Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Yoda na Retired bakini kule kule kwenye jukwaa la siasa ...Huu Uzi hamuuwezi ...ndio mana Tindo na brazaj na akina @Johnthebatist hamuwaoni huku...Wanalinda heshima zao...sio Kama Uzi hawauoni ila una kina kirefu....
Mkuu mambo mengi muda kidogo.

Pana mambo ya kusaka haki bila kukoma. Kwa wengine hayo ni kipaumbele.

Ya Quran, biblia na ya dini ubaya gani kujipanga kwenda kumwuliza Mungu mbinguni live?

Cc: Tindo, johnthebaptist
 
Kwa hiyo biblia wewe unafuata yoyote bila kujali vitu vilivyowekwa wala vinavyokinzana?
Hapo sijakuwekea biblia za nyuma.
View attachment 2403684

View attachment 2403689

Hii chart ya biblia zote ulizotafsiriwa zimetokana na kilatini cha zamani.
Wakikaa kupiga konyagi wanajitafsiria lugha ovyo ovyo.
Itabidi uchague biblia moja. Ukisema biblia ujue zipo nyingi sana nazo zipo tofauti.
Hata za kiswahili pia tofauti kutegemeana na mwaka iliyotafsiriwa


View attachment 2403690

Unaibua hoja mpya ambayo tukisema tuanze kuijadili tutaondoka katika hoja nilizozianisha hapo juu.

Ngoja nitafungua Uzi mwingine unaohusu kupungua Kwa vitabu au Baadhi ya Aya za Biblia na sababu zake kisha tutakuja kujadiliana hapa.

Kwa sasa jibu hoja zilizowasilishwa
 
Unaweza peleka katiba ya Tanzania kenya ikashtakiwe?

Ila tunaweza kuishtaki Kenya Kwa kutumia Majina ya watu wetu au kuiba Stori zetu na kuzifanya ni zao.

Waarabu wameiba Stori na Majina ya Wayahudi alafu wanajitia wao ndio wawe Reference wakati dunia nzima inajua walifanya plagiarism
 
"Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo[emoji3][emoji3]."

Mwisho wa kunukuu

Unachokitafuta kipo[emoji1787]

Fikiria Mimi ambaye sijamuona Nyerere ati nijafanye namuelezea Nyerere na kushinda Wakina Kikwete waliowahi kufanya Naye KAZI.
Alafu watu wakaniamini Mimi kuliko Kikwete😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Yesu unajua Hata Muhammad anamheshimu?
Kwa hiyo kumuita Yesu Tapeli ni kumdharau mpaka Muhammad.

Hata hivyo sio kosa mtu kuwa na mtazamo Kama wako ikiwa ndivyo uonavyo
Mtu kufahamiana na mzazi wangu hamkuzii kuwa mwongo, maana dhana ya utapeli ni uwongo, Hivyo Yesu alifundisha uwongo, ambao waaumini wake, huutumia kuwadanganya wenzao.

Eti ukitoa 50 utapata mia, alafu eti hiyo 50 unampa Mwamposa siyo mtu asiejua kesho kwa lolote lile, si utapeli kama utapeli mwingine tu.
 
Wewe naona hatuelewani. Huelewi hata kilichowasilishwa kwenye Baraza


Kwa hiyo Wewe Kwa Uelewa wako, Biblia ya agano la kale Watu hawana?
Au unazungumzia propaganda za wanahasimiana na Wakristo?
Hapa hatujadili Wakristo, Bali tunajadili Biblia,
Wala hatujadili Waislam, Bali tunaijadili Quran.

Zipinge hoja zilizowasilishwa, kisha utafungua shauri jingine kama unalolote la ziada
HIKI SI NDIO KICHWA CHA UZI WAKO?

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua​


Na mimi nikaleta hoja ya kwanza kabisa ya Jina BIBLIA kwenye BIBLIA yenyewe wapi BIBLIA INAWEZA KUTHIBITISHA JINA LAKE LENYEWE? UKASEMA HUWEZI KUPATA?

SASA TUKIANZIA HAPO KWENYE JINA TU, KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA?


Post yangu ya mwisho nairudia hapa... Post no. 421 nikijibu comment yako MFU.

Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...

Kama huwezi pata JINA KITABU ndani ya KITABU CHENYEWE... KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA HAPO?

