Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

ndio ni nguvu zake Mungu!!!Mungu mwenyewe Kama binadamu!!!👌
Wwe Nikuulize uko sure unamwamini Nani huyo Allah???
Allah wa Muhammad,Muhammad mtenda thambi yote!!na akaandika uongo kwenye Quran!!!akijisifia yye na miungu ya Waarabu!!👀
Ndivyo aya livyosema

Hizi ni nguvu zake Mungu Kama binaadamu zinalia Elloi Elloi Lamma sabbakhtani ?
 
Ndivyo aya livyosema

Hizi ni nguvu zake Mungu Kama binaadamu zinalia Elloi Elloi Lamma sabbakhtani ?
ndio sababu alikuwa afe Kama sisi,askie uchungu Kama sisi na afufuke arudi Binguni👌Lazima angelilia Babake kwasababu ni kuonesha heshima yeye alikuwa mwanadamu saa hizo na nguvu za Mungu zaweza ingia mahali popote ata kwa mtoto anayezaliwa!!!👌na kwasababu alikuwa mwanadamu sahizo lazima angetuonesha example ya kuomba msamaha,iyo ndio kitu alikuja kutuonesha kwa dunia👌
 
Back
Top Bottom