Kama Hamas wameweza Comfortably kujipenyeza Israel yenye Usalama wa Taifa Bora, vipi nchi zingine Afrika zinazojisifu kuwa na Usalama wa Taifa tishio?

Kama Hamas wameweza Comfortably kujipenyeza Israel yenye Usalama wa Taifa Bora, vipi nchi zingine Afrika zinazojisifu kuwa na Usalama wa Taifa tishio?

Acha hizo huyu popoma hamna kitu ni keyboard warrior
Nyangumi wa hapa JamiiForums wamenishindwa na Wengine sasa tumekuwa Marafiki na tunaheshimiana utakuwa Dagaa, Simbilizi na Ndorobo Mmoja Wewe?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Usiwaamini waisrael, subir wakamilishe mipango yao kwanza ndo utajua Intel yao ipoje na kwann waliruhusu Yale yatokee.

Huko maitaifa ya bara lile haya hayawezi tokea ardhi ipo ya kutosha mihadarati sio issue we uza tu kikubwa top leaders wawe na parcents yaan sioni sababu ya unayoyasema kutokea
Yaani una akili finyu sana. Yaani Israel anavyowalinda raia wake kiasi kile halafu aruhusu HAMAS waingie wauwe, wateke raia pamoja na wanajeshi?

Kwani ukikiri tu Israel amezidiwa akili na HAMAS unapungukiwa nini? Kufikia sasa zaidi ya Waisraeli 400 wameuliwa na Wapelestina 390 na bado mapigano yanaendelea Gaza.
 
Humo kwenye fremu zilizojengwa na kwenye mafundi gereji kuna wanausalama, adui asijaribu kutumia fremu hizo kufanya yake cha moto atakipata mapema tu. Israel ilijisahau tu kuwa adui yake yuko karibu. Sasa tulia usikilizie muziki mnene watakaoupata hamas, raia wema bora waanze kuondoka mapema. Magaidi shambulio lao wameliita mafuriko, Israel italeta lao kali kuliko mafuriko, niwasaidie kuwapa jina waliite operation hell fire. Hamas watajuta kuchokoza dude
Tayari, msiba umeanza huko

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hiyo nchi bila shaka inaitwa 'Popo' unachokisema ni kweli mana huwa nzi wa kijani ndio wanaoiwakilisha idara ile
 
Taleban kutoka The grave yard of empires wamesema wako tayari kwenda kutoa kichapo Kwa Wayahudi wakipewa access ya kupita na Nchi jirani.

Nadhani mnajua mtoto wa taleban kwenye guerilla Wars
Hakunaga wanaume hapa duniani zaidi ya Watelebani wakifuatiwa na warusi, warabu wasomali. Wazungu kazi yao kuunda "matoy" na kutisha watu tu. Islael haijawahi kupigana na taifa lolote kubwa bora hata Eukrain ametunisha misuli kwa mwamba Putini. Islael uwezo wao ni wa kupigana na wanamgamba wa Hamas, waje wajichenge wapigane na Saudia au Iran hapo ndio nguvu yao itapimwa.
 
Raia wema wa palestina wajitahidi wawe wanawachoma Hawa wanamgambo wa Hamas .
 
Gereji za bajaji [emoji23][emoji23]umesahau na majiko ya nyama choma na kumbi za starehe
 
Ngoja sasa GENTAMYCINE nijiandae kwenda zangu Site Mapinga kujenga Nyumba za Watu ( nikiwa kama Saidia Fundi ) nikipitia njia niipendayo ya Boko Magengeni kisha naingia nayo kuelekea Mbweni Malindi kupitia Chuo cha Mafunzo Yasiyojulikana nivuke Mto Mpiji na nikatize Kiaraka kilipo Chuo cha Makomandoo hadi nifike zangu Kiembeni na mwishoni nikite Kambi katika Center maarufu ya Mchango wa Hela.

