Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Paulo hakuish wakat wa yesu kijana chimba zaidi, katika wanafunzi wa Yesu paulo alikuepo ?
Paulo kaishi na kakutana na wanafunzi wa Yesu...maana yake alikuwa hai kipindi cha yesu na huenda alisikia habari zake kabla ya kiangikwa msalabani.
Au unataka kusema Paulo kazaliwa baada ya yesu kufa??
 
Sio kufaga tu Muhammad kasema kila muislamu ana jini anaambatana nalo kama companion
Sio kila muislam hata ww jina unalo linakupotosha kila siku ni ww tu sasa kulishinda au likuahinde likupotoshe, na nyny nd limefanikiwa kwasbb ametufundisha dua za kusoma kujilinda nayo, nyie mnasoma dua kujilinda nayo ??
 
Sio kila muislam hata ww jina unalo linakupotosha kila siku ni ww tu sasa kulishinda au likuahinde likupotoshe, na nyny nd limefanikiwa kwasbb ametufundisha dua za kusoma kujilinda nayo, nyie mnasoma dua kujilinda nayo ??
Majini mliyonayo Muhammad kasema ni ndugu zenu na ni walinzi wenu pia , mm jini ata kunisogelea haliwezi

Wakristo tunalindwa na Malaika
 
Sio kila muislam hata ww jina unalo linakupotosha kila siku ni ww tu sasa kulishinda au likuahinde likupotoshe, na nyny nd limefanikiwa kwasbb ametufundisha dua za kusoma kujilinda nayo, nyie mnasoma dua kujilinda nayo ??
Soma
Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Soma
Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
Kuna Shehe mmoja jinsi anavyoyapenda majini hadi anajiita

Shehe Sharifu Majini.

Vile vitoto visharifu vyote vimepagawa na mapepo ya kukariri Qurani.
Ndio maana vinaishia kuwa viganga vya kienyeji.
Akili kubwa kama ile ya kujua Qurani na lugha zote duniani bila kwenda shule inaishia kufeli mitihani na kuishia kuagua na kuroga, na kwenda jahanamu.

Kweli Majini hayana Jema.
 
Soma
Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
Maana ya hadith ni kwamba kila mtu anakua na shaitan ambae anamfuata kila kona na lengo lake ni kumpotosha, sio kwamba watu wanaongozana nayo kwa wema au yanawalinda. Na ndo maana tumefundishwa dua tuwe tunazisoma kila mda na kujilinda na shaytwan na vitimbi vyake.
Sasa ww hata nikikuelekeza hutataka kuelewa utabak na ubish kwaio we endelea kuamn utakavyoamini tu. Wala hakuna shida.
 
Maana ya hadith ni kwamba kila mtu anakua na shaitan ambae anamfuata kila kona na lengo lake ni kumpotosha, sio kwamba watu wanaongozana nayo kwa wema au yanawalinda. Na ndo maana tumefundishwa dua tuwe tunazisoma kila mda na kujilinda na shaytwan na vitimbi vyake.
Sasa ww hata nikikuelekeza hutataka kuelewa utabak na ubish kwaio we endelea kuamn utakavyoamini tu. Wala hakuna shida.
Huwezi eleza uongo ukaaminika
Companion ni kama rafiki ambae unaambatana nae , pengine muhammad kasema shetani wake anamshauri mema

, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Maana ya hadith ni kwamba kila mtu anakua na shaitan ambae anamfuata kila kona na lengo lake ni kumpotosha, sio kwamba watu wanaongozana nayo kwa wema au yanawalinda. Na ndo maana tumefundishwa dua tuwe tunazisoma kila mda na kujilinda na shaytwan na vitimbi vyake.
Sasa ww hata nikikuelekeza hutataka kuelewa utabak na ubish kwaio we endelea kuamn utakavyoamini tu. Wala hakuna shida.
Kwa Nini unataka kuwapinga kaka zako mapepo,

Muhammad aliweka wazi ndugu wa waislamu ni majini wanaitana kaka

Jami` at-Tirmidhi 18

Abdullah bin Mas'ud narrated that :

Muhammad said: "Do not perform Istinja, with dung, nor with bones. For indeed it is provisions for your brothers among the Jinn."
 
