Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Rudia kusoma hoja yangu, soma mpaka mwisho kisha utaelewa kuwa sijatoka nje ya mada husika.

Usipoelewa basi kichwa chako kitakuwa kigumu sana.
Rudi post number moja soma ,alafu pangua hoja moja baada ya nyingine
 
Wewe uliyeshinda unatumia biblia ipi kutuelezea hapa ?
Umepewa uhuru wa kutumia biblia unayoitaka ujibu swali , naona hutaki tena uhuru unataka utajiwe alafu badae tena uje uikatae

Tumia unayotaka jibu swali
 
Umepewa uhuru wa kutumia biblia unayoitaka ujibu swali , naona hutaki tena uhuru unataka utajiwe alafu badae tena uje uikatae

Tumia unayotaka jibu swali
Hiyo ndiyo biblia unayotumia ? Wacha kuharisha ,
 
Ndiyo biblia uliyotumia hiyo ?
Kinachokutatiza wewe Kati ya biblia 1000 tumia moja , au tumia ata 100 huje ujibu
Unaenda kwenye swali moja baada la lingine unajibu

Unasema tu nimetumia biblia hii na najibu
Mbona simple Sana 😂
 
Kinachokutatiza wewe Kati ya biblia 1000 tumia moja , au tumia ata 100 huje ujibu
Unaenda kwenye swali moja baada la lingine unajibu

Unasema tu nimetumia biblia hii na najibu
Mbona simple Sana 😂
Ndiyo biblia uliyotumia hiyo ?
 
Back
Top Bottom