CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
HahahaSikama covid walivyonyweshwq visungura gereji na kugeuzwa chawa😝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaSikama covid walivyonyweshwq visungura gereji na kugeuzwa chawa😝
Visungura ni hatari mzeeLeo mmeamka na visungura ama😝
Erythrocyte wa chadema nimemuona Sinza anakusanya visungura,nikajua tu anaenda navyo kamati kuu leo kabla hawajaanza kikaoLeo mmeamka na visungura ama😝
You have confirmed to the entire country that, you have stacked strategically politically speaking......Unaa wa kichawa ndio unaokwamisha maendeleo ya taifa hili,wale wamekubali kuwa chawa wa gereji wenu tena kwa ahadi mnazojua halafu unaleta kebehi zako,hayo ndio yanayofanya chama lako chakavu kutumia mbeleko siku zote kuhakikisha uwepo wake🤪
mihemko ghadhabu, dharau na matusi yako yakusaidie mwenyewe, they are useless to me and I have nothing to do with it 🐒Dogo ukishiba maharage tunakuja kujamba JF
Unaandika upumbavu
Nikiona thread yako huwa nacheka sana, Ccm wana watu wajinga sanasidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Nani anakudanganya chama chao kimeshindwa?Au wewe ndiye uneshindwa tafsiri kwa kutumia mahakama?sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Hivi akili huwa tunaziacha wapi? Chadema ilishafukuza hao watu na mahakama ilibariki maamuzi hayo. Spika ndie anapaswa kuwaambia watu hao wabunge wanafanya nini huko bungeni.sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
weak institutions is characterized by weak members like these 🐒Swala la hao wabunge Covid-19 haliko mikononi mwa Chadema, acha ujinga wa kulazimisha jambo. Mahakama ilikwisha sema hao si wanachama wa Chadema ila wewe bado unalazimisha ili mradi uiseme Chadema! Huu ni ujinga kutaka tujadili jambo ambalo liliamriwa na mahakama, kwa kifupi ni wabunge wasio na chama na wamo bungeni kwa hisani ya CCM.
kimeshindwa vibaya mno politically speaking 🐒Nani anakudanganya chama chao kimeshindwa?Au wewe ndiye uneshindwa tafsiri kwa kutumia mahakama?
Aisee wewe horrible kabisa wale ni wabunge wa ccm kwa mgongo wa CDMsasa hiyo si constitutional crisis?
au Commonwealth association wanaruhusu hiyo au wahusika wa kurise hiyo issue ndio wamezubaa?🐒
kwanini tena ndio agenda kwenye majukwaa ya chadema na vikao vya kamati kuu?🐒Hivi akili huwa tunaziacha wapi? Chadema ilishafukuza hao watu na mahakama ilibariki maamuzi hayo. Spika ndie anapaswa kuwaambia watu hao wabunge wanafanya nini huko bungeni.
and your are watching your esteemed institution inanajisiwa Infront of your eyes, mnakodoa macho na kukenua meno tu 🐒Aisee wewe horrible kabisa wale ni wabunge wa ccm kwa mgongo wa CDM
cheka tu kwa manufaa yako na hiyo ni nzuri hata kwa afya, na huku kazi ya wanainchi inaendelea vizuri na inasonga mbele kwa biidii bila mbambamba yoyote....🐒Nikiona thread yako huwa nacheka sana, Ccm wana watu wajinga sana
Wanaweza uzushi,Rushwa,umbea na kueneza chuki na mgawanyiko wa jamii bila kusahau matusi Kwa Samia.sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Unataka kusema hata zile risasi za Tundu Lissu CHADEMA wameshindwa kuzitolea majibu. Huu muda uliotumia kuandika ujinga huu ungewaza kwanini baraza la wawakilishi hakuna Wabunge toka Tanganyika?you know sometimes we need to be serious 🐒
thus why nasema unashindwa kudeal na wanachama wako mwenyewe, sasa utaweza kudeal na independent institutions nyingine kweli achilia mbali kuongoza nchi 🐒
kulalamika na kulaumu unadhani ianatosha au inasaidia nini sasa 🐒
ndio maana tunasema upinzani humu nchini ni dhaifu sana na kibogoyo 🐒
yaani chama kingine au institutions nyingine inakukoroga na kukuchachafya na huna la kufanya 🐒