Kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba

Kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba

🤣🤣🤣 Ofcoz mate, its easier to express myself eloquently using the english language.

How u doing this morning? Is my sister in law Lizzy well too?
😀😀😀😀 Inaonekana mwanawane umekosa tu ajira ila umombo ni mwingi sana, sasa sijui twende milembe au tukomae na melo hapa hapa

Lizzy bado kalala kuna kabaridi 😀😀
 
Sijui watu wengine huwa wanachukuliaje, mi kwangu kitendo cha kuzaa naona ni kikubwa sana kikubwaa mnooo yani kuzaa sijawahi kuichukulia kirahisi....nashangaa maamuzi ya watu leo kuzaa na huyu kesho kuzaa na yule kesho kutwa kuzaa kwingine, au kubeba mimba ya mtu na kumsingizia mwingine asee hapana....mabinti sijui wanakwama wapi kwanini uzae zae ovyo ovyo na uone ni kitu cha kawaida
 
Sijui watu wengine huwa wanachukuliaje, mi kwangu kitendo cha kuzaa naona ni kikubwa sana kikubwaa mnooo yani kuzaa sijawahi kuichukulia kirahisi....nashangaa maamuzi ya watu leo kuzaa na huyu kesho kuzaa na yule kesho kutwa kuzaa kwingine, au kubeba mimba ya mtu na kumsingizia mwingine asee hapana....mabinti sijui wanakwama wapi kwanini uzae zae ovyo ovyo na uone ni kitu cha kawaida
Na unachukuliaje mdada kuamua kuzaa pasipo kuolewa.
 
Hawataacha kuzaa ila changamoto zitawapa ujasiri na ubongo kutanuka kifikra. Kwa sababu jukumu la kulipa ada, kutafuta chakula, elimu na matibabu lipo kwenye mabega ya hawa wanawake miaka inavyokwenda binti wa kike watakuwa na nguvu kichumi kuliko vijana wa kiume.

Unakuta kijana kazalisha ila anachofanya ni kubeti na kula kimasihara wakati single mother wake anapambana na tenda za samaki, viazi, mbogamboga, vikoba, vikao vya kina mama n.k
 
Kwaio kila anaepewa mimba anatakiwa aolewe...?
 
Sijui watu wengine huwa wanachukuliaje, mi kwangu kitendo cha kuzaa naona ni kikubwa sana kikubwaa mnooo yani kuzaa sijawahi kuichukulia kirahisi....nashangaa maamuzi ya watu leo kuzaa na huyu kesho kuzaa na yule kesho kutwa kuzaa kwingine, au kubeba mimba ya mtu na kumsingizia mwingine asee hapana....mabinti sijui wanakwama wapi kwanini uzae zae ovyo ovyo na uone ni kitu cha kawaida
Hakika umeokoka👍
 
Na unachukuliaje mdada kuamua kuzaa pasipo kuolewa.
Katika kuolewa mambo huwa ni mengi Bill kuna scenario nyingine ni ngumu unabaki kuachia muda uamue mfano umependana na mtu halafu home wanaleta figisu unafanya nini?

Kwangu kama mtu hajaolewa ila kazaa watoto hata 5 na mwanaume huyo huyo mmoja mimi kama mimi hii haina shida
Shida ni hii zaa zaa ya ovyo ovyo.

Kuna mdada alikua kaolewa ndoa kabisa kanisani wakaachana akiwa na watoto wawili cha ajabu nae alikua anataka kuzaa tena na mwanaume mwingine sasa huu si ujinga??? Si bora akategeshe mimba kwa huyo huyo mtalala....mi kwangu kuzaa zaa ni mwiko.
 
Katika kuolewa mambo huwa ni mengi Bill kuna scenario nyingine ni ngumu unabaki kuachia muda uamue mfano umependana na mtu halafu home wanaleta figisu unafanya nini?

Kwangu kama mtu hajaolewa ila kazaa watoto hata 5 na mwanaume huyo huyo mmoja mimi kama mimi hii haina shida
Shida ni hii zaa zaa ya ovyo ovyo.

