Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

History and archeology.

1. There is no historical Moses but only biblical

2. In Egypt there is no any record about Moses in Egypt and the Exodus
πŸ‘β˜‘οΈπŸ‘πŸ’
 
Mkuu kwa hakika ni ngumu sana kujua exactly nani kaandika vitabu vya Bibilia kwasababu ya ukosefu wa ushahidi thabiti wa waandishi

Kwa mujibu wa simulizi za vitabu vya Bibilia,
Vitabu vya Bibilia vimeandikwa na watu tofauti kwa muda wa takribani miaka kama 1,400 kwa lugha tofauti na maeneo tofauti Duniani

Simulizi hizi za vitabu vya Bibilia zinazo sadikika β€œzilitokea” miaka mingi nyuma zilikuwa circulating orally for years kutoka kizazi hadi kizazi kabla hazijaandikwa kwa maandishi na lugha tunayozo zijua leo....... hakuna original copy

Enzi za Roman Empire Ukristo ulifanywa kuwa dini rasmi ya kiutawala na hapo ndipo Wanazuoni wa Kirumi walipokaa na kukusanya maandiko na simulizi zote za wakristo(haijulikani idadi vilikua vingapi), wakachambua na kuchagua vitabu kadhaa walivyoona vinafaa na kuviidhinisha kuwa ndio vitakua vitabu vitakatifu Yaani BIBILIA tunayo ijua leo,
Palitokea mvutano vitabu gani vitolewa na vipi viachwe na kusababisha kuwa na Bibilia tofauti kwa idadi ya vitabu kulingana na sect

Simulizi za Bibilia kwa kiasi kikubwa zipo centered around jamii ya waisraeli na imani yao

So BIBILIA tunazo zisoma sasa zilikuwa compiled na Romans

Kwa maelezo haya natumaini nimejibu baadhi ya maswali yako
πŸ‘πŸ‘β˜‘οΈπŸ’πŸŽπŸŽ–οΈπŸ†
 
Mkuu historia ya uhuru wa Tanganyika au mapinduzi ya Znz tu inaleta mkanganyiko ili hali bado waliokuwepo enzi hizo wapo lakini bado maandiko yaliopo yana utata wa uhalisia sembuse Hadithi za Bibilia ambazo zingine hata watunzi hawajulikani na zimesimuliwa miaka kwa miaka hata haijulikani

Nyingi ya Hadithi za Bibilia zilianza kwa mapokeo ya simulizi na sio maandishi, zilikuja kuwekwa kwenye maandishi baadae sana
Lakini pia hazikuwa sehemu moja wala kwenye taifa moja wala kwenye lugha moja na hazikuandikwa zama moja

Ukristo na Bibilia tunao ujua leo ni matokeo ya utawala wa kirumi kuufanya kuwa ndio dini kuu
Walichofanya wanazuoni wa kirumi ni kukusanya hadithi na maandiko yote walioweza kuyapata wakachambua na kuyaweka kwenye kitabu kimoja yaani Bibilia
Hakuna anayejua walitumia mechanism gani kuchagua vitabu vipi viingie na vipi vichomwe moto
Hakuna anayejua usahihi wa Hadithi hizo
Hakuna anayejua kipi kilitolewa na kipi kiliongezwa na kipi kilibadilishwa ku feet matakwa ya utawala wa kirumi....... No body knows

Na ndio maana leo hii tuna Bibilia tofauti sababu wapo walio oona baadhi ya Hadithi hazina hadhi ya kuwa kwenye Bibilia

Kwa muktadha huo kuyaita ni maneno matakatifu ya Mungu ni UBATILI
πŸ‘πŸ‘πŸ’πŸŽπŸŽ–οΈπŸ†
 
Kama nitachukulia wewe ni mtu unayeamini kuhusu uwepo wa Mungu na unaamini pia katika sayansi na historia, labda hivi ni baadhi ya vitu ambavyo naweza kukuonesha kama Ushahidi wa Biblia kuwa ni maandiko matakatifu ya Mungu. (Hapa ninakiri imenibidi niingie online kutafuta sources zitakazonisaidia kunikumbusha kirahisi au zingine pia kuwa mpya kwangu lakini zitafaa kwa wewe na wengine kuziona)

1. Uvumbuzi wa kisayansi

Yako mambo yalioandikwa katika Biblia miaka mingi sana kabla ya uvumbuzi wa ukweli wake au matumizi yake. Mfano;

Ukweli kuhusu dunia kuelea yenyewe bila kushikiliwa na kitu.
Ayubu 26:7 β€œYeye hutandaza kaskazi juu ya nafasi isiyo na kitu, Na kuutundika ulimwengu pasipo kitu.”
Mwanadamu amefahamu ukweli huu mwaka 1650 kupitia sayansi lakini hayo maandiko yamekuwepo miaka mingi sana kabla ya ugunduzi huu.