Sasa jambo dogo kama hilo umeshindwa kulithibitisha hapa... Huu mjadala umeufungua kwa kujiaminisha nini...unaanzisha MVUA YA MAWE HALI WAISHI KWENYE NYUMBA YA VIOO.

KAWAIDA YA MUNGU HUWA NI MWENYE UWEZO WA KUJIELEZA YEYE MWENYEWE PAMOJA NA MATENDO YAKE... Nadhani hapa tunakubaliana...

SASA KAMA HAYO MANENO YA MUNGU MWENYEWE HAYAJITOSHELEZI KUJIELEZEA YENYEWE... BASI SIO MANENO YA MUNGU HAYO...

TUNACHOTAKA ANDIKO KWENYE BIBLIA IWE YESU IWE MUSA IWE YOHANA IWE MATHAYO WANAELEZA KUWA HII BIBLIA NI MKUSANYIKO WA VITABU VYA MUNGU...

KAMA HUWEZI KUPATA ANDIKO HILO... BASI HUU MJADALA WAKO UFUNGE... UMEKOSA UHALALI WA KUENDELEA KUJADILIWA... KWA SABABU BIBLIA HIYO UNAYOISIFIA IMEKOSA KUJIELEZA YENYEWE KWA MAANDIKO YAKE NA KUJITETEA NA KUJITHIBITISHA HATA JINA LAKE.


CASE CLOSED.


(WAISLAAM NENDENI MKADISCUSS MAMBO MENGINE KWENYE THREADS NYINGINE... HANA HOJA HUYU.)
 
HIKI SI NDIO KICHWA CHA UZI WAKO?

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua​


Na mimi nikaleta hoja ya kwanza kabisa ya Jina BIBLIA kwenye BIBLIA yenyewe wapi BIBLIA INAWEZA KUTHIBITISHA JINA LAKE LENYEWE? UKASEMA HUWEZI KUPATA?

SASA TUKIANZIA HAPO KWENYE JINA TU, KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA?


Post yangu ya mwisho nairudia hapa... Post no. 421 nikijibu comment yako MFU.

Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...

Kama huwezi pata JINA KITABU ndani ya KITABU CHENYEWE... KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA HAPO?

Sasa jambo dogo kama hilo umeshindwa kulithibitisha hapa... Huu mjadala umeufungua kwa kujiaminisha nini...unaanzisha MVUA YA MAWE HALI WAISHI KWENYE NYUMBA YA VIOO.

KAWAIDA YA MUNGU HUWA NI MWENYE UWEZO WA KUJIELEZA YEYE MWENYEWE PAMOJA NA MATENDO YAKE... Nadhani hapa tunakubaliana...

SASA KAMA HAYO MANENO YA MUNGU MWENYEWE HAYAJITOSHELEZI KUJIELEZEA YENYEWE... BASI SIO MANENO YA MUNGU HAYO...

TUNACHOTAKA ANDIKO KWENYE BIBLIA IWE YESU IWE MUSA IWE YOHANA IWE MATHAYO WANAELEZA KUWA HII BIBLIA NI MKUSANYIKO WA VITABU VYA MUNGU...

KAMA HUWEZI KUPATA ANDIKO HILO... BASI HUU MJADALA WAKO UFUNGE... UMEKOSA UHALALI WA KUENDELEA KUJADILIWA... KWA SABABU BIBLIA HIYO UNAYOISIFIA IMEKOSA KUJIELEZA YENYEWE KWA MAANDIKO YAKE NA KUJITETEA NA KUJITHIBITISHA HATA JINA LAKE.


CASE CLOSED.


(WAISLAAM NENDENI MKADISCUSS MAMBO MENGINE KWENYE THREADS NYINGINE... HANA HOJA HUYU.)
Alafu kingine unataja Waislam wakati kinachojadiliwa ni kitabu cha Quran na sio dini au waumini wa kiislam. Ndio maana nashangaa hata HAO Wakristo wanajua kuparangana hapa.


Unataaluma yoyote ya uandishi wa vitabu? Au mambo ya uandishi?
Maana unataka kuleta hoja ambazo zipo mbali na Mada?

Mtu ushaambiwa kuwa Biblia ni mkusanyiko wa vitabu au maandiko matakatifu, mwenzako mmoja kasema haya nimpe hata Aya inayosema maandiko matakatifu nikampa, Wewe hujui hata unachokieleza.

