Kama hakuna atakayezungumza ukweli kuhuru Iran mimi nitazungumza

Kama hakuna atakayezungumza ukweli kuhuru Iran mimi nitazungumza

Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.

Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.

Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?

Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
Si wanasema chopa zilikuwa 3 sasa hizo zingine vipi
 
Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.

Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.

Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?

Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
acheni tufanye assumption and speculation
 
Iran wanaweza kuficha hali halisi ya kilichotokea ikiwa kuna mkono wa israeli ni aibu kwao kukiri hilo hadharani kuwa chopa imetunguliwa. Wakikiri imetunguliwa wataonekana ni wadhaifu na hawana uwezo wa kujilinda, wanapigika kirahisi tu
 
Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.

Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.

Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?

Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
hata yale makombora yaliyopiga radar yao, iran walisema ndege zilizokuja hazikuwa detected, hawajui zilitoka nchi gani. yaani mtu anaingia nchini kwako anakupiga alafu hujui ni mtu gani. ila kaja kukupiga.
 
Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.

Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.

Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"

Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.

Yaani unauliza kweli iko wapi hali ya hewa mbaya ama unatania?

Hiyo picha tu inaonesha hali mbaya ya hewa halafu unauliza kitu kilicho wazi.

Tumefuatilia live coverage kwenye TV mbalimbali ulimwenguni ilikuwa ni shida hata kuona mita kadhaa tu mbele kwa hali ya fog iliyokuwepo.

Vitu vingine sio lazima ujiaibishe uonekane falah sasa ni bora kuficha ujinga wako ukaishi nao mwenyewe tu ama labda walau na ndugu zako wakifahamu ujinga wako sio mbaya.
 
Hello Diana Wallace
Screenshot_20240520-191950.png
 
Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.

Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.

Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"

Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.

Usicheze na Myahudi. Walimuua Yesu bila huruma sembuse mwarabu?
 
Weka ushahidi wa chanzo chako cha habari
Kwani yeye hawezi kuwa chanzo cha hii habari mkuu,labda ni mchambuzi wa mambo hayo?

Mimi kupitia alichoandika parah ya mwanzo kwenye mada yake nimeamua nimsikilize but the issue is....mleta mada ndiyo umeshamaliza mada yako au utarudi kuiendeleza na kutoa elimu namna hiyo silaha inavyotumika?
 
Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.

Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.

Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"

Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.

Man you know nothing about intelligence world. Eti imeshushwa na space laser seriously? Yaan waataalam walioko ground iran bado hawajatoa tamko. Kaa kwa kutulia instead of generating conspiracy theories
 
Back
Top Bottom