Kutajwa kwa umbile la dunia kwa mfano wa duara
Isaya 40:22 β€œYeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;”
Neno duara lililotumika hapo lina indicate kitu ambacho kina spherical shape sio kitu ambacho ni flat au mraba
Mtu wa kale kuamini hivi inasemekana ni Aristotle aliyeishi miaka 384 mpaka 322 BC. Lakini nabii Isaya alitumiwa na Mungu kuandika kuhusu ukweli huu around 600 BC.

Mithali 8:27 β€œAlipozithibitisha mbingu nalikuwako; Alipopiga duara katika uso wa bahari;”



Kutajwa kwa Bahari kwamba ina mikondo yake
Zaburi 8:8 β€œNdege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.”
Ni mpaka around karne ya 17 ndo sayansi ikagundua kitu kinachoitwa ocean currents.

Ustaarabu wa kunawa kwa maji tiririka na kuweka wagonjwa karantini

Walawi 15:13 β€œNa huyo aliye na kisonono atakapotakaswa na kisonono chake, atajihesabia siku saba kwa kutakaswa kwake, naye atazifua nguo zake; naye ataoga mwili wake katika maji ya mtoni, naye atakuwa safi.”

Walawi 13:46 β€œSiku zote ambazo pigo li ndani yake, yeye atakuwa mwenye unajisi; yeye yu najisi; atakaa peke yake; makazi yake yatakuwa nje ya marago.”
-- Hayo mambo unaweza kuona ya kawaida lakini ugunduzi wa hizi njia wala haukutokea miaka mingi sana kutokea leo na kutokufahamika kwa njia hizi kumesababisha mamilioni ya watu kufa

(hasa nchi za Ulaya ambako rekodi zipo lakini waisraeli wakiwa taifa changa kabisa katika miaka ya kale walipewa hizi mbinu kama maagizo na yaliwasaidia kuepuka na kuambukizana na magonjwa na baadaye maafa)

Hapa nimechagua mambo machache ya kisayansi kati ya mengi ili kuthibitisha kuwa isingekuwa akili ya binadamu kuweza kuandika mambo hayo ambayo sayansi ya ulimwengu imekuja kuyathibitisha mamia ya miaka baadaye.

2. Kutimia kwa unabii wa Biblia.
Hapa ndo naweza kuandika kitabu kingine kabisa, maana kuna mambo makubwa zaidi ya 1000 ambayo Biblia imeyatabiri na mpaka sasa yametimia, mengine yametimia katika kipindi hicho hicho cha Biblia na mengine yametimia baada ya kuandikwa kitabu cha mwisho cha Biblia. Sasa hapa naomba nisiandike mistari ya Biblia ila chukua muda kufanya utafiti mwenyewe.

3. Ushahidi wa miujiza iliyotajwa na Biblia
Mifano michache:
1) Ushahidi wa kuzama baharini kwa magari ya wanajeshi wa kimisri katika safari ya waisraeli (check for yourself from online sources, lots of documentaries are available)
2) Kufufuka kwa Yesu -- mtu ambaye kaburi lake lililindwa na utawala hodari na maaskari shujaa na kwa amri ya mtawala lakini walishindwa kuzuia kufufuka kwake. Kaburi lake lipo mpaka leo na halina mwili wa Yesu.

Naombeni niishie hapa kwanza, mambo mengi mtu unaweza kufanya utafiti binafsi na ukathibitisha hayo niliyoandika kama kweli una nia ya kutaka kujua na sio tu kubeza bila hoja
Asante mkuu Kwa research yako ulio fanya.
Lakin umeegemea upande mmoja Tu, ambapo baadhi ya Aya AU mistari Ina ukweli,
Lakini,
Umeacha Aya nyingi Tu, ambazo Zina contradiction, mfano
Jua kulizunguka dunia, gharika ya maji πŸ’¦ dunia mzima na safina ya Nuhu kubeba viumbe Hai vya dunia ili visiangamwizwe na gharika.

