Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Quran inasadifuje yaliyopita? Kwa ushahidi upi?
Biblia imetungwa kwa kuongeza na Kupunguza Torati na Injili..Sawa naomba uniwekee hapa hizo Torati, zaburi na Injili original ili nihakikishe kama madai yako ni ya kweli au uongo.
😂😂😂Nakuja sasa kukukamata je biblia wapi mungu kasema alishusha kitabu kinaitwa bible? Ukijibu naslimu hapa hata umleta papa wapo wa Italy.
 
Quran na uisilamu ni mfumo wa maisha na ni katiba na sheria unapoipeleka mahakamani unatumia Quran kuijudge ama man made laws?

kuna Nchi kibao zinafuata mfumo wa Quran japo si 100% ila zina mafanikio makubwa sana. Kuanzia Nchi za Gulf mpaka Asia ya mashariki kama Kina Brunei na Malyasia, ila sijaona Nchi ama hata wakristo wanaofuata Bible, kwa Wengi Bible ni Spiritual book na sio way Of life, Hakuna uchumi wa Biblia, Mahakama za Biblia, mabenki ya Biblia etc ila utakuta Mahakama za Uisilamu, mabenki ya Uisilamu, Mabucha, uchumi kwa ujumla etc vyote hivi vinabase na Quran.

So Quran imeprove practically inachosema, na sio kuongelea kwenye makaratasi tu.
Hapo kwenye benki za kiislamu ni utumbo
 
We ni mpumbavu niambie habari za adamu kweny bible nani kaandika niambie wapi yesu kaandika bible ...kwa hoja zenu so wanafunzi wake ! Je wanafunzi wake walikuwepo kipind cha mussa ,kipind cha nabii adamu ? Je hizo story wametoa wapi..

Mambo ya Jerusalem hata bustani ya Eden ambayo inasemekana ni Africa pia yote yapo..Qur an ni complete inasadifu vilivyopota vyote ila sio bible maana haipo kweny vitabu vya mungu...


Swali niambie bible alishushwa Nan hata hao wanaisrael hwaijui?

Hasira sikuzote haitakusaidia uwapo mahakamani.

Nimeshaeleza hapo juu kuwa Habari za Yesu zimeandikwa na Wanafunzi wake waliomshuhudia Yesu mwenyewe, nikawataja hapo juu akiwemo Yohana.

Jambo moja ninalokusifu ni kuwa hujakataa hoja zangu kuwa Quran imebeba Hearsay Stori nyingi ambazo kimahakama haziwezi kusikilizwa kwani ni Kama maneno ya Umbeya tuu.
 
Shida yako wewe ni ujuaji mwingiiii halafu empty mind jinga we! Haujui kitu utawapata wapumbavu wenzio tu

Wewe badala ulete hoja, naona unapuyanga.

Wenzako mpaka sasa wanahangaika hawajui wanatokaje.

Nilitegemea ungepangua hoja mojamoja lakini umekimbilia Maneno yaleyale ya Hearsay, hayo ndio madhara yenyewe
 
Kitu ambacho waafrika tutatumia karne nyingi kuchomoka ni kwenye ili janga la dini, tumekuwa brain washed mazima. waliozileta wenyew wanakula maisha kinoma,

wazungu, waarabu yan wanaishi kama wapo pepon. mwafrika akishika dini bas itamlazimu aishi kienyeji enyeji
 
Hasira sikuzote haitakusaidia uwapo mahakamani.
Nimeshaeleza hapo juu kuwa Habari za Yesu zimeandikwa na Wanafunzi wake waliomshuhudia Yesu mwenyewe, nikawataja hapo juu akiwemo Yohana.
.

