Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

Unataka kusema hata zile risasi za Tundu Lissu CHADEMA wameshindwa kuzitolea majibu. Huu muda uliotumia kuandika ujinga huu ungewaza kwanini baraza la wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika?
yafaa urelax unapozungumzia serious issues, mihemko inakufanya ushindwe kua na utaratibu, haifai hiyo 🐒

weakness nyingine ya chama chako, viongozi wako na wewe mwenyewe.

mnafahamu kabisa, mna uwezo mdogo strategically and financially. Hamna consistency kusimamia hoja na mipango yenu.

Lakini still hamjifunzi,
hili hamjamaliza na wala hamjui kama mmefanikiwa au mmekwama, mnaliacha mnadandia lingine🤣🤣

useless kabisa, nyinyi ni bure kabisaa yaani hamjui mnataka nini wala mnaelekea wap 🤣
 
cheka tu kwa manufaa yako na hiyo ni nzuri hata kwa afya, na huku kazi ya wanainchi inaendelea vizuri na inasonga mbele kwa biidii bila mbambamba yoyote....🐒

hata hivyo
darasa la elimu ya siasa, uraia na uongozi Lazima nilifindishe kinagaubaga maana naona uelewa na ufahamu bado uko chini juu ya mambo mengi hususani ya kisiasa katika vyama humu nchini. watu wanababaika 🐒
Hahahah kwa hiyo wewe ndiyo mfundishaji! Ccm kweli ni vituko,sasa eti wewe ndiye mfundishaji wa siasa 😂😂😂😂
 
Hahahah kwa hiyo wewe ndiyo mfundishaji! Ccm kweli ni vituko,sasa eti wewe ndiye mfundishaji wa siasa 😂😂😂😂
sio tu mfundishaji,
ni kiongozi wa wanainchi, mkulima na mfugaji ming'ombe, mshauri wa masula ya maisha, biashara, mahusianao, uchumba na ndoa, ni apostle, mwanasiasa mnyonge sana nisie stahili ila kwa Naraka na Neema za Mungu, na mwana diplomasia wa kitaifa na kimataifa.🐒

ulipo nipo ukiniita nakuja kwa haraka sana....

siringi, wala sijivungi, nabutua tu, bila mbambamba yoyote 🐒
 
sio tu mfundishaji,
ni kiongozi wa wanainchi, mkulima na mfugaji ming'ombe, mshauri wa masula ya maisha, biashara, mahusianao, uchumba na ndoa, ni apostle, mwanasiasa mnyonge sana nisie stahili ila kwa Naraka na Neema za Mungu, na mwana diplomasia wa kitaifa na kimataifa.🐒

ulipo nipo ukiniita nakuja kwa haraka sana....

siringi, wala sijivungi, nabutua tu, bila mbambamba yoyote 🐒
Mbona umejipa vyeo vingi sana, kwa hivyo vyeo mbona inaokena ni mtu wa maana sana tofauti na ulivyo
 
Kimewafukuza huku kinapokea ruzuku, kwa kuwepo kwa wabunge hao ndani ya Bunge, sifahamu ni lini WANACHADEMA wataamka na kuwaelewa janja ya viongozi wao!
 
CCM ndio wameshindwa kushughulikia tatizo hili walilolitengeneza wenyewe.
CDM walishalimaliza hili na katibu alishatoa taarifa kwa bunge kuhusu uamuzi wa CDM na mahakama.
Kwa mtazamo wangu Spika, Tume na CCM ndio wameshindwa kulimaliza wameamua kufunga macho muda upite.
 
weak institutions is characterized by weak members like these 🐒

Last time nimeona kibaraka Makamu mwenyekiti chadema huko mpwapwa, hutuba yake yote anajibu dongo lililorushwa na moja wa wa bunge wa COVID-19 anaitwa Halima Mdee kwamba anachokisema kwenye chama chake ni useless na kamwe hawezi kua mwenyekiti wa chadema Taifa hata afanye nini 🤓

Jamaa likapanic sana.....
kama sio mwanachama wa chadema, jamaa anababaika na nini kama kweli huyu mdada si mwanachama wa chadema 🤣

ni muhimu sana kama taasisi, kua Imara, madhubuti na viongozi makini wafanye kaz collectively.