Kwa Kweli Kwa Hii πŸ‘† science basi mungu alikosea Sana, kiasi cha kwamba mmpaka sisi waja wake tumegundua makosa aliyo yafanya mungu muumba, lakini yeye mpaka Sasa bado hajatoa mrejesho wa makosa aliyo yafanya .


Na wanadamu bado wanaendelea kumzidi mungu kwenye nyanja nyingi Sana za kielimu na maarifa.

Ju ulishawa Wai jiuliza kipi kilianza Kati ya sayansi AU Dini?.


Ukweli ni kwamba sayansi ndio ya kwanza, kumbuka jamii ya Mesopotamian, sumarian zilivyokuwa zime advance kwenye mathematics, astronomy, medical.

SEMA kipindi hicho elimu ilikuwa ni Kwa ajili ya watu wachache Tu,

Hao watu wachache ndio wakamua kuja na Dini ili kuweza kuwatawala, raia wengi wasiojua sayansi, japo sayansi Yao ya kipindi hicho ilikuwa iko limited

Ndipo baadaye Dini zilipokuja kuibuka , na ndio maana kwenye Dini hakuna kuhoji, maandiko Hata kama ni yenye uwongo ,utata
 
Lakin umeegemea upande mmoja Tu, ambapo baadhi ya Aya AU mistari Ina ukweli,
Lakini,
Umeacha Aya nyingi Tu, ambazo Zina contradiction
Ni kweli nime pick mistari michache kama ushahidi wa Biblia kuwa ni maandiko matakatifu ya Mungu, isingekuwa na maana kama nikakuwekea na mistari itakayokufanya u doubt this truth.
Umeacha Aya nyingi Tu, ambazo Zina contradiction, mfano
Jua kulizunguka dunia
Ungeweka mistari husika hapa nikufafanulie, Jua kulizunguka dunia umeiona wapi (kama ni kutoka kitabu cha Yoshua ungesema ili tuanzie pale lakini nisingependa kutumia muda/maelezo mengi kwenye kitu ambacho pengine hukuwaza kama ndo kina contradiction)
gharika ya maji πŸ’¦ dunia mzima na safina ya Nuhu kubeba viumbe Hai vya dunia ili visiangamwizwe na gharika
Kuhusu safina ungesema ni nini ambacho hukielewi au kinapingana na sayansi ningekuelezea how it happened using the same Bible, na kama ungefanya just a simple research ungeweza kuona zipo archeological findings za Noah's ark mpaka leo hii.
Kwa Kweli Kwa Hii πŸ‘† science basi mungu alikosea Sana, kiasi cha kwamba mmpaka sisi waja wake tumegundua makosa aliyo yafanya mungu muumba, lakini yeye mpaka Sasa bado hajatoa mrejesho wa makosa aliyo yafanya
Sorry to say but this is garbage.

Ju ulishawa Wai jiuliza kipi kilianza Kati ya sayansi AU Dini?.


Ukweli ni kwamba sayansi ndio ya kwanza, kumbuka jamii ya Mesopotamian, sumarian zilivyokuwa zime advance kwenye mathematics, astronomy, medical.

SEMA kipindi hicho elimu ilikuwa ni Kwa ajili ya watu wachache Tu,

Hao watu wachache ndio wakamua kuja na Dini ili kuweza kuwatawala, raia wengi wasiojua sayansi, japo sayansi Yao ya kipindi hicho ilikuwa iko limited

Ndipo baadaye Dini zilipokuja kuibuka , na ndio maana kwenye Dini hakuna kuhoji, maandiko Hata kama ni yenye uwongo ,utata
Ungeweka kitu kimoja then tuangalie ukweli wake maana ni kama una introduce kitu kipya tena. Sijaandika hivyo vitu kutetea dini yoyote, mimi kazi yangu kwenye huu uzi ni kuitetea Biblia kuwa ni neno la Mungu.
 
Ni kweli nime pick mistari michache kama ushahidi wa Biblia kuwa ni maandiko matakatifu ya Mungu, isingekuwa na maana kama nikakuwekea na mistari itakayokufanya u doubt this truth.

Ungeweka mistari husika hapa nikufafanulie, Jua kulizunguka dunia umeiona wapi (kama ni kutoka kitabu cha Yoshua ungesema ili tuanzie pale lakini nisingependa kutumia muda/maelezo mengi kwenye kitu ambacho pengine hukuwaza kama ndo kina contradiction)

Kuhusu safina ungesema ni nini ambacho hukielewi au kinapingana na sayansi ningekuelezea how it happened using the same Bible, na kama ungefanya just a simple research ungeweza kuona zipo archeological findings za Noah's ark mpaka leo hii.

