hata yale makombora yaliyopiga radar yao, iran walisema ndege zilizokuja hazikuwa detected, hawajui zilitoka nchi gani. yaani mtu anaingia nchini kwako anakupiga alafu hujui ni mtu gani. ila kaja kukupiga.
Issue ni kuwa We can neither agree or disagree any conspiracyWairan wenyewe wanasemaje? Maana nyuzi za ushabiki ni nyingi na Hazina facts to prove their allegations
Asante boss, nafanya pia shughuli za kuchomelea na plumbingKaribu sana, mkuu. Unasugua hadi unaona sura ya ndugu kwenye sufuria.
Asante boss, nafanya pia shughuli za kuchomelea na plumbing
Hawa ma consular sijui wanavuta bangi wamekuwa wagumu mno, ngoja nijaribu tena.Hiyo utapiga hela. Kazi zipo nyingi sana Cha msingi ni kufika.
Hii ni michezo ya kawaida sana kwa Mossad na hawajaanza leo wala jana. Hata Iran wanajua!Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.
Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.
Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?
Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
Hapa ndo watu wanapata ukakasi kuwa inawezekanaje top leader anapanda helicopter na kuelekea sehem ambayo haijathibitishwa kuwa ipo salama kupitaChangamoto ya ndege za Iran, zimetengenezwa miongo mingi iliyopita na wanarekodi nyingi za ajali za ndege, kwahiyo sioni ajabu hiyo ndege kupata ajali. Kwa upande wangu nafikir Meteorological agency ya Iran ni dhaifu bora hata TMA yetu, wenyewe ndio walitakiwa watoe Alert ya hiyo hali ya hewa mbaya
[emoji3]Kuficha aibu nayo ni kazi ya kufanya, unaweza kulia huku kucheka.When people are determined to find faults they can accuse Chameleone for moving too fast...[emoji1][emoji1]
Conspiracy haziishii...
Hello Diana Wallace View attachment 2995348
Nakuona mzee wa Sunday school umekuja na hitimishoChopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.
Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.
Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?
Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.
Chopa imeanguka hayupo aliyeiona ikianguka, hiyo picha uliyoiweka hapo ni satellite au umeitoa wapi? Pembeni panaonekana kuna ukungu kuonesha hali mbaya ya hewa iliyokuwepo eneo la tukio.
Inawezekana myahudi amefanya jambo lake, kwasababu kama kweli Iran wanaintelijensia wangetakiwa kujua kama wanawindwa na adui, kitendo cha kufeli kutambua hilo kinaonesha Iran bado dhaifu sana kimbinu za kijeshi, hawa hawana uwezo wa kushindana na myahudi.
Sababu ya hali ya hewa iliyotumika inaweza kuwa inatumiwa na Iran wenyewe kuficha ukweli wa kile kilichowakuta, kama waliona hali mbaya ya hewa kwanini wakarusha chopa? hawakujua athari zake?
Hii sababu waliyoitoa kwangu haiingii akilini.