Kama hauna nia ya kumuoa usimpe mimba

Kwa uzoefu nilionao mimi, hao akina dada ndio wanategesha mimba, kwa nia ya kuja kuitumia ili kukubana umuoe au uwe unahudumia na yeye afaidikie humohumo, usiwahurumie sana!

Kwanza anatakiwa ajue siku zake vizuri na asifanye mapenzi kabisa kwenye siku hizo kama kweli hataki mimba.
 
Mwisho wa siku hakuna hata huduma ndio wanaachwa tu hivo....
Kwanini kia tatizo la mwanamke its mens fault yaani jamii inafanya wao kama mbuzi wasiokua na akili
 
Na hata akifanya mapenz ktk siku za hatari kuna vidonge vya P2 wanapaswa kujizoesha kutumia.
 
Na hata akifanya mapenz ktk siku za hatari kuna vidonge vya P2 wanapaswa kujizoesha kutumia.
Pia ayo mavidonge wanayotumia uko mbeleni pindi watapokuwa kwenye ndoa kuna uwezekano mkubwa sana kutozaa
 
Sio wanawake wote wapo kwa ajili ya kuolewa.
Na sio wanaume wote ni waoaji.
 
Acha wazae tu dunia ibalance.
Kuna ambao hawana uwezo huo.
Wanasaidiwa na Hawa unaowaita wanazaa ovyo
 
Pia ayo mavidonge wanayotumia uko mbeleni pindi watapokuwa kwenye ndoa kuna uwezekano mkubwa sana kutozaa
Sasa tutafanyaje mkuu?
Na mbususu tunataka kuzichakata?
Ni either tuzae Sasa au asizae mbeleni.
 
Mitaani single mothers wanaolewa kila siku,ni mitandaoni tu ndiyo wanapigwa mawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…