Sorry to say but this is garbage.


Ungeweka kitu kimoja then tuangalie ukweli wake maana ni kama una introduce kitu kipya tena. Sijaandika hivyo vitu kutetea dini yoyote, mimi kazi yangu kwenye huu uzi ni kuitetea Biblia kuwa ni neno la Mungu.

Okay sawa, inaonekana unafahamu contradiction zilizokuwepo kwenye Bible.

Kuhusu point ya jua kulizunguka dunia ndio inayomlenga Yoshua, coz Dunia ndio inayozunguka jua, apambapo wasomi walikuja kuvumbua.

Kwanini Yoshua ambaye ni Mtume wa mungu asijue kuwa ni dunia ndio Inayozunguka jua na Sio jua kulizunguka dunia ?
 
Okay sawa, inaonekana unafahamu contradiction zilizokuwepo kwenye Bible.

Kuhusu point ya jua kulizunguka dunia ndio inayomlenga Yoshua, coz Dunia ndio inayozunguka jua, apambapo wasomi walikuja kuvumbua.

Kwanini Yoshua ambaye ni Mtume wa mungu asijue kuwa ni dunia ndio Inayozunguka jua na Sio jua kulizunguka dunia ?
Sasa nikuambie siku nyingine ukikutana na maneno kwenye Biblia huyaelewi au ni kama yanakinzana na elimu uliyopata darasani, nakushauri uwe mnyenyekevu kuuliza na kufanya utafiti sio kurukia kwenye conclusion kama uliyoandika.

Biblia pamoja na kuandikwa in a simplest form ili iwe rahisi kueleweka na mtu yeyote, lakini ukumbuke sio kila mstari, unaweza kueleweka na kila mtu, wa kila jamii iliyoko duniani, bila kufundishwa na wanaoielewa zaidi kwa sababu;

  • Utofauti wa lugha na matumizi ya maneno yake
  • Muktadha wa maandiko husika
  • n.k.
Yoshua 10: 7 - 15

Ni watu wachache sana wenye elimu ya darasani katika hali ya kawaida ambao wakisoma sura ya 10 kitabu cha Yoshua wanaelewa kwamba jua lilisimama kuzunguka in a literal meaning.

Sitaki kulazimisha uelewa wangu kwenye hii sura lakini pengine ungejiuliza;

  • Kama Yoshua ni mwanadamu mwenye ufahamu limited kama sisi na asiye na elimu tuliyonayo leo, amemwomba Mungu jua lisimame katikati ya vita, Je Mungu angeanza kumuelimisha kwanza Yoshua kuwa anaomba vibaya kwa sababu ni dunia ndo inazunguka jua? Huo muda wa kuelimishana na wakati huohuo kupigana vita ungetoka wapi?

  • Je jua halizunguki? Na kama linazunguka kusimama kwake kusingefanya dunia nayo isimame? Mimi nimefahamu jua linazunguka mara ya kwanza nikiwa kidato cha tano miaka sasa imepita.
Ziko tafsiri kadhaa kuhusiana na hii sura, mojawapo inasema; Kwenye lugha ya kiebrania iliyotumika na kwa muktadha wa nchi za Mashariki nyakati zile ukisema β€œjua simama” ni sehemu ya lugha inayoashiria kupata bahati fulani kwenye jambo unalolinenea, na hasa ikimaanisha jua kuacha kuangaza.

Wanaotafsiri hivi wanafanya hivyo kwa sababu;

  1. Wakati Yoshua anasema hayo maneno, haionekani kuwa jioni bali asubuhi(Alikwea kutoka Gilgali usiku kucha Yoshua 10:9 kwa hiyo mpaka anafika eneo la vita haiwezi kuwa jioni bali asubuhi)

  2. Nyakati zile katika mashariki ya kati, timing and position ya jua na mwezi vilionekana ni sababu ya kushinda au kushindwa kwa vita

  3. Pamoja na kwamba Yoshua alitumia maneno ya bahati katika vita lakini kwa sababu alimwomba Mungu, Mungu alimjibu sawa sawa na alichohitaji maana alikuwa katika kazi aliyotumwa na Mungu huyo huyo.

