Kama Hamas wameweza Comfortably kujipenyeza Israel yenye Usalama wa Taifa Bora, vipi nchi zingine Afrika zinazojisifu kuwa na Usalama wa Taifa tishio?

Nchi ambayo imewaweka raia wake kama adui namba moja usitegemee kuna kinachoshindikana maana kuiasi Katiba hupelekea viapo vingine kupoteza maana.


Mungu anatulinda ndo maana hatupo kwenye rada za wenye meno ya risasi
 
Naungana nawe.
Israel walitaka kuingia Gaza na kumaliza kila kitu ila sababu hawakuwa nayo, sasa wamepata sababu
 
Sisi nchi yetu ya TOZONIA.. usalama ni mwendo wa kujigamba "unanijua mimi nani"
Kuteka watu"watu wasijulikana"
Kutesa, kung'oa meno kwa PLAIZI
Kutupa watu kwenye viroba.
sijui kwenu huko TANZANIA nchi iliyobarikiwa duniani, nchi ya amani.
Umesahau kukamata magwanda ya mabaka mabaka ya mtumbani
 
Nachojua, ukanda wa Gaza pamoja na kuwa ni sehemu ya wahamiaji (settlers) pengine haijapewa kipaumbele kivile kama miji mingine ya Israel
 
Hakuna nchi afrika yenye Usalama wa Taifa tishio na mahiri Duniani HAKUNA ! Narudia HAKUNA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…