Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

Toka lini Hamas wanavaa kofia za Pama[emoji28][emoji28][emoji28]. Ila Israel kwa propaganda bhana
Una uhakika gani Hamas wote walivaa sare zao?

Kwani hao Hamas hawawezi kuvaa nguo za kawaida za kiraia?
 
Haiwezekani wayahudi waingie palestina kama wakimbizi lakini leo hii waliowakuta ndio wamegeuka kuwa wakimbizi. Ukiuliza unaambiwa eti ni Mungu wao alisema. Sasa kila Mungu wa mtu akisema hapa duniani ni wapi patakalika? Foolish
Screenshot_20231218_141320_Google.jpg
 
Hiyo ni akili yako ya chuki katibu mkuu wa UN ambaye ni mzungu na mkristo ,aliwaambia isael hili tatizo wamelitengeneza wenyewe kwani kwa miaka 70 wamekuwa wakikandamiza haki za wapalestina , freedom fighters sehemu yoyote yenye kukandamizwa haki lazima wawepo kubali ukatae
Kitendo cha Hamas (Wapelestina) kumuua mtanzania asiye na kosa na kuimba Allah Akbar ni sahihi 100% waisrael wasiwape uhuru wapalestina maana wakiwapa uhuru itakuwa kama Sudan na Somalia na kutaundwa vikundi vya kigaidi vya kiislamu vingi sana vitakavyojilpua Israel.
 
Unajua
World's Worst Genocides ?

Kuna Muarabu hapo au umekalilishwa na umemezeshwa chuki dhidi ya Waarabu.
Toka hapa dini inakufanya unakuwa chizi
Maarabu ni magaidi
Ninasema hivyo sababu nilishafanya kazi kwa maarabu yana roho mbaya sijawai ona alafu yanajifanya yana swali kila muda yametunyanyasa sana haya siyapendi
 
Toka hapa dini inakufanya unakuwa chizi
Maarabu ni magaidi
Ninasema hivyo sababu nilishafanya kazi kwa maarabu yana roho mbaya sijawai ona alafu yanajifanya yana swali kila muda yametunyanyasa sana haya siyapendi
Wewe punguani kweli yaani unataka watu wate tufanye reference kwako tutajuaje kama ukikuwa mwizi ukifukuzwa kazi unaleta chuki zako kuna taifa la Magaidi kama Israel wameuwa watoto zaidi yq 8000 huwezi kuona huo ugaidi sababu umejaa chuki na unafiki.
 
Wewe punguani kweli yaani unataka watu wate tufanye reference kwako tutajuaje kama ukikuwa mwizi ukifukuzwa kazi unaleta chuki zako kuna taifa la Magaidi kama Israel wameuwa watoto zaidi yq 8000 huwezi kuona huo ugaidi sababu umejaa chuki na unafiki.
Toka hapa wewe mvaa kobozi fuatili nchi zinazoongoza kwa ugaidi duniani kama sio za kiarabu
Yaani hii dini yenu inatupa shida sana duniani kilichomponza joshua ni jina lake ndio maana wapalestina wakamuua
 
Inawezekana ila ni wapelestina hao
Hao jamaa sio HAMAS hao ni Waisraeli sema wamejaribu kuwasigizia HAMAS, why nasema hivyo kwamba kuna watu walikuwa wanapita na hawakubuguziwa kabisa na vijana waliishia njiani na pikipiki mbona hawakupigwa risasi kwa mbali.
 
Hamas ndio code yao ipo hivi wale sio hamas waliomuua mollel.
Acha propaganda wewe hata zile picha zilizotoka wakiua waisrael na wakisheherekea uliona wamejifunika uso?

Picha za hao hamas sura zao zinaonekana kama zilivyokuwa wazi kwenye tukio la october 7. Hawa ni magaidi na wanaowatetea nao wanatetea ugaidi.

Ifike mahali watu wanaotetea au kujihusisha na mambo ya ugaidi taarifa zao ziweze kufanyiwa upembuzi zaidi. Mengi yanaweza julikana. Kwa mtu yoyote anaetumia electronic device anaweza patikana hata kama ni anonymous
 
Toka hapa wewe mvaa kobozi fuatili nchi zinazoongoza kwa ugaidi duniani kama sio za kiarabu
Yaani hii dini yenu inatupa shida sana duniani kilichomponza joshua ni jina lake ndio maana wapalestina wakamuua
Sawa mimi navaa kobazi nakubali wewe unayevaa msalaba wa mboa nani pimbi?
Pitia hii link kisha itajua nani Gaidi.
 
Uoni kamq hao ni waarabu??? Au kwa kuwa dini yako
 
Sawa mimi navaa kobazi nakubali wewe unayevaa msalaba wa mboa nani pimbi?
Pitia hii link kisha itajua nani Gaidi.
Kwani wewe unaongea ukiwa jela labda ulifungwa miaka 90 iliyopita sina haja ya kufungua hilo link lako coz kila kitu kipo wazi kuhusu hao ndugu zako wa kujitoa muhanga kisa dini
Hiyo Quran yenyewe inasema ukifia unatetea dini utaenda kufaidi mabikra 72 peponi nani aliwaambia peponi kuna vitanda vya kufanyia mapenzi na hao mabikra 72

Nchi zinazongooza kwa vita na vikundi vya kigaidi na watu kujitoa muhanga eti kisa kwenda kupata mabikra 72 peponi ni za kiarabu kama somaria, sudani, Afghanistan, Syria,Palestina n.k
 
Pole kwa familia ya mollel
Mleta mada umeleta hoja zamaana ila ngojea utukanwe na kukejeliwa
Kuna mijitu haijui hata kupembua chenga na mchele
Hawa hapa hao Hamas oct 7 mbona hawakuficha sura zao?
Mnawatetea hamas kwa masilahi ya nani?
Hamas ndio code yao ipo hivi wale sio hamas waliomuua Mollel
Hawa ni hamas ama sio wao?
Mnajishushia heshima kupinga vitu vilivyo wazi. Mnataka wote tuonekane mazuzu
 
Kuna suala pia la kuuliza, Jee Joshua alikwenda Israel au Pelestine kwa masomo ?
Video inaonesha akiuliwa kwenye ardhi ya Palestine na siyo Israel, jee alifikaje hapo na baiskeli na alikuwa akifanya nini Palestine ? Au Hapo anapouliwa na Israel. Kama ni Israel mbona Hamas wamemchagua yeye mweusi wakati pembeni tunaona kuna watu wengine hawana hata wasiwasi wanatembea zao.
Hii ndio tamani ya Israel na paresina.
Ukiijua huwezi kuuliza maswali ya kiduwanzi km hayo
IMG_3566.jpg
 
Wanaukumbi.

#JoshuaMollel:

👉🏽Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?

Nina maswali:

1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?

3) 👉🏽Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?

4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?

5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.

Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.

Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Tuishurutishe serikali kutafuta ukweli.

Jarida la Time of Israel liliandika hivi…

Joshua Mollel, 21, an agricultural student from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and officials said his body was being held hostage in Gaza.
===============
Joshua Mollel, 21, mwanafunzi wa kilimo kutoka Tanzania, alitekwa nyara na magaidi wa Hamas mnamo Oktoba 7 kutoka Kibbutz Nahal Oz. Mnamo Desemba 13, kifo chake kilithibitishwa, na maafisa walisema mwili wake ulikuwa umewekwa mateka huko Gaza.

Kwa hiyo mwili wa Joshua bado upo Gaza.
Alijibu ndiyo au hapana?
 
Back
Top Bottom