  4. Mstari wa 14 na mistari mingine inaonesha Mungu aliwapigania Israeli, namna mojawapo ni kwa kunyesha mvua ya mawe kwa kambi ya adui zao. Hai make sense sana kwamba kukiwa na mwanga ndo vita vinakuwa vizuri upande wa Israeli peke yake isipokuwa ni kwa sababu Mungu alikuwa Pamoja na wao kuwashindia.

    Kuna scientific discoveries za siku za leo zinaonesha kulitokea longest solar eclipse katika siku za Joshua wa Biblia around 3000 kutoka leo (wengine wanasema ilitokea 1207 BC). Hii discovery inaendana kwanza na tafsiri niliyotaja hapo juu lakini pia iko backed up na archeological sources zilizo katika nchi ya Misri.
 
Sasa nikuambie siku nyingine ukikutana na maneno kwenye Biblia huyaelewi au ni kama yanakinzana na elimu uliyopata darasani, nakushauri uwe mnyenyekevu kuuliza na kufanya utafiti sio kurukia kwenye conclusion kama uliyoandika.

Biblia pamoja na kuandikwa in a simplest form ili iwe rahisi kueleweka na mtu yeyote, lakini ukumbuke sio kila mstari, unaweza kueleweka na kila mtu, wa kila jamii iliyoko duniani, bila kufundishwa na wanaoielewa zaidi kwa sababu;

  • Utofauti wa lugha na matumizi ya maneno yake
  • Muktadha wa maandiko husika
  • n.k.
Yoshua 10: 7 - 15

Ni watu wachache sana wenye elimu ya darasani katika hali ya kawaida ambao wakisoma sura ya 10 kitabu cha Yoshua wanaelewa kwamba jua lilisimama kuzunguka in a literal meaning.

Sitaki kulazimisha uelewa wangu kwenye hii sura lakini pengine ungejiuliza;

  • Kama Yoshua ni mwanadamu mwenye ufahamu limited kama sisi na asiye na elimu tuliyonayo leo, amemwomba Mungu jua lisimame katikati ya vita, Je Mungu angeanza kumuelimisha kwanza Yoshua kuwa anaomba vibaya kwa sababu ni dunia ndo inazunguka jua? Huo muda wa kuelimishana na wakati huohuo kupigana vita ungetoka wapi?

  • Je jua halizunguki? Na kama linazunguka kusimama kwake kusingefanya dunia nayo isimame? Mimi nimefahamu jua linazunguka mara ya kwanza nikiwa kidato cha tano miaka sasa imepita.
Ziko tafsiri kadhaa kuhusiana na hii sura, mojawapo inasema; Kwenye lugha ya kiebrania iliyotumika na kwa muktadha wa nchi za Mashariki nyakati zile ukisema β€œjua simama” ni sehemu ya lugha inayoashiria kupata bahati fulani kwenye jambo unalolinenea, na hasa ikimaanisha jua kuacha kuangaza.

Wanaotafsiri hivi wanafanya hivyo kwa sababu;

  1. Wakati Yoshua anasema hayo maneno, haionekani kuwa jioni bali asubuhi(Alikwea kutoka Gilgali usiku kucha Yoshua 10:9 kwa hiyo mpaka anafika eneo la vita haiwezi kuwa jioni bali asubuhi)

  2. Nyakati zile katika mashariki ya kati, timing and position ya jua na mwezi vilionekana ni sababu ya kushinda au kushindwa kwa vita

  3. Pamoja na kwamba Yoshua alitumia maneno ya bahati katika vita lakini kwa sababu alimwomba Mungu, Mungu alimjibu sawa sawa na alichohitaji maana alikuwa katika kazi aliyotumwa na Mungu huyo huyo.

  4. Mstari wa 14 na mistari mingine inaonesha Mungu aliwapigania Israeli, namna mojawapo ni kwa kunyesha mvua ya mawe kwa kambi ya adui zao. Hai make sense sana kwamba kukiwa na mwanga ndo vita vinakuwa vizuri upande wa Israeli peke yake isipokuwa ni kwa sababu Mungu alikuwa Pamoja na wao kuwashindia.

