Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Katika ukoo wenu ukitoa vyeti fake hakuna wa kunifikia kwa elimu .
Wewe hata kuunda tu sentesi inaonekana unapata tabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hata kuunda tu sentesi inaonekana unapata tabu sana.
Anatumia zaidi akili yake na utashi wake bila ya elimu ya hicho anachokiandika
Oya hivi makubadhi ndio hizo sendos au hizo nguo?Kila siku nawaambia na hii ni proof kubwa wakristo hamfuati Biblia.
Yesu Alivaa Hivyo mnavyoviita Vipedo na Makubadhi.
So mnapodhihaki watu kuvaa hivyo vipendo mnamdhihaki na Yesu. Kesho Yesu akirudi na Vazi lake la kanzu fupi na sandals mtamkataa?
View attachment 2403327
1. Jua linazama kwenye matopemtoa mada kama una lingine linakutatiza usisite kuliongezea tupo apa kukuhudumia nakupa Quiz kaa chini tuletee makosa ndani ya Qurani kama utayapata mitaomba unibatize niwe mkristo.
Duh hebu tusihame mada, maana hizi trick za kuruka mada nazijua sana.Sasa mmi nitaamini vip kitabu kimeandikwa Italy Tena Kuna sehemu kimeandikwa "upumbavu wa mungu" hata kama ni wewe japo ulipata zero form unaweza kweli ukakubali icho kitabu..elewa kitu kimoja vitabu vimekuja kuandikwa zama za mwisho baada ya mitume walishaondoka kama bible iliandikwa kipind cha yesu.
Wapi panaonyesha kwamba yesu alisoma bible ?
ILI IONEKANE UNASEMA KWELI... HEBU NJOO TUTHIBITISHIE HATA JINA "BIBLIA" KAMA LIPO POPOTE LILIPOANDIKWA NDANI YA BIBLIA.. ACHANA NA COVER...
Yaani mlevi kwamba mussa aliandika bible Ina maana mpaka yesu anakuja dunia bible ipo je ni wapi aliisoma au wanafunzi walikuwa wanasoma bible?😂😂😂kipind cha zama zakeEmbu zijibu hoja nilizozianisha hapo juu Kwa weledi.
Jibu Kwa Logic Kama upo mahakamani,
Usitongozwe na mihemko ya Kidini haitasaidia lolote. Hivyo vifungu vya sijui Allah akasema sijui blah! Blah! Mshairi yeyote mahiri anaweza kuandika
We dada toka umeishi hapa Tanzania lini muislamu alikushikia kisu kukulazimisha akupende au umepanda daladala waislamu wakasema wakristo wawapishe siti.Waislam wanachuki na wanaroho mbaya sana hawanaga huruma ukiwaga nao karibu unatakiwa ujaribu sana uwahakikishie unawapenda sana .
Hataa kama ni mwanamke watu hao hapana
Inayofanana kivipi ?QURAN 2:23-24
23."Na ikiwa mna shaka kwa haya tuliyo mteremshia mja wetu; basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.
24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. "
Haya nyie mnaosema Quran ni maneno ya uongo hebu tuleteeni japo sura moja tu inayofana na Quran; fanyeni hilo tu wajameni ndio tuwaamini!!! jibu ni hamuwezi na wala hamtaweza kamwe
Nakuuliza swali je katika unamkubali kwamba mussa ndo aliandika bible au imeandikwa baada ya yesu kuondoka?Duh hebu tusihame mada, maana hizi trick za kuruka mada nazijua sana.
Nakukumbusha: Mada hapa ni kuchakachuliwa kwa injili, zaburi na torati.
Umesema hivo vitabu vimeongezewa vitu na kupunguziwa kwenye biblia. Sasa ili ujue hayo inabidi uwe umeshavisoma original zake ukafanya comparisons.
Wewe original zake umezisomea wapi namimi nikazisome?
Mbona unaruka kitu rahisi kama hiko?
Huenda namm nikisoma hizo original nikagundua zile copy zake kwenye bible zimechakachuliwa, nitasilimu.
Vinginevyo kama hauna original, hata kama kwenye bible imeandikwa Mungu ni shoga itabaki kuwa hivyo huwezi kusema imeongezewa, imeongezewa kutoka wapi sasa?
@InvisibleBora kuwa alishabu kuliko kumfuata yesu, msenge yule watu walimfilimba wee, walipomaliza wakamfisha nepi *****, leo kila mkristo ni mnuka mavi tu.
TheStoryTimeFacts [emoji310]
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars ni msimuliaji wa Historia,makala na simulizi
Nathamini sana mchango wako ndugu [emoji120],Naomba support yako nisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE kwenye channel yangu.[emoji120]
Link Bonyeza Hapa[emoji116]
Asante sana [emoji120]
Kwahyo huyo ndio yesu (kwenye hiyo picha ) ?Kila siku nawaambia na hii ni proof kubwa wakristo hamfuati Biblia.
Yesu Alivaa Hivyo mnavyoviita Vipedo na Makubadhi.
So mnapodhihaki watu kuvaa hivyo vipendo mnamdhihaki na Yesu. Kesho Yesu akirudi na Vazi lake la kanzu fupi na sandals mtamkataa?
View attachment 2403327
Mzee mimi sinaga tabia ya kuwa narukaruka mada naacha zingine zinaelea kama nyani.Nakuuliza swali je katika unamkubali kwamba mussa ndo aliandika bible au imeandikwa baada ya yesu kuondoka?? Hapa nakupima kama kilaza au maana mnapisha hapa na mtoa kashiba mbege tangu afike dar anaropoka..jibu hilo then tuendlee !
TheStoryTimeFacts [emoji310]
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars ni msimuliaji wa Historia,makala na simulizi
Nathamini sana mchango wako ndugu [emoji120],Naomba support yako nisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE kwenye channel yangu.[emoji120]
Link Bonyeza Hapa[emoji116]
Asante sana [emoji120]
Njoo huku wacha kuzunguka ...mi hata nisingesoma hata darasa moja kwa ujinga wenu hamuwezi kunishawishi kwamba mpaka sasa mitume bado wanaendelea Kuna yule wa mwamposa😂😂😂Kizuri ni kwamba akili hazifichiki na hazifekiki, kama hauna, hata ukijifanya unazo kiasi kipi, watu wakikuona tu wanajua kiwango chako..
Kama unazo, Hata ukijifanya hamnazo kiasi kipi ila watu wakikusoma tu watajua unazo kiasi kipi.
Kizuri ni kwamba akili hazifichiki na hazifekiki, kama hauna, hata ukijifanya unazo kiasi kipi, watu wakikuona tu wanajua kiwango chako..Katika ukoo wenu ukitoa vyeti fake hakuna wa kunifikia kwa elimu .
Mkuu binafsi huwa naheshimu sana maandiko yko mengi ila hili nimekushusha thamani mpk kwenye 0 kiukweli,yan mpk nimerud tena juu nihakiki kma ni kweli ndo wewe uliyeandika hv,sijaamini kma ndo wewe unaweza kuandika nonsense kma hv.
Hv unaijua Quran sawasawa mkuu?
Ulishawahi kuisoma vzr ukaielewa?
Unajua Quran ni nini na ni maneno ya nani?
Unajua Muhammad yale si maneno yake?
Unawafahamu walioiandaa hiyo bible?Unaelewa makusudio yao?
Yan leo umeandika kama mtoto wa std7 aisee.....Kaa chini usome Quran uelewe sio unakurupuka tu