Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashupalia mambo ya kipumbavu! Yanakuhusu nini wewe?Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.
Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.
Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"
Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.
Chanzo ni yeye mwenyewe lakini yupo NzegaWeka ushahidi wa chanzo chako cha habari
Hawa Arabs/Muslim, wapigwe tu, ukitaka kujua ubaya wao, kaishi ZenjHuu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.
Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.
Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"
Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.
Walikufanya nini dogo 😄Jwa
Hawa Arabs/Muslim, wapigwe tu, ukitaka kujua ubaya wao, kaishi Zenj
Sasa mbona wewe hujaja na fact? Hicho ulichoweka hapo ni nini?Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.
Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.
Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"
Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.
Kuna watu washavalishwa medali fulani hv ndani ya ikulu ya Kiongozi fulani Kwa kazi nzuri iliyofanyika Kwa hilo tukio hilo😀😃😄Chezea Myahudi wa bonyokwa keshashiba kande zake, mtamwambia nini? Khabari Zote anazo kiganjani. Alaaaaa.... Hebu ongeza sauti
Houthi wako wapi walipize kisasi bosi wao kauawa?Us anaweza kuhusika, Israel anaweza kuhusika, Azerbaijan anaweza kuhusika pia sababu huyo Azerbaijan ana urafiki mkubwa na Wayahudi pia hali ya hewa kila kitu kinawezekana, mimi nashaka kuna mkono wa US sababu ndege yao ilionekana karibu na hio area.
Kila kitu kinawezekana pia na siku zao zakufa zilifika hio haina shaka.
Hao wanajuana wewe ogopa mossad na cia ila wairan wamegombana na hao jamaa ndani ya iraq leo hii muiran anainfluence na kuirun iraq wamegombana syria leo hii muiran anainfluence na kuiran syria na pia Lebanon ndio sehemu jamaa zako wa cia wamepigwa na vitu vizito mno kupitia hizbullah kwa hiyo kwenye hayo mambo wanazinguana wote hakuna mnyonge na pia kitenda hiki chukulia wamefanya hivyo kumdungua raisi wameachive nini kimkakati kama regime bado ipo na mambo yao yanaendeleaKati ya mashirika ya kijasusi ya kuogopa duniani Iran ameyazingua MOSSAD na CIA kwahiyo tutegemee mengi sana coz hao miamba wanajua kutengeneza matukio ambayo kupata ushahidi inakubidi utulize kichwa kweli kweli
Mapema tuLeo umemeza njugu zako au?
Lini myahudi alikili kumuua kiongozi kutoka Iran?Mbona wenyewe bado hawajasema Sasa.
Karibu sana, mkuu. Unasugua hadi unaona sura ya ndugu kwenye sufuria.Mkuu nataka kuja kuosha vyombo marekani
kumbe hawa wanapowafyonza uhai majeneral wa Iran hua wanaropoka kua wamewaua ?!Mbona wenyewe bado hawajasema Sasa.
Wewe unaamini hiyo picha??. Kwahiyo Kuna mtu kapiga picha hiyo chopa ikiangukaHuu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.
Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.
Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"
Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.
Israel siyo level ya Iran Netanyahu nomaHuu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine.
Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space laser.
Naomba unionyeshe hiyo "hali mbaya ya hewa"
Hii chopa imeshushwa na sio ajali. I think Iran is quickly and efficiently learning the hard way, that they messed around the real gurus.