Niambie Quran Kwa Kiswahili tafsiri yake ni nini?
 
Kosa ambalo wengi wanalifanya ni kujaribu kuonesha kwamba imani ya watu fulani ni bora na kukosoa au kuiona imani ya wengine haifai, masuala ya imani yanatokana na mtu au watu kuamini, hivyo ni jambo la hatari sana na la kijinga, kumwambia mtu kwamba imani yako ni mbaya na ikithibitishwa mbele ya mahakama, 'itaangukia pua'.

Masuala ya imani huwa hayashindanishwi hata siku moja, imani ni aina fulani ya ufuasi au ushabiki, kwa kawaida imani au ushabiki hauna mantiki, yaani mchukue shabiki wa Yanga na umwambie kwamba Yanga ni timu mbovu na kwamba Simba ni timu bora kuliko Yanga, hatakuelewa kwamba yeye anaamini hivyo, na hahitaji mantiki.

Wewe kama una imani yako na unaamini kwamba imani yako ni bora kuliko za wengine basi, baki na imani yako na achana na kukosoa au kuona imani za wengine hazifai.
 
Biblia hakuna sehemu inayomtaja Mariam kama mungu, unachojaribu kukieleza Wewe na hiyo Quran yako ni kile walichonacho Wafuasi WA Kikristo na sio kilichomo kwenye Biblia.

Waliopelekwa mahakamani sio Wakristo au waislam Bali ni vitabu viwili Biblia na Quran.

Hoja ya bikra Maria kuaombewa au kufanyiwa mungu haipo kwenye Biblia yoyote Ile unayoijua. Hivyo hoja zako ni mfu hasihusiani na hoja zilizotolewa hapo juu.

Nilitegemea utapangia hoja moja baada ya nyingine katika ya zilizotolewa.
Ndio maana tuna challenge Quran ina uongo na haina ithbat kwa mahakama.

Bila shaka jibu lako limeikinaisha mahakama na kuiona haina hatia.

Swali la pili:

Kutoka kwa mshtakiwa ambae ni Quran.
 
Alafu kingine unataja Waislam wakati kinachojadiliwa ni kitabu cha Quran na sio dini au waumini wa kiislam.
Ndio maana nashangaa hata HAO Wakristo wanajua kuparangana hapa.


Unataaluma yoyote ya uandishi wa vitabu?
Au mambo ya uandishi?
Maana unataka kuleta hoja ambazo zipo mbali na Mada?

Mtu ushaambiwa kuwa Biblia ni mkusanyiko wa vitabu au maandiko matakatifu, mwenzako mmoja kasema haya nimpe hata Aya inayosema maandiko matakatifu nikampa, Wewe hujui hata unachokieleza.

Niambie Quran Kwa Kiswahili tafsiri yake ni nini?
Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...

Kama huwezi pata JINA KITABU ndani ya KITABU CHENYEWE... KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA HAPO?

Sasa jambo dogo kama hilo umeshindwa kulithibitisha hapa... Huu mjadala umeufungua kwa kujiaminisha nini...unaanzisha MVUA YA MAWE HALI WAISHI KWENYE NYUMBA YA VIOO.

KAWAIDA YA MUNGU HUWA NI MWENYE UWEZO WA KUJIELEZA YEYE MWENYEWE PAMOJA NA MATENDO YAKE... Nadhani hapa tunakubaliana...

SASA KAMA HAYO MANENO YA MUNGU MWENYEWE HAYAJITOSHELEZI KUJIELEZEA YENYEWE... BASI SIO MANENO YA MUNGU HAYO...

TUNACHOTAKA ANDIKO KWENYE BIBLIA IWE YESU IWE MUSA IWE YOHANA IWE MATHAYO WANAELEZA KUWA HII BIBLIA NI MKUSANYIKO WA VITABU VYA MUNGU...

KAMA HUWEZI KUPATA ANDIKO HILO... BASI HUU MJADALA WAKO UFUNGE... UMEKOSA UHALALI WA KUENDELEA KUJADILIWA... KWA SABABU BIBLIA HIYO UNAYOISIFIA IMEKOSA KUJIELEZA YENYEWE KWA MAANDIKO YAKE NA KUJITETEA NA KUJITHIBITISHA HATA JINA LAKE.


CASE CLOSED.


(WAISLAAM NENDENI MKADISCUSS MAMBO MENGINE KWENYE THREADS NYINGINE... HANA HOJA HUYU.)
 
