inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kunakili maana yake nini!?Thibitisha alikuwa kiziwi
Onesha moja niliyotukanaKila post wewe hutukana Allah, Muhammad na waislam
mwenyewe si aliikuta Bibilia???ama???ata kabla Babake hajazaliwa Bibilia ilikuwa imeandikwa👌We mkenya Muhammad hakujua kusoma Wala kuandika,atanakili vipi!?
Swali ni wewe uthibitishe alikuwa kiziwiKunakili maana yake nini!?
Sina haja Wala siwajibiki,lakini hakuna asiyejua Hilo hapaOnesha moja niliyotukana
Kunakili maana yake kuandika vilevile Kama ilivyoandikwa pahala fulaniSwali ni wewe uthibitishe alikuwa kiziwi
Biblia imeandikwa lini!?mwenyewe si aliikuta Bibilia???ama???ata kabla Babake hajazaliwa Bibilia ilikuwa imeandikwa👌
Bibilia ilianza kuandikwa miaka mingi kutoka siku ya Adam and Eve👌ata siku ya Musa!Biblia imeandikwa lini!?
Swali dogo Sana unarukaruka , Muhammad alikuwa kiziwi?Kunakili maana yake kuandika vilevile Kama ilivyoandikwa pahala fulani
Ndivyo aya livyosemandio ni nguvu zake Mungu!!!Mungu mwenyewe Kama binadamu!!!👌
Wwe Nikuulize uko sure unamwamini Nani huyo Allah???
Allah wa Muhammad,Muhammad mtenda thambi yote!!na akaandika uongo kwenye Quran!!!akijisifia yye na miungu ya Waarabu!!👀
Kwa hiyo Kama alikuta!?mwenyewe si aliikuta Bibilia???ama???ata kabla Babake hajazaliwa Bibilia ilikuwa imeandikwa👌
Ndivyo biblia yako ilivyoandikwa maneno hayo?Bibilia ilianza kuandikwa miaka mingi kutoka siku ya Adam and Eve👌ata siku ya Musa!
Quran iliandikwa lini???👀
Ukiziwi hauhusiani na kunakili,ni swali lililo nje ya madaSwali dogo Sana unarukaruka , Muhammad alikuwa kiziwi?
Miaka mingi ndiyo mwaka gani?Bibilia ilianza kuandikwa miaka mingi kutoka siku ya Adam and Eve👌ata siku ya Musa!
Quran iliandikwa lini???👀
Swali dogo SanaUkiziwi hauhusiani na kunakili,ni swali lililo nje ya mada
HakuwaSwali dogo Sana
Muhammad alikuwa kiziwi?
ndio sababu alikuwa afe Kama sisi,askie uchungu Kama sisi na afufuke arudi Binguni👌Lazima angelilia Babake kwasababu ni kuonesha heshima yeye alikuwa mwanadamu saa hizo na nguvu za Mungu zaweza ingia mahali popote ata kwa mtoto anayezaliwa!!!👌na kwasababu alikuwa mwanadamu sahizo lazima angetuonesha example ya kuomba msamaha,iyo ndio kitu alikuja kutuonesha kwa dunia👌Ndivyo aya livyosema
Hizi ni nguvu zake Mungu Kama binaadamu zinalia Elloi Elloi Lamma sabbakhtani ?
Jibu zuriHakuwa
MatamshiJibu zuri
Koran ilikuwa inatoka kwa muhammad kama maandiko au matamshi?
tangu kabla ya mapharau👌bado hujaniambia Quran pia iliandikwa lini???Miaka mingi ndiyo mwaka gani?