Kama hakuna atakayezungumza ukweli kuhuru Iran mimi nitazungumza

Kama hakuna atakayezungumza ukweli kuhuru Iran mimi nitazungumza

hata yale makombora yaliyopiga radar yao, iran walisema ndege zilizokuja hazikuwa detected, hawajui zilitoka nchi gani. yaani mtu anaingia nchini kwako anakupiga alafu hujui ni mtu gani. ila kaja kukupiga.


Iran Bado Sana wanaweza pigana na Nterahanwe congo huko sio Israel
 
Hivi umekunywa togwa ya wapi?
Waswahili ni wepesi sana kusahau mambo madogo yaliyopita duniani na hata nchini

Nyie ndio mnamhurumia Dr Gwaji kwa lugaragara bungeni ila mmesahau ya Corona na juice ya Madagascar

Sasa nikukumbushe tu hivi karibuni jamaa aliruhusu kukamatwa kwa wanawake wasiovaa hijab na wengine kufungwa na mmoja wao kuuwawa
Ni hardliner
Mwaka 1988 aliamrisha watu kuuwawa na 5000 waliuwawa
Leo ni sherehe huko Iran wakifurahia kifo chake
Hebu muwe mnafuatilia hata taarifa za habari tu na habari za kimataifa

Kama wamemuuwa wao au ni hali ya hewa ndio imekuwa sababu we don't give a toss
Hayo ni yao unasema tuweke ushabiki pembeni ila humjui kabisa Raisi zaidi ya mapenzi ya Israel
 
Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.

Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.

Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?

Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
Hii ni michezo ya kawaida sana kwa Mossad na hawajaanza leo wala jana. Hata Iran wanajua!

Screenshot_20240520_173155_OfficeSuite.jpg
IMG-20240520-WA0159.jpg
 
Uzuri matukio kama haya yanatusaidiaga watz kupoteza muda, kupunguza stress na kubana bajeti.....

Mie tangu asubuhi ni iran iran iran kushtuka muda wa chai umepita ikabidi nipige lunch.

Tuendeleeni jamani kesho hata lunch naipita tuendelee na iran
 
Changamoto ya ndege za Iran, zimetengenezwa miongo mingi iliyopita na wanarekodi nyingi za ajali za ndege, kwahiyo sioni ajabu hiyo ndege kupata ajali. Kwa upande wangu nafikir Meteorological agency ya Iran ni dhaifu bora hata TMA yetu, wenyewe ndio walitakiwa watoe Alert ya hiyo hali ya hewa mbaya
Hapa ndo watu wanapata ukakasi kuwa inawezekanaje top leader anapanda helicopter na kuelekea sehem ambayo haijathibitishwa kuwa ipo salama kupita
 
Something Impacted the flight and the flight was done and Raisi was done too
 
Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.

Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.

Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?

Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
Nakuona mzee wa Sunday school umekuja na hitimisho
 
Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.

Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.

Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?

Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.

Umesahau kuwauliza chopa
mbili za msafara wa raisi zilifika salama.. inakuwaje walishindwa kujua chopa ya rais iko wapi yaan hakuna hara distress call kat yao?
 
Back
Top Bottom