Kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba

Kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba

Vocal Fremitus

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
1,287
Reaction score
6,648
Kumekua na wimbi la akina dada kuzalia nyumbani hasa hawa wa miaka 19-26. Unakuta kijana anajua hana uwezo wa kuhudumia mimba na kuchukua majukumu kama baba lakini anazalisha tu.

Kuna hawa jamaa ambao wameshaoa, anakuwa na kamchepuko kwa tamaa zake, anakazalisha. Wakati uwezekano wa kumuoa haupo. Hii inachangia sana kujaza single mothers mtaani.

Hivi utajiskiaje kuona dada yako ambaye amezalishwa bila kuolewa na masela, anafika kwenye mwisho wa 20's anapatikana mtu mwenye nia ya kuoa lakini anasitisha kwa kuhofia kuoa single mother (maana single mothers wanalika kirahisi na wazazi wenza).

Vijana tubadilike, kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba.
 
Wee jamaa bwana, sasa wao wenyewe hawajionei hurumu wanagawa tu mbususu na wanapenda kukojolewa ndani. Ule umoto moto wa shahawa ndio unaleta raha ya kugegedwa mzeya.

All men want one thing from a woman, fortunately for us men, women also want it too 😝
 
Mwanamke ndie anae-control uzazi so ungewambia wanawake mkuu.
Mwanaume ndio anaeweza kucontrol kwa kiasi kikubwa Wanawake wakiwa wanasex wanapoteza kabisa uwezo wa kufikiri mwanzoni anakupa tahadhari kabisa yupo siku za hatari ila katikati huko anakuambia mwagia ndani.

Katika sex at least Mwanaume uwezo wake wa kufikiri hubaki kwa kiasi fulani.

"Kama hutomuoa usimpe mimba" naunga mkono hoja.
 
Wee jamaa bwana....sada wao wenyewe hawajionei hurumu wanagawa tuu mbususu na wanapenda kukojolewa ndani...ule umoto moto wa shahawa ndio unaleta raha ya kugegedwa mzeya.

All men want one thing from a woman, fortunately for us men, women also want it too [emoji13]
Kama wanapenda kukojolewa ndani, watumie vitanzi, vidonge vya majira au sindano. Kuliko kujibebesha mimba ambazo zinakuja kuwa-cost for their entire life time.
 
Mwanaume ndio anaeweza kucontrol kwa kiasi kikubwa Wanawake wakiwa wanasex wanapoteza kabisa uwezo wa kufikiri mwanzoni anakupa tahadhari kabisa yupo siku za hatari ila katikati huko anakuambia mwagia ndani. Katika sex at least Mwanaume uwezo wake wa kufikiri hubaki kwa kiasi fulani.

"Kama hutomuoa usimpe mimba" naunga mkono hoja.
Naam. Upo sahihi kabisa.
 
Waki tongozwa na wenye nia ya kuwa oa wana leta nyodo. Ohhhh mm bado kuolewa. Ohhh huna hela. Hawashauliki. Wana kimbilia mashalobaro. Kisa mihemko za nyege.

Ngoja kwanza hadi idadi ya Single Mothers wafike Million 10 nchini. Ndio heshima ya Mwanaume ita rudi.
 
Kumekua na wimbi la akina dada kuzalia nyumbani hasa hawa wa miaka 19-26. Unakuta kijana anajua hana uwezo wa kuhudumia mimba na kuchukua majukumu kama baba lakini anazalisha tu.

Kuna hawa jamaa ambao wameshaoa, anakuwa na kamchepuko kwa tamaa zake, anakazalisha. Wakati uwezekano wa kumuoa haupo. Hii inachangia sana kujaza single mothers mtaani.

Hivi utajiskiaje kuona dada yako ambaye amezalishwa bila kuolewa na masela, anafika kwenye mwisho wa 20's anapatikana mtu mwenye nia ya kuoa lakini anasitisha kwa kuhofia kuoa single mother (maana single mothers wanalika kirahisi na wazazi wenza).

Vijana tubadilike, kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba.
Kwanini kia tatizo la mwanamke its mens fault yaani jamii inafanya wao kama mbuzi wasiokua na akili
 
Waki tongozwa na wenye nia ya kuwa oa wana leta nyodo. Ohhhh mm bado kuolewa. Ohhh huna hela. Hawashauliki. Wana kimbilia mashalobaro. Kisa mihemko za nyege.

Ngoja kwanza hadi idadi ya Single Mothers wafike Million 10 nchini. Ndio heshima ya Mwanaume ita rudi.
Sahihi. Wakiwa wamepevuka, chuchu saa sita hawashikiki. Wanakuja kukumbuka kutulia tayari washazalishwa na sharobaro kasepa. Ndio maana inatakiwa ipatikane elimu kwa hawa vijana masharobaro kama hawana nia ya kuoa basi atleast wasiwape mimba.
 
Back
Top Bottom