Kuna mdada alikua kaolewa ndoa kabisa kanisani wakaachana akiwa na watoto wawili cha ajabu nae alikua anataka kuzaa tena na mwanaume mwingine sasa huu si ujinga??? Si bora akategeshe mimba kwa huyo huyo mtalala....mi kwangu kuzaa zaa ni mwiko.
Uko sahihi Eve, lakini unakuta uliye zaa naye hakuhitaji tena kuzaa na wewe kwa mara nyingine kwa kuwa amesha oa tayari..
 
Kumekua na wimbi la akina dada kuzalia nyumbani hasa hawa wa miaka 19-26. Unakuta kijana anajua hana uwezo wa kuhudumia mimba na kuchukua majukumu kama baba lakini anazalisha tu.

Kuna hawa jamaa ambao wameshaoa, anakuwa na kamchepuko kwa tamaa zake, anakazalisha. Wakati uwezekano wa kumuoa haupo. Hii inachangia sana kujaza single mothers mtaani.

Hivi utajiskiaje kuona dada yako ambaye amezalishwa bila kuolewa na masela, anafika kwenye mwisho wa 20's anapatikana mtu mwenye nia ya kuoa lakini anasitisha kwa kuhofia kuoa single mother (maana single mothers wanalika kirahisi na wazazi wenza).

Vijana tubadilike, kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba.
Wanatia huruma, unakuta kabinti kazuri kameshazalishwa watoto kama wawili kanahangaika mtaani na maisha bado kadogo.
 
Uko sahihi Eve,lakini unakuta uliye zaa naye hakuhitaji tena kuzaa na wewe kwa mara nyingine kwa kuwa amesha oa tayari..

Yani ndio nimezaa nae labda wawili kanipiga chini na nadhani nahitaji mtoto tena asee atanipa tu, kumuomba, kulia kugalagala kwenye vumbi, kumlipa, kumlaghai, kumbaka atanipa mimba tu aniwekee hizo sperm hata kwenye bomba la sindano nitajiingizia mwenyewe sizai na watu tofauti kuzaa kwangu ni kitu kikubwa sikichukuliii rahisi
 
Kwanini hao akina wasisitize kondomu au njia zingine za uzazi salama
 
Tatizo la waafrika ni tabia ya kutopenda kuambizana ukweli wakati unajilikana.

Njia pekee ya kukomesha haya ni hao dada zetu kuacha uzinzi wa kiholela na wasubilie ndoa, kwa sasabu kwenye uzinzi mwanamke ana asilimia 98 ya kupoteza dhidi ya mwanaume kwa hiyo hapo jukumu la kujilinda lipo kwao na sikwa mwanaume.

Kwani usipo fanya uzinzi na kusubilia ndoa utapungukiwa nn?

Yaan siku hizi sijui dada zetu wamepatwa na nn yaan unakuta binti mdogo wa miaka 18 amesha jitwisha majukumu makubwa ya kingono tena na watu wazima wenye familia zao, sasa unabaki unajiuliza huyu ana haraka gani?

Mm kuna mdogo wangu nilikuwa namuonya karibia kila siku juu ya tabia za uzinzi wa kiholela baada ya kuona mienendo yake hairidhishi lakini ni kama vile nilikuwa nampigia mbuzi gitaa.

Sasa mwaka juzi yamemkuta anaanza kujitiisha huruma na mbaya zaidi kaenda kuzaa na baba zima la miaka karibia 50 lina familia ya watoto wakubwa.

Mpaka sasa wamesha kuja karibia vijana 3 kumchumbia lakini wakijua kuwa ana mtoto wana mkimbia, alipo taka kujiliza nikamuambia kuwa kila binadamu ana Uhuru wa kufanya anacho kitaka lakini hana uhuru wa kuamuwa matokeo ya kile alicho kifanya kwa kutumia Uhuru wake.

Na sasa nimemwambia anatakiwa kuangalia ni namna gani ataanza ujasiliamali ili apate namna ya kutunza mtoto wake na kusomesha mtoto wake pale atakapo fikisha umri wa kwenda shule maana mzogo alijitafutia mwenyewe hakuna aliye msaidia.
 
Back
Top Bottom