Kosa ambalo wengi wanalifanya ni kujaribu kuonesha kwamba imani ya watu fulani ni bora na kukosoa au kuiona imani ya wengine haifai, masuala ya imani yanatokana na mtu au watu kuamini, hivyo ni jambo la hatari sana na la kijinga, kumwambia mtu kwamba imani yako ni mbaya na ikithibitishwa mbele ya mahakama, 'itaangukia pua'. Masuala ya imani huwa hayashindanishwi hata siku moja, imani ni aina fulani ya ufuasi au ushabiki, kwa kawaida imani au ushabiki hauna mantiki, yaani mchukue shabiki wa Yanga na umwambie kwamba Yanga ni timu mbovu na kwamba Simba ni timu bora kuliko Yanga, hatakuelewa kwamba yeye anaamini hivyo, na hahitaji mantiki.

Wewe kama una imani yako na unaamini kwamba imani yako ni bora kuliko za wengine basi, baki na imani yako na achana na kukosoa au kuona imani za wengine hazifai.

Kinachojadiliwa sio Imani Bali vitabu viwili yaani Biblia Vs Quran.

Je kipi kinaweza kuwa Rejea kuu , ndio hoja zimetolewa hapo.
 
Alafu kingine unataja Waislam wakati kinachojadiliwa ni kitabu cha Quran na sio dini au waumini wa kiislam.
Ndio maana nashangaa hata HAO Wakristo wanajua kuparangana hapa.


Unataaluma yoyote ya uandishi wa vitabu?
Au mambo ya uandishi?
Maana unataka kuleta hoja ambazo zipo mbali na Mada?

Mtu ushaambiwa kuwa Biblia ni mkusanyiko wa vitabu au maandiko matakatifu, mwenzako mmoja kasema haya nimpe hata Aya inayosema maandiko matakatifu nikampa, Wewe hujui hata unachokieleza.

Niambie Quran Kwa Kiswahili tafsiri yake ni nini?
USHAJIDHIHIRISHA KUWA HUNA AKILI WALA HOJA... UNABWABWAJA TU... UMEANZISHA HOJA UNASHINDWA KUITETEA... HOFLES KABISA...
 
HII HOJA HUWEZI JIBU UNARUKA RUKA TU...

Hizo ni blaa blaa tu bado...BASI NIPE HATA ANDIKO LA BIBLIA YA KIEBRANIA AU KIYUNANI ILIYOSEMA HIYO TAFSIRI YA BIBLIA KAMA ULIVYO ELEZA HAPO...

Kama huwezi pata JINA KITABU ndani ya KITABU CHENYEWE... KITABU GANI KIMEANGUKIA PUA HAPO?

Sasa jambo dogo kama hilo umeshindwa kulithibitisha hapa... Huu mjadala umeufungua kwa kujiaminisha nini...unaanzisha MVUA YA MAWE HALI WAISHI KWENYE NYUMBA YA VIOO.

KAWAIDA YA MUNGU HUWA NI MWENYE UWEZO WA KUJIELEZA YEYE MWENYEWE PAMOJA NA MATENDO YAKE... Nadhani hapa tunakubaliana...

SASA KAMA HAYO MANENO YA MUNGU MWENYEWE HAYAJITOSHELEZI KUJIELEZEA YENYEWE... BASI SIO MANENO YA MUNGU HAYO...

TUNACHOTAKA ANDIKO KWENYE BIBLIA IWE YESU IWE MUSA IWE YOHANA IWE MATHAYO WANAELEZA KUWA HII BIBLIA NI MKUSANYIKO WA VITABU VYA MUNGU...

KAMA HUWEZI KUPATA ANDIKO HILO... BASI HUU MJADALA WAKO UFUNGE... UMEKOSA UHALALI WA KUENDELEA KUJADILIWA... KWA SABABU BIBLIA HIYO UNAYOISIFIA IMEKOSA KUJIELEZA YENYEWE KWA MAANDIKO YAKE NA KUJITETEA NA KUJITHIBITISHA HATA JINA LAKE.


CASE CLOSED.


(WAISLAAM NENDENI MKADISCUSS MAMBO MENGINE KWENYE THREADS NYINGINE... HANA HOJA HUYU.)
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo![emoji3][emoji3]

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Haya mavitabu yote yaliyoletwa kwenye majahazi ni ya hadithi za kutunga tu, HAKUNA cha biblia eti ndio sahahi wala sijui Hiyo Quran, zote ni hadithi za kuletwa na majahazi tu.

