Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

Zipo nyingi hadi daladala kwa siku anatumia gass ya 30000 analaza hesabu ya 200000 na hapo ushatoa posho ya kon
Uber na bolt ndo zinaongoza kwa kutumia gasi ktk hizi gari ndogp
 
Hii gesi nchi nyingine ingekuwa imeshasambaa kila mkoa na watu wanafaidi matunda ya nchi yao,, afrika tunakosea wapi?
 
Kutuuliza sisi ni kutuonea......ilitakiwa uwaulize hukohuko chamani kwenu mdo wanaweza kukupa jibu stahiki
Mkuu, katika vitu tunafeli waafrika ni kutegemea kila kitu toka kwa wazungu!

Sioni kama selikali yangu ya ccm inafanya juhudi zozote kuhakikisha hii gesi inawanufaisha wanachi kama ilivyo kwa waarabu na mafuta,.
 
Tatizo sio kwamba nimeshindwa kununua petroli, tatizo wanufaikao na too za petroli ndio adui zangu.
KWENYE petroli tunatozwa Hadi Kodi za kuwastarehesha wakurugunzi
Sawa sasa nimekupata vyema kabisa.
 
Mbona inatumika tayari
UDSM, Mikocheni maeneo mengine miundombinu bado
 
Kuna vituo vingapi vya kujaza gesi nchini kwa dar mie nakijua cha ubungo tu

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…