Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

Unataka kusema hata zile risasi za Tundu Lissu CHADEMA wameshindwa kuzitolea majibu. Huu muda uliotumia kuandika ujinga huu ungewaza kwanini baraza la wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika?
yafaa urelax unapozungumzia serious issues, mihemko inakufanya ushindwe kua na utaratibu, haifai hiyo πŸ’

weakness nyingine ya chama chako, viongozi wako na wewe mwenyewe.

mnafahamu kabisa, mna uwezo mdogo strategically and financially. Hamna consistency kusimamia hoja na mipango yenu.

Lakini still hamjifunzi,
hili hamjamaliza na wala hamjui kama mmefanikiwa au mmekwama, mnaliacha mnadandia lingine🀣🀣

useless kabisa, nyinyi ni bure kabisaa yaani hamjui mnataka nini wala mnaelekea wap 🀣
 
Hahahah kwa hiyo wewe ndiyo mfundishaji! Ccm kweli ni vituko,sasa eti wewe ndiye mfundishaji wa siasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahah kwa hiyo wewe ndiyo mfundishaji! Ccm kweli ni vituko,sasa eti wewe ndiye mfundishaji wa siasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
sio tu mfundishaji,
ni kiongozi wa wanainchi, mkulima na mfugaji ming'ombe, mshauri wa masula ya maisha, biashara, mahusianao, uchumba na ndoa, ni apostle, mwanasiasa mnyonge sana nisie stahili ila kwa Naraka na Neema za Mungu, na mwana diplomasia wa kitaifa na kimataifa.πŸ’

ulipo nipo ukiniita nakuja kwa haraka sana....

siringi, wala sijivungi, nabutua tu, bila mbambamba yoyote πŸ’
 
Mbona umejipa vyeo vingi sana, kwa hivyo vyeo mbona inaokena ni mtu wa maana sana tofauti na ulivyo
 
Kimewafukuza huku kinapokea ruzuku, kwa kuwepo kwa wabunge hao ndani ya Bunge, sifahamu ni lini WANACHADEMA wataamka na kuwaelewa janja ya viongozi wao!
 
CCM ndio wameshindwa kushughulikia tatizo hili walilolitengeneza wenyewe.
CDM walishalimaliza hili na katibu alishatoa taarifa kwa bunge kuhusu uamuzi wa CDM na mahakama.
Kwa mtazamo wangu Spika, Tume na CCM ndio wameshindwa kulimaliza wameamua kufunga macho muda upite.
 
Je, tuache kufuata amri za mahakama tufuate amri zetu za mitaani ili tuendeleze mijadala isiyo na tija? Kheri ya Lissu aliyepaniki kuliko sisi tunashikilia uamuzi wetu dhidi ya mahakama iliyokwisha hitimisha uanachama wao.
 
Kimewafukuza huku kinapokea ruzuku, kwa kuwepo kwa wabunge hao ndani ya Bunge, sifahamu ni lini WANACHADEMA wataamka na kuwaelewa janja ya viongozi wao!
CCM na serikali ndio wanufaika kwa kupata ruzuku toka ulaya kwa kutimiza sharti la kamati ya fedha kuwa chini ya upinzani japo ni feki.
 
Je, tuache kufuata amri za mahakama tufuate amri zetu za mitaani ili tuendeleze mijadala isiyo na tija? Kheri ya Lissu aliyepaniki kuliko sisi tunashikilia uamuzi wetu dhidi ya mahakama iliyokwisha hitimisha uanachama wao.
problem sio kufuata au kutofuata amri ya mahakama, tatizo ni what measures and action should strong institutions take?πŸ’

Think Tankers of that institution should advice the direction to take πŸ’
 
Mbona umejipa vyeo vingi sana, kwa hivyo vyeo mbona inaokena ni mtu wa maana sana tofauti na ulivyo
hivyo sio vyeo,
huo ni uenyeji wangu maeneo hayo na kabisa sijivungi, siono haya wala sina pressure hata kidogo kujipambanua kinagaubaga, kwakweli kwenye mazingira hayo, licha ya majukumu mazito na muhimu sana niliyonayo.