Kama Israel ina Idara ya Usalama wa Taifa tishio na mahiri duniani lakini Wajanja wa Hamas wameweza Kujipenyeza, Kujipanga, Kuratibu Nashambuliwa na kufanya Kilichofanyika vipi kwa yale Mataifa mengine ( hasa Barani Afrika ) ambayo mengine Kutwa yanatamba au Watendaji wao wa Usalama wa Taifa Wanatamba mitaani huku Wakijiamini kuwa Idara yao ni Kali na kwamba kamwe katika hizo nchi zao hakuna Adui atakayeweza Kuingia wakati kuna baadhi ya hizo nchi ( GENTAMYCINE sizijui ) kwa sasa maeneo yao Nyeti ( ya Kambi ) kumejengwa Fremu za Biashara za Kupangisha na kuna zingine hadi zina Gereji za Bajaji, Pikipiki na hata Gari.
Unamwamini fundi wako akija kutengeneza taa ya chooni kwako
 
Ngoja sasa GENTAMYCINE nijiandae kwenda zangu Site Mapinga kujenga Nyumba za Watu ( nikiwa kama Saidia Fundi ) nikipitia njia niipendayo ya Boko Magengeni kisha naingia nayo kuelekea Mbweni Malindi kupitia Chuo cha Mafunzo Yasiyojulikana nivuke Mto Mpiji na nikatize Kiaraka kilipo Chuo cha Makomandoo hadi nifike zangu Kiembeni na mwishoni nikite Kambi katika Center maarufu ya Mchango wa Hela.

Kama Israel ina Idara ya Usalama wa Taifa tishio na mahiri duniani lakini Wajanja wa Hamas wameweza Kujipenyeza, Kujipanga, Kuratibu Nashambuliwa na kufanya Kilichofanyika vipi kwa yale Mataifa mengine ( hasa Barani Afrika ) ambayo mengine Kutwa yanatamba au Watendaji wao wa Usalama wa Taifa Wanatamba mitaani huku Wakijiamini kuwa Idara yao ni Kali na kwamba kamwe katika hizo nchi zao hakuna Adui atakayeweza Kuingia wakati kuna baadhi ya hizo nchi ( GENTAMYCINE sizijui ) kwa sasa maeneo yao Nyeti ( ya Kambi ) kumejengwa Fremu za Biashara za Kupangisha na kuna zingine hadi zina Gereji za Bajaji, Pikipiki na hata Gari.
Sisi intelligentsia yetu ni ku deal na CDM na wote nawao fanana na hao ..... kama hujanielewa hutonielewa tena
 
Ngoja sasa GENTAMYCINE nijiandae kwenda zangu Site Mapinga kujenga Nyumba za Watu ( nikiwa kama Saidia Fundi ) nikipitia njia niipendayo ya Boko Magengeni kisha naingia nayo kuelekea Mbweni Malindi kupitia Chuo cha Mafunzo Yasiyojulikana nivuke Mto Mpiji na nikatize Kiaraka kilipo Chuo cha Makomandoo hadi nifike zangu Kiembeni na mwishoni nikite Kambi katika Center maarufu ya Mchango wa Hela.

Kama Israel ina Idara ya Usalama wa Taifa tishio na mahiri duniani lakini Wajanja wa Hamas wameweza Kujipenyeza, Kujipanga, Kuratibu Nashambuliwa na kufanya Kilichofanyika vipi kwa yale Mataifa mengine ( hasa Barani Afrika ) ambayo mengine Kutwa yanatamba au Watendaji wao wa Usalama wa Taifa Wanatamba mitaani huku Wakijiamini kuwa Idara yao ni Kali na kwamba kamwe katika hizo nchi zao hakuna Adui atakayeweza Kuingia wakati kuna baadhi ya hizo nchi ( GENTAMYCINE sizijui ) kwa sasa maeneo yao Nyeti ( ya Kambi ) kumejengwa Fremu za Biashara za Kupangisha na kuna zingine hadi zina Gereji za Bajaji, Pikipiki na hata Gari.
Mkuu sio kwamba HAMAS Walifanikiwa au ISRAIL walikuwa hawana taarifa mzee baba!!! shirika lao la kijasusi la MOSSAD kwa kushirikiana na MAJASUSI wa MISRI walishanusa na wakatoa taarifa kwa NETANYAU,na NETANYAU akaitisha kikao cha siri cha usalama,,lakini kutoka na ISRAIL kutafuta kila njia kuichukua GAZA na kuogopa lawama za DUNIA,,wakaona hii ndio fursa,so wakakubaliana watulie tu!! ila jamaa wakitekeleza tu shambulio{HAMASS} basi ISRAIL apate sababu ya kuibomoa GAZA,kuijenga upya baada ya ushindi,kuitawala na kujipanua!!!!!"THINK CRITICALLY!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom