Sizungumzii kuwa navyo vitabu vyengine au kuvisoma bali nazungumzia hiki kitabu tunachokikusudia hapa cha biblia ambacho watu walikaa na kuamua ni kipi kiwemo humo na kipi tusikiweke humo, sasa ukiniambia kuwa Yesu alikuwa nacho hicho kitabu cha biblia na alikisoma inakuwa ndio ndio mtu wa kwanza kukusikia.Alikuwa nacho, sema Hakuwa na kitabu cha Injili aliyoileta yeye.
Ila vitabu vingine alikuwa navyo na alivisoma na kuvihubiri kila alipopata Wasaa.
Zingatia Biblia ni mkusanyiko wa vitabu/maandiko matakatifu.
Unajivua nguo , nenda kasome ujue maana ya verse,
Umeshindwa kuleta original Yako , maana yake iliyopo ndio original
Inajulikana wazi kuwa Biblia ni kitabu cha wakristo wala sio wayahudi, sasa usitake kulazimisha wengine waamini waliyoyaweka wakristo kwenye kitabu chao cha biblia kama wenyewe mnaamini humo kuna maandiko halisi ya Torat Zaburi na Injili basi hiyo ni imani yenu ila kwa wengine hivyo vitabu havipo tena kwenye uhalisia wake.Biblia ipo wazi Kabisa kuwa ni mkusanyiko wa maandiko matakatifu ya Wayahudi. Sio kitabu kimoja ili kiwe cha mtu mmoja.
Na hoja yangu ndio ipo hapohapo Kwa upande wa Quran,
Quran imeiba vitabu na wahusika wa vitabu vya kiyahudi alafu Mtume anasema ni visa vyake(rejea Kauli yako uliyosema Muhammad kitabu chake ni Quran) wakati ndani ya Quran kuna visa kibao ambavyo sio vyake. Hiyo ndio hoja ya Msingi.
Kauli yako inathibitisha hoja za Uzi huu kuwa Muhammad alifanya wizi na forgery
Ni Sawa Mimi nichukue kisa cha kitabu cha Mzee mwingi, kisha nichukue kisa cha Mzee Nyerere, kisha nichukue kisa cha Mzee Mkapa, kisha nichukue kisa cha Mzee mengi alafu niunde kitabu niseme hicho kitabu ni changu bila kutoa Credit sehemu nilipochukulia visa hivyo . Huo ni Wizi.
Na ninatakiwa nishtakiwe Kwa wizi.
Unajua mambo ya Hatimiliki?
Alikuwa nacho, sema Hakuwa na kitabu cha Injili aliyoileta yeye.
Ila vitabu vingine alikuwa navyo na alivisoma na kuvihubiri kila alipopata Wasaa.
Zingatia Biblia ni mkusanyiko wa vitabu/maandiko matakatifu.
Nikikujibu unasema hapa hatuzungumzi ishu ya kuamini wakati hivyo vitabu vyewe unavyovizungumzia hapa ni vitabu vya imani, hebu tupaweke sawa kwanza hapa.
Chengine jaribu kuelewa kwamba shida hapa ni kitabu cha wakristo biblia chenye makorokoro kibao na mengine hawakuyaweka walifanya upendeleo wa kuamua kipi waweke humo na kipi wasiweke, sasa kitabu kama hicho ndio unataka waislamu waamini au kukubali kwamba ndani yake et kuna maandiko halisi ya Torat ,Zaburi na Ijili na hayajatiwa mkono hapo ndio kwenye tatizo.
Na kwamba huyu Mungu wanaye muamini wakristo kwamba ni Mungu wa utatu kwamba sijui ana mwanae mara sijui alikufa na kufufuka et ndio Yehova wa kwenye Torat Zaburi na Injili hapo ndipo tunapopishana.
Inajulikana wazi kuwa Biblia ni kitabu cha wakristo wala sio wayahudi, sasa usitake kulazimisha wengine waamini waliyoyaweka wakristo kwenye kitabu chao cha biblia kama wenyewe mnaamini humo kuna maandiko halisi ya Torat Zaburi na Injili basi hiyo ni imani yenu ila kwa wengine hivyo vitabu havipo tena kwenye uhalisia wake.
Narudia tena kuwa hivyo vitabu vinatambulika kwenye Qur'an vimetajwa na waislamu huviamini, ila waislamu hawaamini biblia.
Sizungumzii kuwa navyo vitabu vyengine au kuvisoma bali nazungumzia hiki kitabu tunachokikusudia hapa cha biblia ambacho watu walikaa na kuamua ni kipi kiwemo humo na kipi tusikiweke humo, sasa ukiniambia kuwa Yesu alikuwa nacho hicho kitabu cha biblia na alikisoma inakuwa ndio ndio mtu wa kwanza kukusikia.
Suala la utatu kuwa kwenye biblia au halipo huo ni mjadala mwengine ila point ni kwamba wakristo wanaamini utatu na wakristo hao hao ndio wanasema wanamuamini Yehova na kumfanya kuwa ni Mungu wa wakristo na hiivyo Yehova amehusishwa na utatu kwa imani za wakristo, napozungumzia wakristo nazungumzia watu au waumini wenye kitabu cha biblia.Biblia haina kitu kinachoitwa utatu.
Nashangaa badala ya kujadili Biblia Kama Biblia unajadili Wakristo.
Unajua mambo ya kimahakama yanavyojadiliwa?
Biblia Mungu wake ni Yehova kuanzia mwanzo mpaka ufunuo.
Na hakuna kitu kinaitwa utatu ndani ya Biblia.
Kama uliwahi kukiona unaweza kuweka huku kama reference.
Suala la utatu kuwa kwenye biblia au halipo huo ni mjadala mwengine ila point ni kwamba wakristo wanaamini utatu na wakristo hao hao ndio wanasema wanamuamini Yehova na kumfanya kuwa ni Mungu wa wakristo na hiivyo Yehova amehusishwa na utatu kwa imani za wakristo, napozungumzia wakristo nazungumzia watu au waumini wenye kitabu cha biblia.
Yehova hawezi kuwa wa biblia kwa sababu hakuna huo ushahidi wa Yehova kukitambua hicho kitabu cha biblia, kitabu kimejaa makorokoro ya kila aina na mengine yalikataliwa kuwekwa bila sababu za msingi na watu tu kisha ndio mkihusishe kitabu hicho na Yehova?
Suala la utatu kuwa kwenye biblia au halipo huo ni mjadala mwengine ila point ni kwamba wakristo wanaamini utatu na wakristo hao hao ndio wanasema wanamuamini Yehova na kumfanya kuwa ni Mungu wa wakristo na hiivyo Yehova amehusishwa na utatu kwa imani za wakristo, napozungumzia wakristo nazungumzia watu au waumini wenye kitabu cha biblia.
Yehova hawezi kuwa wa biblia kwa sababu hakuna huo ushahidi wa Yehova kukitambua hicho kitabu cha biblia, kitabu kimejaa makorokoro ya kila aina na mengine yalikataliwa kuwekwa bila sababu za msingi na watu tu kisha ndio mkihusishe kitabu hicho na Yehova?
Mpaka Mtume anakufa Qur'an ilikuwa teyari ishakamilika watu waliihifadhi kichwani na wengine waliandika kwenye mawe huko lakini ilikuwa teyari, kilifanyika baadaye ni kuikusanya sehemu moja na kuandikwa hivyo hakukuwa na huo uchaguzi wa sura ipi tuamuwe tuiweke na ipi tusiweke. Ila kwenye kuunda kitabu cha biblia watu walikaa na kuamua kuchagua kipi kiwepo kwenye biblia na kipi kisiwepo na kuweka na mambo mengine halafu wewe unakuja kusema et Yesu alisoma hicho kitabu!Hata Quran watu walikaa wakaamua Sura ipi ikae wapi kwenye Quran unayoisoma hiivi leo.
Mpaka mtume anakufa hapakuwa na kitabu kiitwacho Quran.
Kwa hiyo watu kukaa na kuamua kipi kikae wapi Hilo sio kosa Kwa sababu hicho ni kitabu cha kibinadamu, kimeandikwa na wanadamu na Kwa ajili ya wanadamu.
Hivyo hiyo sio hoja.
Wewe ndio huelewi kuwa hivyo ni vitabu vya imani huwezi kuvitoa hapo, ndio maana hata wewe umeaminishwa kwamba kwenye biblia kuna Torat halisi kitu ambacho ni imani tu na ndio huwa mnasema kimeandikwa kwa msaada wa Roho mtakatifu pale mnapojaribu kutetea makosa yaliyo kwenye biblia.Sijui ni kwamba akili yako ni ndogo inashindwa kuelewa au vipi.
Nimekuambia hapa hatujadili kile watu wanachoamini au kukisema, Bali tunajadili kitabu cha Biblia na Quran.
Hata Mimi ninaweza kuanzisha Dini yangu Kwa kutumia kitabu kimoja wapo hapo iwe mi Biblia au Quran.
Hivyo lolote nitakalosema au kuamini haliwezi kuchukuliwa maanani mahakamani Kwa sababu Mahakama hazipo kwaajili ya mitazamo au Imani ya mtu.
Mpaka Mtume anakufa Qur'an ilikuwa teyari ishakamilika watu waliihifadhi kichwani na wengine waliandika kwenye mawe huko lakini ilikuwa teyari, kilifanyika baadaye ni kuikusanya sehemu moja na kuandikwa hivyo hakukuwa na huo uchaguzi wa sura ipi tuamuwe tuiweke na ipi tusiweke. Ila kwenye kuunda kitabu cha biblia watu walikaa na kuamua kuchagua kipi kiwepo kwenye biblia na kipi kisiwepo na kuweka na mambo mengine halafu wewe unakuja kusema et Yesu alisoma hicho kitabu!
Wewe ndio huelewi kuwa hivyo ni vitabu vya imani huwezi kuvitoa hapo, ndio maana hata wewe umeaminishwa kwamba kwenye biblia kuna Torat halisi kitu ambacho ni imani tu na ndio huwa mnasema kimeandikwa kwa msaada wa Roho mtakatifu pale mnapojaribu kutetea makosa yaliyo kwenye biblia.
Biblia ni kitabu cha imani huwezi kubadili hilo.
Sisi tuliosoma Sheria, kati ya vyanzo vya sheria yaani. Source of Customary Laws.Nipe maandiko nukuu hata kwenye Quran hayo maelezo yako. Kwamba Quran ilikuwa tayari Muhammad kuwa hai.
Alafu ukimqliza, msikilize Yesu akisoma chuo cha Nabii Isaya;
Luka 4:17
Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
Luka 4:19
Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa.
Luka 4:20
Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.
Maandiko yenyewe ya Isaya ni haya
Isaya 61:1
Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.
Isaya 61:2
Kutangaza mwaka wa BWANA uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;
Ukiwa mahakamani Unatakiwa uwe na vielelezo vinavyothibitisha maneno yako.
Yesu alisoma Biblia, na wewe mwenyewe umejionea.
Sasa nitakuuliza swali,
Kitabu/chuo cha Nabii isaya hakipo kwenye Biblia au kipo?
Basi kama ni hivyo pia kubali kwamba Qur'an ni kitabu cha Yehova kwa sababu ndani ya Qur'an kuna maandiko ya kwenye Torat (ambayo unasema Qur'an imeiba).Elimu kweli ni muhimu Sana.
Embu nitajie Mungu wa hawa watu
Ibrahim
Esau
Yakobo
Yusufu
Musa
Daudi
Suleiman
Yona
Yesu n.k.
Hao ndio main character wa vitabu vyote vilivyomo kwenye Biblia, na wote mungu wao ni mmoja, iweje useme huyo mungu sio mungu wa kwenye hiyo Biblia?
Embu nitajie mungu wa HAO watu ili tumjue, nukuu kitabu chochote cha Torati, Zaburi au Injili hata usipoihusisha Biblia.
Sisi tuliosoma Sheria, kati ya vyanzo vya sheria yaani. Source of Customary Laws.
Mojawapo ni amri Kumi za Musa za kwenye Torati iliyoko ndani ya Biblia
Ni sheria za mwanzo kabisa kutumika na Binadamu.
Mahakamani watathibitisha kwa vitabu vya Sheria na kurejea kwenye Biblia na kuthitisha kuwa ni kweli.
Kwani wewe unaelewa nini unaposikia kitabu cha imani? Mbona unataka tubishane pasina ulazima,Biblia ni kitabu cha Imani Kwa walio na Imani.
Biblia ni kitabu cha watawala Kwa watawala.
Biblia ni kitabu cha taaluma Kwa wanaosoma teolojia.
Kuna mtu anachukua shahada ya falsafa katika teolojia anasoma Biblia sio Kwa sababu ya Imani Bali Kwa sababu ya Fani na taaluma yake.
Fikiri kama msomi usiwe Kama mtu ordinary
Basi kama ni hivyo pia kubali kwamba Qur'an ni kitabu cha Yehova kwa sababu ndani ya Qur'an kuna maandiko ya kwenye Torat (ambayo unasema Qur'an imeiba).
Nimekwambia Mungu wanayemuamini wakristo ni Mungu wa utatu na wakristo ndio wenye kitabu chao biblia na ndio maana pamoja na kudai kwamba kwenye hiyo biblia yao kuwa et kuna Torat,zaburi na injili ila pia kuna mafundisho mengine yenye kuwahusu wenyewe wenyewe wakristo yote yapo humu. Sasa kiujumla utasemaje hicho kitabu ni cha Yehova au kwamba Mungu wake ni Yehova.