Lakini ni lazima kua na think tank with full of experienced expertise, maalumu ya taasisi kwaajili ya kutoa ushauri, mbinu, hatua za kuchukua, uelekeo wa chama n.k kuliko kutumia utashi au sauti kubwa ya kiongozi Fulani tu kama ndio uelekeo 🐒

nchini nyingine nadhani kungekua na mkwamo wa kikatiba Jambo kama hilo lingetokea na hakuna jambo lingefanyika mpaka uamuzi wa chama na mahakamani utekelezwe 🐒
Je, tuache kufuata amri za mahakama tufuate amri zetu za mitaani ili tuendeleze mijadala isiyo na tija? Kheri ya Lissu aliyepaniki kuliko sisi tunashikilia uamuzi wetu dhidi ya mahakama iliyokwisha hitimisha uanachama wao.
 
Kimewafukuza huku kinapokea ruzuku, kwa kuwepo kwa wabunge hao ndani ya Bunge, sifahamu ni lini WANACHADEMA wataamka na kuwaelewa janja ya viongozi wao!
CCM na serikali ndio wanufaika kwa kupata ruzuku toka ulaya kwa kutimiza sharti la kamati ya fedha kuwa chini ya upinzani japo ni feki.
 
Je, tuache kufuata amri za mahakama tufuate amri zetu za mitaani ili tuendeleze mijadala isiyo na tija? Kheri ya Lissu aliyepaniki kuliko sisi tunashikilia uamuzi wetu dhidi ya mahakama iliyokwisha hitimisha uanachama wao.
problem sio kufuata au kutofuata amri ya mahakama, tatizo ni what measures and action should strong institutions take?🐒

Think Tankers of that institution should advice the direction to take 🐒
 
Mbona umejipa vyeo vingi sana, kwa hivyo vyeo mbona inaokena ni mtu wa maana sana tofauti na ulivyo
hivyo sio vyeo,
huo ni uenyeji wangu maeneo hayo na kabisa sijivungi, siono haya wala sina pressure hata kidogo kujipambanua kinagaubaga, kwakweli kwenye mazingira hayo, licha ya majukumu mazito na muhimu sana niliyonayo.

Na daima si mchoyo na sitaki kabisa kua na ubaya na maoni au mtazamo wa mtu yeyote kuhusu anachokifikiria au kuamini katika jambo lolote lile, 🐒
 
Ni watu hovyo wanaiamini chadema,chama kimejaa mafisadi,pesa za join the chain hazieleweki,uchaguzi umevamiwa kwa mapesa ya kuhongwa yaani na kesho wanaenda kumfukuza Lissu
Mhh!!!! Ona hili, EPA, CAG, Bandari, wizi NCCA yooote ni chadema
 
hivyo sio vyeo,
huo ni uenyeji wangu maeneo hayo na kabisa sijivungi, siono haya wala sina pressure hata kidogo kujipambanua kinagaubaga, kwakweli kwenye mazingira hayo, licha ya majukumu mazito na muhimu sana niliyonayo.

Na daima si mchoyo na sitaki kabisa kua na ubaya na maoni au mtazamo wa mtu yeyote kuhusu anachokifikiria au kuamini katika jambo lolote lile, 🐒
Basi sawa,hongera sana, wengine ndiyo hivyo tena we can't think beyond the next meal
 
SUALA LA WABUNGE 19 WA Covid ni Issue ya System.
Chama cha Chadema kingalitaka kingelicheza mchezo wa kuigiza na kutengua maamuzi yake ya kuwafukuza na kingaliwarudisha kundini kimkakati.
Nchi hii haina sheria.
CCM imechezo mchezo wa kisiasa kwa kuwamewekwa covid-19 pale ili kuhalalalisha uwep wa Kambi ya Upinzani bungeni.

