GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Nyangumi wa hapa JamiiForums wamenishindwa na Wengine sasa tumekuwa Marafiki na tunaheshimiana utakuwa Dagaa, Simbilizi na Ndorobo Mmoja Wewe?Acha hizo huyu popoma hamna kitu ni keyboard warrior
Anatafuta wa 'Kumkaza' tu huyo Mkuu.We vipi? Mtu kaleta hoja maridhawa we unaleta habari za kupata mke, are serious?
Yaani una akili finyu sana. Yaani Israel anavyowalinda raia wake kiasi kile halafu aruhusu HAMAS waingie wauwe, wateke raia pamoja na wanajeshi?Usiwaamini waisrael, subir wakamilishe mipango yao kwanza ndo utajua Intel yao ipoje na kwann waliruhusu Yale yatokee.
Huko maitaifa ya bara lile haya hayawezi tokea ardhi ipo ya kutosha mihadarati sio issue we uza tu kikubwa top leaders wawe na parcents yaan sioni sababu ya unayoyasema kutokea
Una mihemko sio bure . Israel bila bwana wake US hana lolote.acha ushabiki, Israel ni dude kubwa lenye uwezo wa kujitegemea kuwanyuka maadui zake
kwani hamas hawana wa kuwasaidia? Tulia ucheki kifinyo cha mbwa mwizi watakachokipata hamasUna mihemko sio bure . Israel bila bwana wake US hana lolote.
Tayari, msiba umeanza hukoHumo kwenye fremu zilizojengwa na kwenye mafundi gereji kuna wanausalama, adui asijaribu kutumia fremu hizo kufanya yake cha moto atakipata mapema tu. Israel ilijisahau tu kuwa adui yake yuko karibu. Sasa tulia usikilizie muziki mnene watakaoupata hamas, raia wema bora waanze kuondoka mapema. Magaidi shambulio lao wameliita mafuriko, Israel italeta lao kali kuliko mafuriko, niwasaidie kuwapa jina waliite operation hell fire. Hamas watajuta kuchokoza dude
[emoji1787][emoji1787]Nakufahamu sana ndugu yaishie hapa nakujua unadegree ya matusi
Kwanini Mkuu?Ikitokea umetoweka duniani JF utamisiwa Sana
Hakunaga wanaume hapa duniani zaidi ya Watelebani wakifuatiwa na warusi, warabu wasomali. Wazungu kazi yao kuunda "matoy" na kutisha watu tu. Islael haijawahi kupigana na taifa lolote kubwa bora hata Eukrain ametunisha misuli kwa mwamba Putini. Islael uwezo wao ni wa kupigana na wanamgamba wa Hamas, waje wajichenge wapigane na Saudia au Iran hapo ndio nguvu yao itapimwa.Taleban kutoka The grave yard of empires wamesema wako tayari kwenda kutoa kichapo Kwa Wayahudi wakipewa access ya kupita na Nchi jirani.
Nadhani mnajua mtoto wa taleban kwenye guerilla Wars
daah hiyo jamaa hata mm nahisi anatulia taiming tu. nahivi tulivyokaa kizembezembe🙆♂️Tolu anaitaman hii ardhi vibaya Sana.
Unamwamini fundi wako akija kutengeneza taa ya chooni kwakoNgoja sasa GENTAMYCINE nijiandae kwenda zangu Site Mapinga kujenga Nyumba za Watu ( nikiwa kama Saidia Fundi ) nikipitia njia niipendayo ya Boko Magengeni kisha naingia nayo kuelekea Mbweni Malindi kupitia Chuo cha Mafunzo Yasiyojulikana nivuke Mto Mpiji na nikatize Kiaraka kilipo Chuo cha Makomandoo hadi nifike zangu Kiembeni na mwishoni nikite Kambi katika Center maarufu ya Mchango wa Hela.
Kama Israel ina Idara ya Usalama wa Taifa tishio na mahiri duniani lakini Wajanja wa Hamas wameweza Kujipenyeza, Kujipanga, Kuratibu Nashambuliwa na kufanya Kilichofanyika vipi kwa yale Mataifa mengine ( hasa Barani Afrika ) ambayo mengine Kutwa yanatamba au Watendaji wao wa Usalama wa Taifa Wanatamba mitaani huku Wakijiamini kuwa Idara yao ni Kali na kwamba kamwe katika hizo nchi zao hakuna Adui atakayeweza Kuingia wakati kuna baadhi ya hizo nchi ( GENTAMYCINE sizijui ) kwa sasa maeneo yao Nyeti ( ya Kambi ) kumejengwa Fremu za Biashara za Kupangisha na kuna zingine hadi zina Gereji za Bajaji, Pikipiki na hata Gari.
