo 17:6
Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako.
Kwako Kisai,
Tatizo lako ni kwamba unaona hizo starehe hazikufai wewe ila kiukweli izo starehe zina run hii dunia usizungumzie kabisa habari za mitungi yani mpaka watu wanaimba, kula ndizi tutaweka kwenye kundi la matunda japo kuwa matunda yalitajwa ni mengi mengi sijui kwanini imeku touch ndizi[emoji16], kula nyama ni bonge moja la starehe we mwenyew unaelewa ukija kwenye kutiana apo ndo kabisaa alafu ivo vitu vyote umevitaja kwenye pepo yetu haviwi kama vya duniani yani kama pombe hailewesh, mwanaume ataongezewa nguvu yani mambo yatakua on fire[emoji91]Kwani Malaika wanateseka ? Hakuna zawani kubwa kama kutokuwa na humans needs, humans needs ni mateso , sasa nyie ndo zawadi zenu , dudu kudisa milele, kunywa pombe , kula ndizi mbivu( Yani hii inachekesha Muhammad aliona ndizi ni ya muhimu kwa sababu alikiwa jangwani), kula maini ya nyangumi , kunywa chai ya tangawizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Embryology ya Allah
Damu inaganda (dead blood) alafu ipo ndani ya mwanamke.
Damu iliyoganda inabadilika kuwa pande la nyama! Pande la nyama linabadilika linakuwa mifupa tupu alafu mifupa inakuja tena kuvalishwa nyama dah!
Kwan mwenzetu sayansi gan ambayo imekuzaa ya Allah au ya nani maana umezaliwa na mwanamke ndio ukatoka au uumbaji wako uko wa kitofaut na sisi ulishuka tuu Allah ni mjuz wa mambo apo huna jibuEmbryology ya Allah
Damu inaganda (dead blood) alafu ipo ndani ya mwanamke.
Damu iliyoganda inabadilika kuwa pande la nyama! Pande la nyama linabadilika linakuwa mifupa tupu alafu mifupa inakuja tena kuvalishwa nyama dah!
Uzi wake upo nenda kule kuna watu wamejitahidi kukueleweshaEmbu toa ilmu ya embryology inasema Kuna mda Kuna mifupa tupu ndani ya mji wa uzazi [emoji23]
Hii topic usimfungulie umu anajua kwakuipata tatizo hawasomi hoja kwakujifunza ni basi tu ilimradi abishaneWew
Kwan mwenzetu sayansi gan ambayo imekuzaa ya Allah au ya nani maana umezaliwa na mwanamke ndio ukatoka au uumbaji wako uko wa kitofaut na sisi ulishuka tuu Allah ni mjuz wa mambo apo huna jibu
Haruni alikuwepo zama za Isa. Kadhalika Kuna Haruni wa Musa.Isa ni ndugu na Amram na Haruni?
πππ Embu toa majibu kwa kutumia KoranHaruni alikuwepo zama za Isa. Kadhalika Kuna Haruni wa Musa.
Kazi yangu nimemaliza.πππ Embu toa majibu kwa kutumia Koran
Ha..ha...ha.Mtajua hamjui
Sisi tumewekewa wazi mambo yetu yani ukizingua adhabu unaipata ukifaulu unakula bata
Ndo tofauti ya sisi na nyie yani nipate tabu apa duniani alafu niende front nikaimbe mapambio hii approach mbona yakinyonge sana mababu zenu waliwezaje kushawishika na hii mbona haisound good..
Lakini sishangai yani ukisikiliza sala na maombi ya wakristo wengi wanaomba mafanikio ya hapa duniani wakati huo wazee wa kobazi sisi tunadeal na life after death kila mtu aende na tiketi yake na hiyo package ya bikra 72 kuwapata sio kizembe ina maelezo yake msichojua [emoji16]
πππ Uwe serious kwenye debate, nimekuomba madai Yako uweke rejeaKazi yangu nimemaliza.
Hakuna Alie weza na hakuna uthibitisho wa kisayansi kwamba Kuna stage mtoto anakuwa mifupa tupuUzi wake upo nenda kule kuna watu wamejitahidi kukuelewesha