Wamefanya hivyo ili kutimiza Sharti la mabunge ya Common Welth ili waendelee kupata ufadhili wa Wazungu.
Tujifunze Mkakati huu.
Hawakutumia akili
 
problem sio kufuata au kutofuata amri ya mahakama, tatizo ni what measures and action should strong institutions take?🐒

Think Tankers of that institution should advice the direction to take 🐒
Kwahiyo "Think Tank"! Iishauri mahakama au unataka ifanye nini kwenye suala ambalo lilikwisha ondolewa mikononi mwake! JF kuna wajuaji wa ajabu ajabu.
 
Kwahiyo "Think Tank"! Iishauri mahakama au unataka ifanye nini kwenye suala ambalo lilikwisha ondolewa mikononi mwake! JF kuna wajuaji wa ajabu ajabu.
haipo,
chama hakina hiyo kitu, kingekuepo hii kitu ingeisha kitambo sana, na kama ingekuepo hiyo kitu ndio ingekua inalaumiwa na kulalamikiwa leo 🐒

sasa kulalamikia sijui bunge au mahakama ni useless, kwasabb hao hulalamikiwa na wote wanaoshindwa kesi na wenye maoni tofauti na ya wengi. Kulalamikiwa ni kawaaida kabisa 🐒

lakini kisiasa Lazima kungekua na hatua zaidi ya uamuzi wa bunge na mahakama 🐒
 
Nimesoma comments kibao toka mwanzo wa thread mpaka sasa.
Hoja nilizoona

Watanzania ni watu fulani hivi (ma-dont care)
Inawezekana inasababishwa na kukosa Elimu ya kujitambua na kujua haki zao.
Mf. Walioweka kikokotoo na wanaotaka kiondolewe (bunge perfomance).

Kumbukumbu katika ufuatiliaji mambo.
-mtawala anaweza kuanzisha kitu cha ovyo kabisa na bado akiwa madarakani hakakataa siyo yeye na watanzania wakaona sawa.
Mf. Kufuta mikutano ili tujenge nchi na kuirudisha ingawa sijajua kama nchi ilishajengwa.


÷ Bendera fuata upepo kuanzia vingozi mpaka wananchi walio wengi (huu ndio mtaji hasa). Watanzania wengi hawajui kesho yao wanalazimika kusifia ili mkono uende kinywani watasifia hata pumba

Hakuna weledi (mtaji mwingine).
Mf. Mtu anakuwa mtangazaji wa Redio/TV directly kutoka kwenye ukomedi .Watu wanalishwa mahudhui yasiyo na mpangalio na hakuna regulatory body ya kusimamia hivi vitu (mtu anakuwa mtangazaji au anafanya kazi fulani bila kupata fresher course / bila kujua ethic za hiyo kazi. Watu wanatazama.

Hizi ni baadhi ya hoja zinazosimama kwa sehemu kubwa katika mjadala huu
Mtu anaandika hoja zake sio kuzingatia uhalisia bali nini atapata kesho kwa alichokiandika au kushadadia Leo (uchawa).
 
haipo,
chama hakina hiyo kitu, kingekuepo hii kitu ingeisha kitambo sana, na kama ingekuepo hiyo kitu ndio ingekua inalaumiwa na kulalamikiwa leo 🐒

sasa kulalamikia sijui bunge au mahakama ni useless, kwasabb hao hulalamikiwa na wote wanaoshindwa kesi na wenye maoni tofauti na ya wengi. Kulalamikiwa ni kawaaida kabisa 🐒

lakini kisiasa Lazima kungekua na hatua zaidi ya uamuzi wa bunge na mahakama 🐒
Hebu soma ulichokiandika kisha tafsiri kwa kikwenu, utacheka mwenyewe.
 
Hebu soma ulichokiandika kisha tafsiri kwa kikwenu, utacheka mwenyewe.
tukisonga pamoja polepole nami ni lazima upevuke, ukukomae na unawiri vizuri kisiasa... :NoGodNo:

we bana na kung'ang'ana apo apo mpaka uelewe concept na mantiki mahususi iliyopo....

don"t be good to reply without understanding kama wengine:pedroP:
 
Back
Top Bottom