    Kuna scientific discoveries za siku za leo zinaonesha kulitokea longest solar eclipse katika siku za Joshua wa Biblia around 3000 kutoka leo (wengine wanasema ilitokea 1207 BC). Hii discovery inaendana kwanza na tafsiri niliyotaja hapo juu lakini pia iko backed up na archeological sources zilizo katika nchi ya Misri.
Sawa mtetezi wa Bible,
Lakin maelezo uliyoyatoa bado πŸ‘† hayakupeleki kwenye final decision, bado ni speculation Tu,

Tunataka vitu Viko straightforward , hatutaki tubaki na maswali yasiyokuwa na majibu sahihi
 
Sawa mtetezi wa Bible,
Lakin maelezo uliyoyatoa bado πŸ‘† hayakupeleki kwenye final decision, bado ni speculation Tu,

Tunataka vitu Viko straightforward , hatutaki tubaki na maswali yasiyokuwa na majibu sahihi
Yani from the whole chapter umekosa vya kujifunza kabisa? Ni mpaka vya kujifunza vyote viwe straightforward ndo utaanza kumheshimu Mungu?

Suala la "jua kusimama" peke yake is not a major doctrinal issue unaweza kuwa na interpretation yoyote kichwani mwako na bado ukawa uko sawa mbele za Mungu.

Muhimu ni kuwa mnyenyekevu unapotaka kujifunza, ukileta ujuaji hutakaa uelewe kitu na hutaweza kumjua Mungu. Na ni kwa hasara yako mwenyewe.
 
Yani from the whole chapter umekosa vya kujifunza kabisa? Ni mpaka vya kujifunza vyote viwe straightforward ndo utaanza kumheshimu Mungu?

Suala la "jua kusimama" peke yake is not a major doctrinal issue unaweza kuwa na interpretation yoyote kichwani mwako na bado ukawa uko sawa mbele za Mungu.

Muhimu ni kuwa mnyenyekevu unapotaka kujifunza, ukileta ujuaji hutakaa uelewe kitu na hutaweza kumjua Mungu. Na ni kwa hasara yako mwenyewe.
Acha nidhamu ya uoga,
Kuwa mnyenyekevu Sio kwamba ni Tabia nzuri,

Dini zimewekwa ili kuwa control na kuwazubaza watu masikini,, bila Dini serikali nyingi duniani zingepinduliwa,

Tupeni ushahidi wa uwepo wa mungu?
 
Mbona Yalitungwa Mengi Ya Uongo Na Wazungu Kuhusu Afrika Na Tunayasoma Kwenye Vitabu Na Kuamini Kabisa Biblia Haikutungwa Bali Imetolewa Baadhi Ya Vifungu Na Vingine Kubadilishwa Na Vingine Kuchomwa Moto Kwa Manufaa Ya Watu Binafsi Daniel 7 24 Mpaka 25 Kuna Vitu Nahc Huwa Hatuelewi Au Tunapuuza Au Tunaacha Kuwa Ni Siri Ya Utawa Jarbu Kufatilia Labda Unaweza Ktpata Idea
 
Biblia ni maandiko ya utamaduni na maisha ya watu hasahasa jamii ya waisraeli wa kale na nchi nyingi za mashariki ya kati.

Ndio maana kwenye Biblia hakuna Maisha ya waafrika watanzania, waafrika wakenya, waafrika waganda, waafrika wanyarwanda n.k

Maeneo mengi yaliyo tajwa kwenye Biblia ni maeneo ya Bara la Asia huko mashariki ya kati, Na baadhi ya maeneo machache ya Afrika yanayo pakana na nchi hizi, Na sehemu mbalimbali walizo tembelea wahusika wa kwenye Biblia,

kama palestina, Uturuki,Roma, na nchi nyinginezo

Waafrika pia walikuwa na vitabu vyao vya dini zao za kale na utamaduni wao

Lakini kupitia ujio wa wakoloni, Tamaduni nyingi na maandiko ya waafrika yalipotezwa.

Na waafrika waka anza kuaminishwa na kufundishwa dini(imani) na utamaduni wa wakoloni
(wazungu na waarabu) kupitia vitabu vyao hivyo (Biblia & Quran).
Yaan queen of Sheba hujaisoma habari zake mpaka useme habari za waafrica hazimo mbona zipo nyingi tu kwenye Biblia
 
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Mtunzi ni King James sambamba na wana uchumi nguli wa nchini mwake na hata wanauchumi wa Greece.

Makusudio ilikuwa ni kulifanya taifa la Uingereza kuwa kinara kwenye nyanja ya Uchumi duniani kote kwa miaka na miaka na kuitawala dunia kwa kutumia watu shupavu km Alexander.
 
Back
Top Bottom