Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?


Hahahaaaaa Kabisa Serikali haibuni vyoanzo vipya bali wanaangalia wapi kuna watumiaji wengi ndio hapo hapo wanakandamiza.
 
Tupe mrejesho mkuu!
 
Natural gas ni non inflamable
 
 
Hii iko poa zaidi lkn kwanini wasiweke na vituo mikoani? Yale magari yenye engine kubwa na bie hua ni nafuu tutaweza kuyamudu sasa kuliko hv vi baby walker
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee
 
Makofi rabda tukupige kichwani kwa namna ulivyo tuvuruga kwa kutufungua akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…