Kama haufanyi mambo haya hauna haki ya kumiliki pesa au mali; utaishia kutamani tu na umasikini hautakuacha

Weeee! Ivi searching engine like chrome, na apps like Facebook,X , tuachane navyo twende like Microsoft ni huduma au bidhaa tuaze hapo kwanza
Mimi huwa naona wanaproducts ambazo zinatoa service.
Ndio maana huwa wanazinunua kama products. Mfano Google walinunua Youtube. Facebook wakanunua Whatsapp
 
ila kweli Supply creates it's own demand ni wewe tu kuwa committed unapiga hela.
 
Mungu anao uwezo wote ila ametengeneza mfumo wa kufanya kazi na malaika Ili tujifunze kufanya mambo kimfumo. Utajiri umejikita kwenye kuweza kutengeneza mfumo wa uhitaji na usambazaji huduma au bidhaa.
 
Wewe ni tajiri au unamiliki heleri?
 
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kuna watu wanatajirikia kkoo. Kariakoo kuna kila aina ya bidhaa, ukienda kufanya bishara pale sio kwamba unaenda kutatua problem ila unaenda kuongeza chumvi kwenye maji ya bahari.

So utajiri sio lazima kutatua tatizo
 
Usitudanganye kuwa tajiri kwa hali ya vipato vya watanzania wengi wanaotuzunguka ni uongo....unaweza sema uanzishe uzoaji wa taka..hapo hapo manispaa wanataka chao..bado hao wazolewaji taka nao kulipa ni mtiti...wacha bana...wenye utajiri labda uingie kwny magendo...ukwepe kodi n.k
 
Binafis naamin ili ufanikiwe/kutajirika, uishi nje ya mfumo kwamda mpaka utakapo jipata, ndio urudi kwenye sheria zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…