Maana ya hadith ni kwamba kila mtu anakua na shaitan ambae anamfuata kila kona na lengo lake ni kumpotosha, sio kwamba watu wanaongozana nayo kwa wema au yanawalinda. Na ndo maana tumefundishwa dua tuwe tunazisoma kila mda na kujilinda na shaytwan na vitimbi vyake.
Sasa ww hata nikikuelekeza hutataka kuelewa utabak na ubish kwaio we endelea kuamn utakavyoamini tu. Wala hakuna shida.
Mapepo ni waislamu na wanashauri mema ya kiislamu

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”
Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2814
 
Mapepo ni waislamu na wanashauri mema ya kiislamu

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”
Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2814
Sasa mbona hafith inajieleza hiyo mzee nini huelewi hapo ??
 
Majini mliyonayo Muhammad kasema ni ndugu zenu na ni walinzi wenu pia , mm jini ata kunisogelea haliwezi

Wakristo tunalindwa na Malaika

Umeshaelewa usirudie tena kudanganya humu kwamba waislamu ndugu zenu sio mapepo
Ila muhimu pia kuelewa kwamba waislamu hawaamini kwamba Majini asili yao ni malaika waliyoasi, maana hapo ndio tatizo linapokuja.
 
Ila muhimu pia kuelewa kwamba waislamu hawaamini kwamba Majini asili yao ni malaika waliyoasi, maana hapo ndio tatizo linapokuja.
Malaika hawa asi kwa muumba wao. Allah amewaumba malaika kwa namna ya kua ni watiifu tu, hawa aswi wala kubisha. Ila bina adam na majin nd tuliopewa uhuru wa kuchagua ku.asi au kutwii.
 
Malaika hawa asi kwa muumba wao. Allah amewaumba malaika kwa namna ya kua ni watiifu tu, hawa aswi wala kubisha. Ila bina adam na majin nd tuliopewa uhuru wa kuchagua ku.asi au kutwii.
Ndio nasema kwamba jini ni kitu tofauti kwa jinsi inavyojulikana kwa uislamu na ukristo, kwamba wakristo huamini jini asili yake ni malaika na waislamu huamini jini ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu na hivyo jini si katika malaika wala binaadamu.
 
Ndio nasema kwamba jini ni kitu tofauti kwa jinsi inavyojulikana kwa uislamu na ukristo, kwamba wakristo huamini jini asili yake ni malaika na waislamu huamini jini ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu na hivyo jini si katika malaika wala binaadamu.
Ndoivo basi.
Kama umeelewa hapo, bas naamin pia utaelewa kwann waislam wana amini kuna majin waislam na wasiokua waislam.
Kuna majin wema na wasio kua wema wakiongozw na huyo baba yao Iblis alayhi laana.
Kama tulivyo sisi binadam, wapo waislm na wasiokua waislm
Wapo wema na wasio kua wema.

Nao majin ni viumbe kama viumbe vingine vya Allah. Ulimwengu wao ni tofaut na wa kwetu binadam.


Shetani kwa upande mwingine ni sifa.
Shetan wapo wa kijini na pia wapo shetani wa kibinadamu.

Unaeza ukawa binadamu lkn kwa sifa zako mbaya za kila aina basi wewe ukawa shetani.
Pia kwa upande wa majini halkadhalika.

Vipi hapo umeelewa mzee. Au kama na ww utavalia jezi ya ubish pia ni sawa.
 
La ndama lipo kwenye vitabu vyao , unaweza kuonesha la uzer


Encyclopedia Judaica, Vol. 6, Encyclopedia Judaica Jerusalem, page 1108, Uzair was called the Father of Judaism by the Jews.

According to the same resource in point #1, the Arab Jews in Yemen did indeed consider Uzair as the "son of God"
 
Back
Top Bottom