Na daima si mchoyo na sitaki kabisa kua na ubaya na maoni au mtazamo wa mtu yeyote kuhusu anachokifikiria au kuamini katika jambo lolote lile, πŸ’
 
Ni watu hovyo wanaiamini chadema,chama kimejaa mafisadi,pesa za join the chain hazieleweki,uchaguzi umevamiwa kwa mapesa ya kuhongwa yaani na kesho wanaenda kumfukuza Lissu
Mhh!!!! Ona hili, EPA, CAG, Bandari, wizi NCCA yooote ni chadema
 
Basi sawa,hongera sana, wengine ndiyo hivyo tena we can't think beyond the next meal
 
Hawakutumia akili
 
problem sio kufuata au kutofuata amri ya mahakama, tatizo ni what measures and action should strong institutions take?πŸ’

Think Tankers of that institution should advice the direction to take πŸ’
Kwahiyo "Think Tank"! Iishauri mahakama au unataka ifanye nini kwenye suala ambalo lilikwisha ondolewa mikononi mwake! JF kuna wajuaji wa ajabu ajabu.
 
Kwahiyo "Think Tank"! Iishauri mahakama au unataka ifanye nini kwenye suala ambalo lilikwisha ondolewa mikononi mwake! JF kuna wajuaji wa ajabu ajabu.
haipo,
chama hakina hiyo kitu, kingekuepo hii kitu ingeisha kitambo sana, na kama ingekuepo hiyo kitu ndio ingekua inalaumiwa na kulalamikiwa leo πŸ’

sasa kulalamikia sijui bunge au mahakama ni useless, kwasabb hao hulalamikiwa na wote wanaoshindwa kesi na wenye maoni tofauti na ya wengi. Kulalamikiwa ni kawaaida kabisa πŸ’

lakini kisiasa Lazima kungekua na hatua zaidi ya uamuzi wa bunge na mahakama πŸ’
 
Nimesoma comments kibao toka mwanzo wa thread mpaka sasa.
Hoja nilizoona

Watanzania ni watu fulani hivi (ma-dont care)
Inawezekana inasababishwa na kukosa Elimu ya kujitambua na kujua haki zao.
Mf. Walioweka kikokotoo na wanaotaka kiondolewe (bunge perfomance).

Kumbukumbu katika ufuatiliaji mambo.
-mtawala anaweza kuanzisha kitu cha ovyo kabisa na bado akiwa madarakani hakakataa siyo yeye na watanzania wakaona sawa.
Mf. Kufuta mikutano ili tujenge nchi na kuirudisha ingawa sijajua kama nchi ilishajengwa.


Γ· Bendera fuata upepo kuanzia vingozi mpaka wananchi walio wengi (huu ndio mtaji hasa). Watanzania wengi hawajui kesho yao wanalazimika kusifia ili mkono uende kinywani watasifia hata pumba

Hakuna weledi (mtaji mwingine).
Mf. Mtu anakuwa mtangazaji wa Redio/TV directly kutoka kwenye ukomedi .Watu wanalishwa mahudhui yasiyo na mpangalio na hakuna regulatory body ya kusimamia hivi vitu (mtu anakuwa mtangazaji au anafanya kazi fulani bila kupata fresher course / bila kujua ethic za hiyo kazi. Watu wanatazama.

Hizi ni baadhi ya hoja zinazosimama kwa sehemu kubwa katika mjadala huu
Mtu anaandika hoja zake sio kuzingatia uhalisia bali nini atapata kesho kwa alichokiandika au kushadadia Leo (uchawa).
 
Hebu soma ulichokiandika kisha tafsiri kwa kikwenu, utacheka mwenyewe.
 
Hebu soma ulichokiandika kisha tafsiri kwa kikwenu, utacheka mwenyewe.
tukisonga pamoja polepole nami ni lazima upevuke, ukukomae na unawiri vizuri kisiasa...

we bana na kung'ang'ana apo apo mpaka uelewe concept na mantiki mahususi iliyopo....

don"t be good to reply without understanding kama wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…