Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

Unaa wa kichawa ndio unaokwamisha maendeleo ya taifa hili,wale wamekubali kuwa chawa wa gereji wenu tena kwa ahadi mnazojua halafu unaleta kebehi zako,hayo ndio yanayofanya chama lako chakavu kutumia mbeleko siku zote kuhakikisha uwepo wake🤪
You have confirmed to the entire country that, you have stacked strategically politically speaking......

u don't have any alternatives or energy to move on, and thus you can do nothing wherever and forever when other institutions do anything to weaken or deconstract your institution🐒

and that means your institution is useless and blames can not help you at all 🐒
 
Dogo ukishiba maharage tunakuja kujamba JF
Unaandika upumbavu
mihemko ghadhabu, dharau na matusi yako yakusaidie mwenyewe, they are useless to me and I have nothing to do with it 🐒

by the way,
your party is weak to defend itself, as well as you are all very weak to defend your party blunders politically speaking 🐒

and that is not my problem, it is your problems 🐒
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Nikiona thread yako huwa nacheka sana, Ccm wana watu wajinga sana
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Nani anakudanganya chama chao kimeshindwa?Au wewe ndiye uneshindwa tafsiri kwa kutumia mahakama?
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Hivi akili huwa tunaziacha wapi? Chadema ilishafukuza hao watu na mahakama ilibariki maamuzi hayo. Spika ndie anapaswa kuwaambia watu hao wabunge wanafanya nini huko bungeni.
 
Swala la hao wabunge Covid-19 haliko mikononi mwa Chadema, acha ujinga wa kulazimisha jambo. Mahakama ilikwisha sema hao si wanachama wa Chadema ila wewe bado unalazimisha ili mradi uiseme Chadema! Huu ni ujinga kutaka tujadili jambo ambalo liliamriwa na mahakama, kwa kifupi ni wabunge wasio na chama na wamo bungeni kwa hisani ya CCM.
weak institutions is characterized by weak members like these 🐒

Last time nimeona kibaraka Makamu mwenyekiti chadema huko mpwapwa, hutuba yake yote anajibu dongo lililorushwa na moja wa wa bunge wa COVID-19 anaitwa Halima Mdee kwamba anachokisema kwenye chama chake ni useless na kamwe hawezi kua mwenyekiti wa chadema Taifa hata afanye nini 🤓

Jamaa likapanic sana.....
kama sio mwanachama wa chadema, jamaa anababaika na nini kama kweli huyu mdada si mwanachama wa chadema 🤣

ni muhimu sana kama taasisi, kua Imara, madhubuti na viongozi makini wafanye kaz collectively.

Lakini ni lazima kua na think tank with full of experienced expertise, maalumu ya taasisi kwaajili ya kutoa ushauri, mbinu, hatua za kuchukua, uelekeo wa chama n.k kuliko kutumia utashi au sauti kubwa ya kiongozi Fulani tu kama ndio uelekeo 🐒

nchini nyingine nadhani kungekua na mkwamo wa kikatiba Jambo kama hilo lingetokea na hakuna jambo lingefanyika mpaka uamuzi wa chama na mahakamani utekelezwe 🐒
 
Nani anakudanganya chama chao kimeshindwa?Au wewe ndiye uneshindwa tafsiri kwa kutumia mahakama?
kimeshindwa vibaya mno politically speaking 🐒

ni dhaifu sana na kwakweli ni vibogoyo hawana meno hawawezi kung'ata kabisa 🐒

taasisi yeyote inaweza kuwatikisa na kuwafanyia chochote kwenye chama chao na wasifanye chochote, hawana ubavu wa kujilinda wala hawana mbinu kujikwamua kwa namna yoyote kwenye mkwamo rahisi kama huo 🐒
 
Hivi akili huwa tunaziacha wapi? Chadema ilishafukuza hao watu na mahakama ilibariki maamuzi hayo. Spika ndie anapaswa kuwaambia watu hao wabunge wanafanya nini huko bungeni.
kwanini tena ndio agenda kwenye majukwaa ya chadema na vikao vya kamati kuu?🐒

na hata leo watajadiliwa tena, juzi mpwapwa hutuba nzima ya kibaraka anababaika na Halima Mdee kwasabb kaelezwa ukweli kwamba, hata aiseme vibaya vip chadema, asahau kabisa kua chairman wa chama hicho cha upinzani🐒
 
Aisee wewe horrible kabisa wale ni wabunge wa ccm kwa mgongo wa CDM
and your are watching your esteemed institution inanajisiwa Infront of your eyes, mnakodoa macho na kukenua meno tu 🐒

sasa mtaweza nini kama institution yenu inatwezwa kama mchuzi mkiangalia 🐒
 
Nikiona thread yako huwa nacheka sana, Ccm wana watu wajinga sana
cheka tu kwa manufaa yako na hiyo ni nzuri hata kwa afya, na huku kazi ya wanainchi inaendelea vizuri na inasonga mbele kwa biidii bila mbambamba yoyote....🐒

hata hivyo
darasa la elimu ya siasa, uraia na uongozi Lazima nilifindishe kinagaubaga maana naona uelewa na ufahamu bado uko chini juu ya mambo mengi hususani ya kisiasa katika vyama humu nchini. watu wanababaika 🐒
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Wanaweza uzushi,Rushwa,umbea na kueneza chuki na mgawanyiko wa jamii bila kusahau matusi Kwa Samia.
 
you know sometimes we need to be serious 🐒

thus why nasema unashindwa kudeal na wanachama wako mwenyewe, sasa utaweza kudeal na independent institutions nyingine kweli achilia mbali kuongoza nchi 🐒

kulalamika na kulaumu unadhani ianatosha au inasaidia nini sasa 🐒

ndio maana tunasema upinzani humu nchini ni dhaifu sana na kibogoyo 🐒

yaani chama kingine au institutions nyingine inakukoroga na kukuchachafya na huna la kufanya 🐒
Unataka kusema hata zile risasi za Tundu Lissu CHADEMA wameshindwa kuzitolea majibu. Huu muda uliotumia kuandika ujinga huu ungewaza kwanini baraza la wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika?
 
Back
Top Bottom