Jambo moja ninalokusifu ni kuwa hujakataa hoja zangu kuwa Quran imebeba Hearsay Stori nyingi ambazo kimahakama haziwezi kusikilizwa kwani ni Kama maneno ya Umbeya tuu.
Nakuuliza maswali nyie katika imani zenu haswa madhehebu mnapishana juu ya nan alimkana yesu ..swali sema nan alimkata yesu uone kama kila mtu atakuja na jina lake hapa😂😂😂..

Sikiliza nikupe elimu kijana ..katika masimulizi watu waangalia context na ujumbe husika na kilicho lengwa .nataka nikupe elimu kidogo ntaingia ndani kidogo tusibishane tuonyeshe elimu ..mfano Katia uwasilishani hata kimaana watu wanaangalia context nzima chukulia sijui yuda wala Petro ndo kamkana ila point ni kwamba kuna mtu alimkana yesu basi..ndo maandiko yalipolenga ndo point iloyo huko jina sijui la Nan hata lipishane ila maana ishaletwa ..

Kwa nn watu waangalia context hata kutafsiri kutoka lugha moja kweny nyingine Kuna vitu haziwezekani ila watu wanaangalia ujumbe husika na kurelate na sehemu nyingine..mfano kingereza don't cry over split milk sasa angalia kiswahili chake ni maji yakimwagoka hayazolewi.. kule kuna milk kama maziwa kiswahili chake ni maji...hapa wameangali context wakarelate..

Sasa nakuja kuhusu kuzaliwa kweny sijui mtende ,sijui zizi point ni kwamba yesu alizaliwa na bikra mariamu ndo point ilipo context ni kwamba yesu kazaliwa na bikra mariamu ukiangalia baadhi ya masimuliza haykuletwa na mtu mmoja..na nataka uniambia ni wapi bible iliandikwa na wayahudi ?
 
We haujui chochote unajikuta kila kitu unajua? Shubamiti umbwa wa ccm we
Wewe badala ulete hoja, naona unapuyanga.
Wenzako mpaka sasa wanahangaika hawajui wanatokaje.
Nilitegemea ungepangua hoja mojamoja lakini umekimbilia Maneno yaleyale ya Hearsay, hayo ndio madhara yenyewe
 
Sawa kama sijui chochote kuhusu hiyo Quran lakini hoja nilizozianisha hapo mahakamani Quran inatolewa Asubuhi na mapema.
Huwezi simulia hadithi za watu wengine ambao sio asili yako, hujawahi kuishi eneo Hilo, hujui utamaduni wao, hujui lugha Yao, hujawahi kuona hao unaowasimulia. Hata wanaokusikiliza wataona unahadithia simulizi ya uongo.

Nimetoa mfano, Quran inasema Yesu kazaliwa chini ya mtende alafu Biblia inasema Yesu kazaliwa kwenye hori/zizi la ng'ombe.
Aliyeandika kisa cha Yesu kwenye Biblia ni myahudi, anapajua Bethlehem alipozaliwa Yesu, anamjua Mariam mama yake yesu, alafu Muhammad yeye hapajui Bethlehem, sio myahudi , hajawahi kumuona Yesu wala mama yake Yesu.
Yaani Muhammad Hana tofauti na Mimi na Wewe katika habari za kumjua Yesu maana wote hatumjui na wote tunasimuliwa tuu.

Wewe utamsikiliza Nani Kati ya shuhuda wa tukio au Muhammad mambaye naye kahadithiwa tuu?
Tafuta biblia ilivyokua inatumika miaka ya 90,nyuma kule Kuna tafsiri ya maneno magumu, utakuta wanetafsiri neno hori, ukikosa mtende kwenye hori baada ya kupitia hiyo tafsiri niambie, biblia imeandika habari za Adam na Eva mbinguni, nani alikuwepo huko mbinguni Kama hoja ya Muhammad kutokuwepo uyahudi kweli Ina mashiko!?
 
Biblia maana yake ni nn? Kama ni mkusanyiko wa vitabu means ni combination lete hapa torati na zaburi ,then tuambie biblia imetokea wapi..usilete maneno ya torat na zaburi..

Biblia ni neno la kiitalia lililotokana na neno Biblio lenye maana ya maandiko matakatifu.
Biblia ilikusanywa kutokana na magombo mbalimbali ya kale ya kiyahudi na kuundakitabu kimoja.

Hata hiyo Quran unayoiona haikuwa hivyo unavyoiona, Mtume Muhammad mpaka anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran, baada ya kifo chake ndio vitabu/Aya/Sura mbalimbali zilianza kukusanywa na baadaye ziliunganishwa na kuunda hiko kitabu kiitwacho Quran.

Ila mpaka Mtume anaondoka hapakuwa na kitabu hicho.
Zingatia Muhammad alikuwa akiwasimulia watu kile akiitacho mafunuo kadiri alivyokuwa anakumbuka. Hivyo aliyekuwa anaandika ni watu wengine.

Zingatia pia Huyo Muhammad Hakuwa anajua kusoma wala kuandika hivyo uamuzi na ujumbe wa Quran ulibaki mikononi mwa aliyeandika, kwani Muhammad alikuwa mjinga (hajui kusoma wala kuandika)
 
QUR'AN ILIKOPI SEHEMU ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA [YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI ]

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

SWALI LETE ANDIKO MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA HAMJAKOPI BIBLIA

[emoji818]Mwanzo 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.

¹⁰ Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

MUNGU WETU ALIZIPA BAHARI MIPAKA YAKE USHAHIDI HUU HAPA KABLA YA MUHAMMAD KUZALIWA NA KABLA YA QUR-AN YENU KUANDIKWA

[emoji818]”Mithali 8:29 “Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;

[emoji818]Zaburi 24 (Biblia Takatifu)

¹ Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

² Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

PAUL NDIYE WA KWANZA KUFIKA HAPO KABLA YA MUHAMMAD WENU KWENYE BAHARI CHUMVI NA BAHARI TAMU USHAHIDI HUU HAPA KASOMA MATENDO 27:1-44[emoji16][emoji16]

[emoji818]Matendo ya Mitume 27:41 “Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

QURAN IMEKOPI BIBLIA NA IMEKOPI ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI USHAHIDI HUU HAPA

[emoji818]SWALI AYA IPI MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA SI KOPI YA KUTOKA KWA PAULO MATENDO 27:41

[emoji818]Quran 55:18-20

18. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

19. Anaziendesha bahari mbili zikutane;

20. Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane

[emoji818]Quran 25:53. Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na akaweka baina yao kinga na kizuizi kizuiacho

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]ASALAAM ALEIKUMView attachment 2403236
KUNA WATU WANA AKILI KISODA, YAANI MUISLAMU, UNAMWAMBIA AKASOME BIBILIA MATENDO, ILI AAMINI UNACHOMAANISHA, ALAFU BADO UNAJIONA UKO VIZURI, WAKATI HATA UNACHOBISHANA HUKIJUI.
 
Mfia dini umepanik pole sana..kurwani ni mawazo ya muhamad ya kuunga unga ili kujitengenezea dini yake.

Ndio mana leo hii hakuna mkristo ambaye anaifahamu kurwani wala kuiihitaji kuisoma..ila hakuna mwislamu ambaye hajasoma biblia ili kupata rejea ya visa na matukio ya kuunga unga yaliyosimuliwa na mudi.

#MaendeleoHayanaChama

Unamjua cat Stevens!? kwa kuanzia au casius clay!?

Muhammad hakujua kusoma Wala kuandika lakini Kuna scientific facts kwenye kitabu chake, laws nk

Babu yako anayejua kusoma anaweza hata kuandika riwaya ya kurasa 50?

uislam haukuhitaji wewe, Kaa na ukafiri wako, hupunguzi kitu.
 
Nakuuliza maswali nyie katika imani zenu haswa madhehebu mnapishana juu ya nan alimkana yesu ..swali sema nan alimkata yesu uone kama kila mtu atakuja na jina lake hapa😂😂😂..

Sikiliza nikupe elimu kijana ..katika masimulizi watu waangalia context na ujumbe husika na kilicho lengwa .nataka nikupe elimu kidogo ntaingia ndani kidogo tusibishane tuonyeshe elimu ..mfano Katia uwasilishani hata kimaana watu wanaangalia context nzima chukulia sijui yuda wala Petro ndo kamkana ila point ni kwamba kuna mtu alimkana yesu basi..ndo maandiko yalipolenga ndo point iloyo huko jina sijui la Nan hata lipishane ila maana ishaletwa ..

Kwa nn watu waangalia context hata kutafsiri kutoka lugha moja kweny nyingine Kuna vitu haziwezekani ila watu wanaangalia ujumbe husika na kurelate na sehemu nyingine..mfano kingereza don't cry over split milk sasa angalia kiswahili chake ni maji yakimwagoka hayazolewi.. kule kuna milk kama maziwa kiswahili chake ni maji...hapa wameangali context wakarelate..

Sasa nakuja kuhusu kuzaliwa kweny sijui mtende ,sijui zizi point ni kwamba yesu alizaliwa na bikra mariamu ndo point ilipo context ni kwamba yesu kazaliwa na bikra mariamu ukiangalia baadhi ya masimuliza haykuletwa na mtu mmoja..na nataka uniambia ni wapi bible iliandikwa na wayahudi ?

Tupo mahakamani kila kitu kinahakikiwa.
Aliyemkana Yesu ni Petro ndivyo Biblia inasema na walioshuhudia wanasema hivyo.
Ukiona atakayesema tofauti na hivyo basi ni Hearsay/ yaani naye kasimuliwa.

Kwa kukusaidia tuu, ukiona mkanganyiko kwenye Biblia ujue hapo kuna mmoja ni hearsay na kuna ambaye ni shahidi aliyekuwepo. Na kimahakama tutamsikiliza ambaye alikuwepo eneo la tukio wakati tukio linatokea.

Kwa upande wa Quran, hatuwezi kuisikiliza Kwa sababu Quran inasimulia matukio ambayo karibu 90% ni Hearsay/masimulizi ya kuambiwa tuu.
Ni Kama Mimi na Wewe tuu hapa Leo hii tunayesimulia habari za kina Musa alafu tujifanye ati Sisi ndio Primary source of Data
 
Biblia ni neno la kiitalia lililotokana na neno Biblio lenye maana ya maandiko matakatifu.
Biblia ilikusanywa kutokana na magombo mbalimbali ya kale ya kiyahudi na kuundakitabu kimoja.

Hata hiyo Quran unayoiona haikuwa hivyo unavyoiona, Mtume Muhammad mpaka anaondoka hapakuwa na kitabu kinachoitwa Quran, baada ya kifo chake ndio vitabu/Aya/Sura mbalimbali zilianza kukusanywa na baadaye ziliunganishwa na kuunda hiko kitabu kiitwacho Quran.
Ila mpaka Mtume anaondoka hapakuwa na kitabu hicho.
Zingatia Muhammad alikuwa akiwasimulia watu kile akiitacho mafunuo kadiri alivyokuwa anakumbuka. Hivyo aliyekuwa anaandika ni watu wengine.
Zingatia pia Huyo Muhammad Hakuwa anajua kusoma wala kuandika hivyo uamuzi na ujumbe wa Quran ulibaki mikononi mwa aliyeandika, kwani Muhammad alikuwa mjinga(hajui kusoma wala kuandika)
Sura ya kwanza ya qur an unajua ?😂😂😂na unajuu qur an yenyewe inatoka na neno gan?

Sural ya iqra kukumba alikuwa anafindishwa na malaika "soma " ..Tambua Kuna kitabu kinaitwa candle bible caj forex je hicho ni maandiko matakatifu ya forex au ?

Tambua bible haikuandikwa kipind cha yesu prove me wrong...bible imatiwq mikono na kupunguza na kuongeza maneno ya vitabu vilivyopota ,,bible haiwezi kuwa kitabu kitakafiti kwani ndani yake Kuna sehemu mungu kaitwa "mpumbavu" kwamba Kuna upumbavu wa mungu..

Kingine bible unayosoma leo zipo version kibao ambazo zipo tofauti kimaandiko coz yeyote anaweza kuandika.tu qur an ni ile ile ikitokea ukabili hata herufi basi ni batili hata ukikosea kuchapa basi hiyo haifai..

Bible haikuandikwa kipind cha mitume zipo bible ziliandikwa ambaO baadhi ya watu nguli dunia waliokuwa na akili walizikataa maana yalijudge nakuona maandiko ni uongo ,so kadri siku zinavyoenda wanabdili.

Tuje sasa kwamba bible imekamilika ..sasa bible imeshindwa kutambua matakwa ya binadamu kama ndoa Kuna mapadre hawaoi kabisa je inaingia akilinin...kuoa mke mmoja ilihali hata nature ya population ya dunia inaonyesha wanawake ni wengi je hao wengine hawana haki ya ndoa...mirathi
.

Sasa mapungufu yote hao ndo yamekuja kukamlisha na complet code of life ambayo ni Qur-an
 
Tupo mahakamani kila kitu kinahakikiwa.
Aliyemkana Yesu ni Petro ndivyo Biblia inasema na walioshuhudia wanasema hivyo.
Ukiona atakayesema tofauti na hivyo basi ni Hearsay/ yaani naye kasimuliwa.

Kwa kukusaidia tuu, ukiona mkanganyiko kwenye Biblia ujue hapo kuna mmoja ni hearsay na kuna ambaye ni shahidi aliyekuwepo. Na kimahakama tutamsikiliza ambaye alikuwepo eneo la tukio wakati tukio linatokea.

Kwa upande wa Quran, hatuwezi kuisikiliza Kwa sababu Quran inasimulia matukio ambayo karibu 90% ni Hearsay/masimulizi ya kuambiwa tuu.
Ni Kama Mimi na Wewe tuu hapa Leo hii tunayesimulia habari za kina Musa alafu tujifanye ati Sisi ndio Primary source of Data
Yudaa ndo Nan😂😂😂?
 
Tambua hamna biblia iliyoshushiwa yesu kama unayo leta iyo imechukua vitabu vya torat na zaburi..na qur an ipo kweny series ya vitabu vya mungu lazima isadifu yaliyopita na kuendeleza taratibu za imma huu.

Hakuna kitabu kilichowahi kushushwa.
Alafu Elewa Torati, Zaburi na Injili walioiandika ni Wayahudi na Mungu wao ni Yahwe!

Alafu akatokea Allah wa waarabu akai-copy akaiita Quran. Mpaka leo Mungu WA Wayahudi ni Yahwe. Na mpaka leo Mungu WA Waarabu ni Allah.

Ndio maana kuna hoja nimelezea Jambo hili kama ushahidi kuonyesha Biblia inaweza kutumika kama Rejea kuu kuliko Quran.

Kwa sababu haiwezekan Allah mungu wa waarabu miaka zaidi ya elfu mbili yote awatumie Wayahudi Kama manabii alafu awaache watu wake(waarabu) alafu mara paah! Mwisho kabisa ndio amtumie Muarabu Kama Mtume WA mwisho. Tumia akili hata ya kuzaliwa.

Halikadhalika na Yahwe miaka yote awatumie Wayahudi watu wake kama manabii alafu mara paap! Amuokote muarabu Muhammad mwishoni kama Nabii au Mtume. Hivi mlijifunza haya mambo wapi?
 
Back
Top Bottom