Sisi intelligentsia yetu ni ku deal na CDM na wote nawao fanana na hao ..... kama hujanielewa hutonielewa tenaNgoja sasa GENTAMYCINE nijiandae kwenda zangu Site Mapinga kujenga Nyumba za Watu ( nikiwa kama Saidia Fundi ) nikipitia njia niipendayo ya Boko Magengeni kisha naingia nayo kuelekea Mbweni Malindi kupitia Chuo cha Mafunzo Yasiyojulikana nivuke Mto Mpiji na nikatize Kiaraka kilipo Chuo cha Makomandoo hadi nifike zangu Kiembeni na mwishoni nikite Kambi katika Center maarufu ya Mchango wa Hela.
Kama Israel ina Idara ya Usalama wa Taifa tishio na mahiri duniani lakini Wajanja wa Hamas wameweza Kujipenyeza, Kujipanga, Kuratibu Nashambuliwa na kufanya Kilichofanyika vipi kwa yale Mataifa mengine ( hasa Barani Afrika ) ambayo mengine Kutwa yanatamba au Watendaji wao wa Usalama wa Taifa Wanatamba mitaani huku Wakijiamini kuwa Idara yao ni Kali na kwamba kamwe katika hizo nchi zao hakuna Adui atakayeweza Kuingia wakati kuna baadhi ya hizo nchi ( GENTAMYCINE sizijui ) kwa sasa maeneo yao Nyeti ( ya Kambi ) kumejengwa Fremu za Biashara za Kupangisha na kuna zingine hadi zina Gereji za Bajaji, Pikipiki na hata Gari.
Kweli au si kweliSisi intelligentsia yetu ni ku deal na CDM na wote nawao fanana na hao ..... kama hujanielewa hutonielewa tena
Mkuu sio kwamba HAMAS Walifanikiwa au ISRAIL walikuwa hawana taarifa mzee baba!!! shirika lao la kijasusi la MOSSAD kwa kushirikiana na MAJASUSI wa MISRI walishanusa na wakatoa taarifa kwa NETANYAU,na NETANYAU akaitisha kikao cha siri cha usalama,,lakini kutoka na ISRAIL kutafuta kila njia kuichukua GAZA na kuogopa lawama za DUNIA,,wakaona hii ndio fursa,so wakakubaliana watulie tu!! ila jamaa wakitekeleza tu shambulio{HAMASS} basi ISRAIL apate sababu ya kuibomoa GAZA,kuijenga upya baada ya ushindi,kuitawala na kujipanua!!!!!"THINK CRITICALLY!!!!!!!!!!!!!!!Ngoja sasa GENTAMYCINE nijiandae kwenda zangu Site Mapinga kujenga Nyumba za Watu ( nikiwa kama Saidia Fundi ) nikipitia njia niipendayo ya Boko Magengeni kisha naingia nayo kuelekea Mbweni Malindi kupitia Chuo cha Mafunzo Yasiyojulikana nivuke Mto Mpiji na nikatize Kiaraka kilipo Chuo cha Makomandoo hadi nifike zangu Kiembeni na mwishoni nikite Kambi katika Center maarufu ya Mchango wa Hela.
Kama Israel ina Idara ya Usalama wa Taifa tishio na mahiri duniani lakini Wajanja wa Hamas wameweza Kujipenyeza, Kujipanga, Kuratibu Nashambuliwa na kufanya Kilichofanyika vipi kwa yale Mataifa mengine ( hasa Barani Afrika ) ambayo mengine Kutwa yanatamba au Watendaji wao wa Usalama wa Taifa Wanatamba mitaani huku Wakijiamini kuwa Idara yao ni Kali na kwamba kamwe katika hizo nchi zao hakuna Adui atakayeweza Kuingia wakati kuna baadhi ya hizo nchi ( GENTAMYCINE sizijui ) kwa sasa maeneo yao Nyeti ( ya Kambi ) kumejengwa Fremu za Biashara za Kupangisha na kuna zingine hadi zina Gereji za Bajaji, Pikipiki na hata Gari.