Moto wa kuzimu uwe naye daima!RIP Jembe letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto wa kuzimu uwe naye daima!RIP Jembe letu
Chuki alikuwa nazo yeye kwa kuua na kutesa raia! Kifo chake kimeokoa wengi ambao wangeuawa bila hatia hivyo stahiki yake ni kuteketezwa katika moto wa jehanam!Ukiacha kumwandika mwanao utamwambia sgr umejenga ww na stigrass gouge, na makao Dom ulihamisha ww,magu ni mwamba wenye chuki tafuteni kazi nyingine.
HahahaahaMATAGA vs Nyuki wa mama [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]vimeumana
Hayo ya jahanamu unayajua? Alivyotupitisha kwenye covid19 hukuona jamaa alikuwa na akili nchi hii haijapata kiongozi Kama JPM,Chuki alikuwa nazo yeye kwa kuua na kutesa raia! Kifo chake kimeokoa wengi ambao wangeuawa bila hatia hivyo stahiki yake ni kuteketezwa katika moto wa jehanam!
Halafu hiyo civid-19 ikampitia moja kwa moja!Hayo ya jahanamu unayajua? Alivyotupitisha kwenye covid19 hukuona jamaa alikuwa na akili nchi hii haijapata kiongozi Kama JPM,
Stigrass gouge ndio nini we mng'aa?Ukiacha kumuandika mwanao utamwambia SGR umejenga wewe na stigrass gouge, na makao Dom ulihamisha wewe, Magu ni mwamba wenye chuki tafuteni kazi nyingine.
Uongo wenu tu,kuna siku mtatuambia kweli.Halafu hiyo civid-19 ikampitia moja kwa moja!
tigrass gouge ndio nini we mng'aa?
Yote niliyoandika hapo hiyo stigrass ndiyo huielewi? Ingia chumba cha babako angalia juu ya godoro utaiona.Stigrass gouge ndio nini we mng'aa?
Inama vizuri na panua nione vizuri mdhuti weweYote niliyoandika hapo hiyo stigrass ndiyo huielewi? Ingia chumba cha babako angalia juu ya godoro utaiona.
Kaulize Mzenda Hospital watakupa ukweli!Uongo wenu tu,kuna siku mtatuambia kweli.
Tuliza mshono, dead and goneTunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Shughuli za kitaifa?, kwa mmomonyoko na msuguano wa CCM inawalizimu kujifanya kuwa wao wanamjali . Hapana! Wananchi wasikubali kulaghahiwa na Shughuli zezote za namna hii Chato. Ni wanafiki na wanaenda kufanya hili ili waweze kupata kura tu. Kampeni zao ndipo zinapoanzia sasa. ni wanafiki na wamejaa dhuluma tupu.Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Alimuua NaniBasi huyo MAGU WAKO HAKUJUA NA NDIO MAANA ALIKUWA ANAUA WATU OVYO OVYO huku wewe 8unashangilia.
Kifo ni kwa kila mtu.