We hebu fikiria, mzungu kaondoka Africa bado anaitamani, halikadhalika mwarabu, wamekamata watumwa, wamewaua, wamewaf...r.a sana tu, wameteka kisaikolojia wanarudi kukupa Habari za manabii wao wakutunga wanakukataza kuamini mila zako, wanaziita za kishenzi, wanawakataa watu wenye unabii kama Akina Mwanamalundi, Kinjekitile, Mkwawa, Mtemi Nyundo, na wabashiri waliobashiri uwepo wa mvua, njaa au vita wakawaita wachawi, Akina Yesu fundi seremala, na mwamedi mfanyabiashara ya kuvamia misafara ya watu na kupora mali eti ndio manabii wa Mungu!! How pathetic!

Huu ndio utumwa wa fikra ambao ndio utumwa mbaya kuliko yote! Bro, wake up, dini ni utumwa mpya, achana na hayo mavitabu yatakupotezea muda, we tenda wema, usiibe, usiue, usidhulumu, tembelea wagonjwa, wape misaada, saidia mayatima, wajane na wagane wazee na wasiojiweza, usimtendee jambo ambalo we mwenyewe usingependa kutendewa basi utaishi vema, mavitabu yako tupa kureeee!
 
Kinachojadiliwa sio Imani Bali vitabu viwili yaani Biblia Vs Quran.
Je kipi kinaweza kuwa Rejea kuu , ndio hoja zimetolewa hapo.
Kwani Biblia na Quran zinawakilisha imani/dini zipi? Unawezaje kuzungumzia vitabu vya kiimani (Biblia na Quran) bila kuhusisha imani zenyewe?
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala fulani uliokuwa unaendelea katika Jukwaa la Intelligence nimeona nianzishe uzi huu kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia kupima katika mizania ya kimahakama/kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani mkweli na nani muongo kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au Myahudi, bali nipo kujadili nani mkweli kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama, majaji mtakuwa ninyi wasomaji.

Mahakamani siyo kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa sheria, hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.

Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema kwa vile mambo haya yanagusa imani za watu jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa rejea kuu zaidi ya Quran, kwa sababu;

1. Biblia kwa sehemu kubwa haina maneno ya 'Hearsay' wakati Quran kwa 90% maneno yake ni 'Hearsay'. Kimahakama maneno ya 'hearsay' hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu. Hoja hii ndiyo hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.

a) Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, Yona n.k.

Wakati msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo. Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita. Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, Mathayo na Yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu waliyoshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya. Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka kwa sababu yeye alisimuliwa.

Hata hivyo ulikuwa ni wakati ule ule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka. Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.

2. Waandishi wa Biblia walikuwepo maeneo tajwa kwenye Biblia, lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika maeneo anayoyasimulia. Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na Waisrael ambapo hajawahi kufika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.

Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman halafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman, wakati Suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.

Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia. Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.

3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa kwa manabii tofauti tofauti kwa nyakati tofauti tofauti, wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshushiwa Muhammad.

Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha Yakobo na Yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha Waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu. Na visa vyote hakuwepo![emoji3][emoji3]

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha Yona kaandika Yona mwenyewe, kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu (wanafunzi waliomshuhudia), kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.

Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi kwasababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni kama vile kitabu cha Mzee wetu Mwinyi au Mzee wetu Mengi.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay), kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa ukweli na ikachukuliwa kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu kwa lugha ya Kiarabu lakini inasimulia habari za wasiyo Waarabu, inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.

Yaani mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo. Hivi ninyi mtanisikiliza mimi Mpare ninayesimulia habari za kale za Wasukuma au mtasikiliza Wasukuma wenyewe?

Muhammad Muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo halafu yeye anakwambia alizaliwa kwenye mtende halafu kuna mtu Myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye hori la ng'ombe.

Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni Myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza nani?

Haya Quran na hadithi za Kiyahudi kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji wa Daudi na mwanaye Suleiman, hajui Kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.

Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini, lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo majini. Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika vitabu vyake vilivyopo katika Biblia? Jibu utabaki nalo.

5. Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa Waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah, Mungu wa Waarabu wa kabila la Wakurdi wa zamani lakini cha ajabu huyo Allah, ati huyo Allah kuna sehemu anamuagiza kina Musa (Myahudi na dini yake Uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.

Hata hivi leo Mungu wa Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu wa waarabu hajabadilika ni yule yule Allah. Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa Muarabu.

Wahusika kuanzia kwa Yakobo mpaka kwa Yesu ni Wayahudi na dini yao ni Uyahudi na Mungu wao ni Yahweh, lakini Quran imepuyanga katika eneo hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran, siyo ajabu Quran yenyewe ndiyo imenakili baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.

Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndiyo baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovinakili kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya Kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile.

Quran ambacho ingefanya ni kutoa nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na siyo kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo. Mbona Injili haujarudia visa? Quran haiwezi kuchukuliwa kama rejea kuu kuzidi Biblia kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili kwa hoja.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Kweli Quran imewakamata na hamuna pakutokea Hadi mnatamani muipeleke Mahakamani?
 
Wakristo mmenyimwa Elimu ya uhakiki wa Habari. Mnasema mna Injili ya Luka, Marko, Yohana na Matayo.

Naomba uniambie hizi Injili nne zimeandikwa na nani ? Je mnaweza kuthibitisha ya kuwa ni kweli hao wanaonasibishwa na hizo Injili ndiyo wameziandika wao ? Kisha uniambie Luka au Marko walimuona Yesu ? Je waliishi katika zama za Yesu au walau zama za Wanafunzi wa Yesu ? Habari za Yesu walizipata wapi ? Je wana Chain ya masimulizi inayofika mpaka kwa Yesu ? Kama hawana vipi mnayaamini na kuyafanyia kazi maandiko yao ? Akili mmepewa Bure na mtaulizwa kwanini hamkuzitumia akili zenu vizuri.

Ukitaka kujua maana ya Ujinga waangalie Wakristo na Dini yao.

Mathayo, Yohana wote walioandika Injili walikuwa wanafunzi wa Yesu.
Walimshuhudia wakasimulia.
Hiyo mathayo alikuwa msomi WA mahesabu ya ushuru na tozo.

Unaposema hakuna ushahidi wao ndio waliandika hiyo Injili lakini muda huohuo unamuamini Muhammad ambaye anasimulia Stori ambazo hazimuhusu Kwa namna yoyote Ile.
Sio myahudi lakini anasimulia habari za Wayahudi.

Hajawahi kuishi uyahudini lakini anaandika mambo ya nchi ambayo hajawahi kuiona.

Yaani Wewe ni hao Wakristo Nani mwenye matatizo ya kufikiri?

Kuanzia kitabu cha Mathayo mpaka kitabu ufunuo wa Yesu Kwa Yohana vitabu vyote vimeandikwa na wanafunzi wa Yesu.

Huyo Paulo ambaye Waislam walimpinga Hakuwa mwanafunzi WA Kwanza wa Yesu(yaani wale 12 wa awali) lakini Paulo alifanya kazi na wanafunzi waliomshuhudia Yesu, hao kina Petro.

Barua za Paulo zote zimebeba Majina ya wakati huo WA Maeneo ya Uturuki, ugiriki, n.k.

Haya embu jadili hoja zilizopo kwenye Uzi
 
Fikiria Mimi ambaye sijamuona Nyerere ati nijafanye namuelezea Nyerere na kushinda Wakina Kikwete waliowahi kufanya Naye KAZI.
Alafu watu wakaniamini Mimi kuliko Kikwete😀😀
Tatizo linakuja pale unapomuelezea Nyerere tofauti na walivyomuelezea akina Kikwete waliokuwepo.

Tatizo kubwa zaidi ni kwamba unapata na wafuasi wanaoamini stori yako, na wanakuunga mkono kwamba akina Kikwete waliokuwepo walikosea kumuelezea.
 
Hakika, ila tatizo kubwa la dini ni hisia zaidi hutumika kuliko critical thinking.
Kwenye mada kama hizi ndo utaweza kuchuja na kuona ni member gani wapo sawa vichwani wepi ni empty set!!!

Content iliyopo mezani inajieleza,ilikuwa watu waseme hoja namba fulani tunaipangua hivi hoja namba fulani tunaipangua hivi ila uzi upo post #250 kila mtu anaandika anachojua yeye.
 
Back
Top Bottom