Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

Hamna watu wanaoisoma namba Kama makada wa Chama Cha Mazezeta, hamuonekani kwenye teuzi, Wala hamko special mkilinganisha na raia wengine.
Mmebaki tu kubusu viatu vya watawala
Chama cha mazezeta ni kipi?
 
@
Mkishajaa kwenye gesi mkawa wengi, MTAJUA HAMJUI. Hiiiiiiiiiiii..........................................!!!!!!!!!
Bado sana watu kuwa wengi...

Hadi sasa gesi asili inafikika mikoa minne tu Mtwara, Lindi, Pwani na Dar...

Na katika mikoa hiyo si wilaya zote bali zile zilizo pembezoni mwa bomba la gesi asilia...

Bahati mbaya sana sera za CCM juu ya gesi asilia zipo kwenye makaratasi tu, mfano ukifuatilia domestication ilivyo fanyika utaona ni nyumba chache tu zinazofaidi kwenye kutumia gesi hiyo kupikia majumbani...

Sehemu pekee ambapo umma wote umefaidika ninkwenye uzalishaji umeme...
 
Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.

Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.

Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
Utabebesha gari lako mtungi wa kilo 50
 
Serikali ikionq mmehamia tu huko wanaanza kodii
 
Ujinga wa hii kitu inamaliza nafasi kwenye buti ukishaweka utakuwa ukitoka Chunya au Tukuyu kuja Dar unaacha kubeba Mchele na maparachichi na mikungu ya ndizi...Na kingine huwa siamini kama Technology hiyo ni salama hasa pale gari linapopata ajali na kupinduka huwa nahisi kama mlipuko utkaotokea hapo si wa kitoto
Una asilimia kubwa ya kupata.mlipuko kwa hizo petroli kuliko gesi......gesi wanayoweka humo sio kama hio ya kupikia majumbani
 
Mkuu mapiga dili kwenye biashara ya mafuta yanapiga vita sana project ya gesi kwenye magari kuendelezwa.......imagine miaka yote ni kituo kimoja tu pale ubungo maziwa na kingine cha wachina naona kinajengwa kule tazara, sasa ikitokea magari mengi yamefunga gesi, vituo viwili pekee vitatosha?
 
Jikusanyeni halafu mkisha badilisha mifumo ya mafuta kwenye vibebi woka (Magari Ya Mtumba) vyenu na mkaweka mifumo ya gas. Mtuambie, ili sisi kama serikali ya chama pendwa ya CCM tutapandisha kodi maradufu za gas kutoka "KG 1 KWA 1550/Tsh" na kufikia "KG 1 KWA 3,500/Tshs".

Itakua fursa nzuri kwetu kuongeza makusanyo ya kodi ili kuendeleza miradi ya kimkakati, tuweze kufika uchumi wa juu kabisa kuliko ulaya. Kama tulivyoongeza kodi kwenye "KILIMO CHA UMWAGILIAJI".

CCM Hoyee!!! CCM Hoyeeeeeeeee!!! Makofi!!!
Kumbuka kwamba kg moja ya gesi inapuyanga kuliko zutu la kawaida,so bado tutakuwa kwenye green hata wakitutwanga hiyo 3500.

Kifupi gesi bado ni uchaguzi nafuu zaidi.
 
Jikusanyeni halafu mkisha badilisha mifumo ya mafuta kwenye vibebi woka (Magari Ya Mtumba) vyenu na mkaweka mifumo ya gas. Mtuambie, ili sisi kama serikali ya chama pendwa ya CCM tutapandisha kodi maradufu za gas kutoka "KG 1 KWA 1550/Tsh" na kufikia "KG 1 KWA 3,500/Tshs".

Itakua fursa nzuri kwetu kuongeza makusanyo ya kodi ili kuendeleza miradi ya kimkakati, tuweze kufika uchumi wa juu kabisa kuliko ulaya. Kama tulivyoongeza kodi kwenye "KILIMO CHA UMWAGILIAJI".

CCM Hoyee!!! CCM Hoyeeeeeeeee!!! Makofi!!!
Kumbe
404e521730c24a829c1d2689e2d00a72.jpg
 
Jikusanyeni halafu mkisha badilisha mifumo ya mafuta kwenye vibebi woka (Magari Ya Mtumba) vyenu na mkaweka mifumo ya gas. Mtuambie, ili sisi kama serikali ya chama pendwa ya CCM tutapandisha kodi maradufu za gas kutoka "KG 1 KWA 1550/Tsh" na kufikia "KG 1 KWA 3,500/Tshs".

Itakua fursa nzuri kwetu kuongeza makusanyo ya kodi ili kuendeleza miradi ya kimkakati, tuweze kufika uchumi wa juu kabisa kuliko ulaya. Kama tulivyoongeza kodi kwenye "KILIMO CHA UMWAGILIAJI".

CCM Hoyee!!! CCM Hoyeeeeeeeee!!! Makofi!!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka kifala
 
Gesi ni kama sola. Gharama ni kubwa sana mwanzoni katika kuweka mifumo yake. Ukishaweka unaenjoy maisha mpaka itakapopata hitilafu na kuhitaji repair. Ila ni chaguo zuri sana.

Nashauri ufanyike uwekezaji mkubwa kwenye vituo vya kujazia na utengenezaji wa mitungi bora hapahapa nchini.

Halafu kabla sijasahau, tuliambiwa gesi ya mtwara itakuwa ikitumika majumbani mwetu kipitia mabomba kama ilivyo maji ya DAWASA, hii plani imeishia wapi? Au ilikuwa danganya toto ya wanasiasa?
 
Back
Top Bottom