Waislamu wanakutegemea unawaangusha ,Aya hizo unazipata biblia ipi ?
Sema kanisa lako usione aibu please
😳 hapa kwenye mafuta cjaelewa anamaanisha utelezi auMithali 21:17 Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye mvinyo na mafuta hatakuwa tajiri.
Aya hizo unazipata biblia ipi ?
Sema kanisa lako usione aibu please
Ndilo kanisa lako hilo? Na aya ya biblia iliyokuwa plagiarized ndiyo hiyo?Waislamu wanakutegemea unawaangusha ,
Umepewa uhuru wa kutumia biblia unayotaka wewe na kanisa unalotaka wewe hutaki huo Uhuru, nimekupa biblia moja utumie umekataa , unaruka ruka kama ngedere
Umeshikika pabaya
Umeshapewa kanisa na biblia , Aya pangua hojaNdilo kanisa lako hilo? Na aya ya biblia iliyokuwa plagiarized ndiyo hiyo?
Kwa hivyo wewe hutumii BHN Bible?Hiyo ndio itaondoa hoja nilizozitoa?
Ikiwa ndivyo, ngoja nikujibu,
Biblia; KJV King James Version
Kanisa; Seventh Day Adventist church.
Haya pangua hoja za Kule juu.
Kwani wewe hujahi kupakwa mafuta hadi unashangaa hivi.[emoji15] hapa kwenye mafuta cjaelewa anamaanisha utelezi au
Ameahakupa anayotumia , sasa pangua hoja zakeKwa hivyo wewe hutumii BHN Bible?
Wewe ndiye Robert?Umeshapewa kanisa na biblia , Aya pangua hoja
Wewe ndiye Robert?Ameahakupa anayotumia , sasa pangua hoja zake
Kwa hivyo wewe hutumii BHN Bible?
Sasa nakuuliza ,wewe unatumia biblia ya QJV ?Natumia Ila niliyonayo ni KJV
Sasa nakuuliza ,wewe unatumia biblia ya QJV ?
Mimi nilitaka kujuwa unatumia au hutumii? Kwa hivyo kama unatumia QJV ina maana unaamini ni maneno ya Mungu au vipi?Ndio natumia,
Hivi unajua hizo Version zinamaanisha nini?
Hata Mimi nikienda kutafsiri Biblia itakayotoka
Itaitwa Taikon Bible Version TBV
Tatizo mkiambiwa muende shule hamtaki.
Hata Quran ukiitafsiri kuja Kiswahili wanaotafsiri wanaweza kusema hiyo ni version ya Sheikhe Fulani ili kui-label na ku-appreciate kazi yake.
Hapo ndio utajua tofauti ya watu wenye akili na watu wajinga.
Nakushauri hakikisha watoto wako unawapeleka shule za uhakika wasome mpaka vyuo vikuu ili wasiwe wajinga Kama wewe babayao
Mimi nilitaka kujuwa unatumia au hutumii? Kwa hivyo kama unatumia QJV ina maana unaamini ni maneno ya Mungu au vipi?
Nimekusikia sasa jibu swaliWazazi wako walivyokupeleka shule wewe ulikuwa unarukia madirishani, sasa laana zao ndio hizi unakuja kujidhalilisha humu.
Somo la Kiswahili Kidato cha tatu au cha nne kuna Mada inaitwa "Utafsiri na ukalimani"
Kasome hiyo topic au mtafute mwanafunzi WA madarasa huyo akuelezee.
Maana unawatia aibu wenzako
Ungejibu hoja ya muuliza swali , wewe tumia biblia uliyonayo sema uliyonayo ni ipi na Haina alichosema mtoa mada unaweka na rejea unamaliza kaziNimekusikia sasa jibu swali
Wewe umesema unaitumia QJV , jee unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu ?
Nimekusikia sasa jibu swali
Wewe umesema unaitumia QJV , jee unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu ?
Jibu swali langu,Nakupa mfano, kama wewe na shule ni paka na panya.
mfano Kitabu kina title isemayo "money is a source of evil"
Alafu Juma akatafsiri hiyo title " pesa ni chanzo cha maovu"
Rashid akatafsiri hiyo title " Hela ni chanzo cha ushetani"
Peter akatafsiri hiyo title " hela ni kitovu cha ushenzi"
Alafu Amina akatafsiri hiyo title " Pesa ni mzizi wa mabaya"
Haya Kwa Uelewa wako utaamini title ya Juma na hautaamini Title ya Amina?
Hivyo ndivyo swali lako jinsi lilivyo.
Mwisho, Rudi shule Kwanza ukapate walau elimu ya Msingi ili watoto wako angalau wajivunie kuwa na Baba mwema, lakini kama utaendelea hivi nakuhakikishia hata mkeo atakudharau
Nimekusikia sasa jibu swaliUngejibu hoja ya muuliza swali , wewe tumia biblia uliyonayo sema uliyonayo ni ipi na Haina alichosema mtoa mada unaweka na rejea unamaliza kazi