Kama binadamu wa kwanza alikuwa mweupe, watu weusi wametoka wapi?

kutokufahamu tunachokifahamu leo ndiko kunalazimisha tuishi kwa kukisia-kisia ukweli tukidhani ndo ukweli wenyewe kutumia dini. maneno kama prophecy na kuoteshwa vifungu ni lugha za kulazimisha ukweli nionanvyo mimi.

Kwanini unadhani hivyo?
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?

ni kweli kama unavyosema lakini iko adam na eva ni watu wa kwanza kuumbwa lakini haina maana uumbaji uliishia hapo mungu alienelea na uumbaji sasa biblia inasema kama kila kitu kingeandikwa vingekuwa vitabu vingisana ni sawa leo kuuliza paka hayupo kwa biblia ilayuponi kwa sababu uumbajiuliendeleo ndio mana watoto wa adam na eva walioa walioa nansasa kama kusingekuwa na mwendelezo wa uumbaji
 
ushahidi narudia tena USHAHIDI uliopo ni kuwa binadamu wa kale kabisa akiishi afrika, nchi ya watu weusi.

Porojo inayolipa sana (dini) inapendekeza mwanadamu wa awali ni mweupe!!!!!!!!!!

Halafu waleta dini hizo nao ni Weupe.
Nalog off
 

Mkuu naomba kyhuluza.kwa io hao weusi Wa ulaya waliokaa ulaya na Asia tangu kipindi cha utumwa nao IPO siku watabaduluka na kua wazungu au wachina???
 

Mkuu,

Hivi lile Fuvu kule NgoroNgoro ni la Adam? Maana si ndio binadamu wa kwanza?
 
Mkuu naomba kyhuluza.kwa io hao weusi Wa ulaya waliokaa ulaya na Asia tangu kipindi cha utumwa nao IPO siku watabaduluka na kua wazungu au wachina???
changes kwa organisms ni kitu ambacho kinachukua muda mrefu sana si siku moja au mbili ka unavofikiri... mtu habadiliki hadi anakufa sema generations zinazokuja watoto wao baadhi ya vitu vinazidi kubadilika... we hukuona nigeria waafrika wawili wakazaa mzungu... au huoni weusi wanazaa ma-albino.. yote ni mabadiliko tu katika genes... na binadamu wa kwanza hakua mweupe... binadamu wa kwanza ni close sana na muafrika kuliko mzungu..
 
Ukitaka kujua kila kitu apa ulimwenguni utadata ujue
 
Binadamu wa kwanza alikuwa mweusi, ndo wna historia walisema hivyo. Ila hawa wachina ndo kitendawili
 
Vitabu vya dini ni hadithi za kale zisizokuwa na uhalisia wowote.Most of them are exagerrated

Kisayansi mnyama wa kwanza ambaye ndo alikuwa ancestor wa mwanadamu alikuwa mweusi

Uweupe wa wazungu ni product ya evolution kulingana na climatic conditions za eneo waliokuwa wanaishi
 

Evolution ilianzia pale kwa pangaea kumeguka
 

yeah....hii imekaa vizuri.
 

Hivi ilikuwaje evolution ikawepo? [kama ilikuwepo]
 
tukijuacho ni kama tone la maji, ila tusicho kijua ni kama maji ya bahari so nobody knows..
 
after the great flood in times of Noah,he cursed one of his children saying `he will be a servant to his brothers`..am not so certain about skin complexion but I think this is where t all started...hvi unafikiri Africa kuwa the poorest continent is just a mere coincidence???with all these resources??wazungu wametuzidi akili by default...huu ni ukweli usiopingika
 
kutokufahamu tunachokifahamu leo ndiko kunalazimisha tuishi kwa kukisia-kisia ukweli tukidhani ndo ukweli wenyewe kutumia dini. maneno kama prophecy na kuoteshwa vifungu ni lugha za kulazimisha ukweli nionanvyo mimi.

Merry Krupa....... Merry Krupa....... well spoken
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…