Kama haya ndiyo Mafanikio makubwa ya TP Mazembe kwa Soka la Afrika ambalo Yanga SC bado Wanajitafuta, walichokuja Kujifunza Kwao ni nini / kipi?

Kama haya ndiyo Mafanikio makubwa ya TP Mazembe kwa Soka la Afrika ambalo Yanga SC bado Wanajitafuta, walichokuja Kujifunza Kwao ni nini / kipi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe ana Makombe Matano ya CAFCL
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe ana Makombe Matatu ya CAFCC
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe amefika CAFCL Semi Finals mara 19
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe ametinga CAFCL Group Stage mara 24

Ogopa sana Mwerevu akijua Wewe ni Mpumbavu halafu akaamua kuja Kukusanifu na Wewe kujiona una Akili Kubwa. Yaani kabisa Lionel Messi aje Kujifunza Kucheza Mpira kwa Clement ( Warid ) Mzize? Hivi hili linawezekana? Halafu tukidharauliwa hatuna Akili tunakasirika.

ANGALIZO TUKUKA NA TAKATIFU

Hunipendi na hunikubali kabisa GENTAMYCINE kwa CHUKI BINAFSI zako, USHAMBA wako, WIVU wako kwa UMAARUFU wangu mkubwa hapa Jamiiforums, kwa ROHO MBAYA yako ya KURITHI na ya KISHETANI na kwa KUTESWA na NYOTA YANGU KALI kutoka kwake MWENYEZI MUNGU ALIYONIBARIKI / ALIYONITUNUKU nayo tokea ANANIUMBA acha Kusoma Mada zangu kwani Sijakulazimisha na wala sijakushikia Mtutu wa Bunduki Usome au uwe Unanisoma hapa Jamiiforums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na hakutotokea mwingine wa kufanana nami.

Nimemaliza.
 
Kuanzisha nyuzi nyingi nyingi kwa pamoja ni dalili ya kuweweseka na Simba yako huku ukimuwaza mpinzani wako Yanga kila mara. Pole
ANGALIZO TUKUKA NA TAKATIFU

Hunipendi na hunikubali kabisa GENTAMYCINE kwa CHUKI BINAFSI zako, USHAMBA wako, WIVU wako kwa UMAARUFU wangu mkubwa hapa Jamiiforums, kwa ROHO MBAYA yako ya KURITHI na ya KISHETANI na kwa KUTESWA na NYOTA YANGU KALI kutoka kwake MWENYEZI MUNGU ALIYONIBARIKI / ALIYONITUNUKU nayo tokea ANANIUMBA acha Kusoma Mada zangu kwani Sijakulazimisha na wala sijakushikia Mtutu wa Bunduki Usome au uwe Unanisoma hapa Jamiiforums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na hakutotokea mwingine wa kufanana nami.

Nimemaliza.
 
ANGALIZO TUKUKA NA TAKATIFU

Hunipendi na hunikubali kabisa GENTAMYCINE kwa CHUKI BINAFSI zako, USHAMBA wako, WIVU wako kwa UMAARUFU wangu mkubwa hapa Jamiiforums, kwa ROHO MBAYA yako ya KURITHI na ya KISHETANI na kwa KUTESWA na NYOTA YANGU KALI kutoka kwake MWENYEZI MUNGU ALIYONIBARIKI / ALIYONITUNUKU nayo tokea ANANIUMBA acha Kusoma Mada zangu kwani Sijakulazimisha na wala sijakushikia Mtutu wa Bunduki Usome au uwe Unanisoma hapa Jamiiforums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na hakutotokea mwingine wa kufanana nami.

Nimemaliza.
Sawa Charismatic Falla
 
Yañga ,ni watu Hatari sana Kwa propaganda...na bahati nzuri mashabuki wao ni wajinga pia!
Tena ni hatari sana na wamefanya propaganda nyingi sana ikiwemo:
1) kuja kwa Manzoki mkutano mkuu
2) kumtumia Mayele kama sehemu ya kuziba hoja mbalimbali za timu kwa kuipakazia timu kutumia majini
3) Kutangaza kibegi ni mafanikio
4)kumtumia Kaseja kusema kuwa timu inashinda kwa kuhonga
 
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe ana Makombe Matano ya CAFCL
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe ana Makombe Matatu ya CAFCC
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe amefika CAFCL Semi Finals mara 19
Aliyekuja kujifunza Yanga SC ( Tanzania ) TP Mazembe ametinga CAFCL Group Stage mara 24

Ogopa sana Mwerevu akijua Wewe ni Mpumbavu halafu akaamua kuja Kukusanifu na Wewe kujiona una Akili Kubwa. Yaani kabisa Lionel Messi aje Kujifunza Kucheza Mpira kwa Clement ( Warid ) Mzize? Hivi hili linawezekana? Halafu tukidharauliwa hatuna Akili tunakasirika.

ANGALIZO TUKUKA NA TAKATIFU

Hunipendi na hunikubali kabisa GENTAMYCINE kwa CHUKI BINAFSI zako, USHAMBA wako, WIVU wako kwa UMAARUFU wangu mkubwa hapa Jamiiforums, kwa ROHO MBAYA yako ya KURITHI na ya KISHETANI na kwa KUTESWA na NYOTA YANGU KALI kutoka kwake MWENYEZI MUNGU ALIYONIBARIKI / ALIYONITUNUKU nayo tokea ANANIUMBA acha Kusoma Mada zangu kwani Sijakulazimisha na wala sijakushikia Mtutu wa Bunduki Usome au uwe Unanisoma hapa Jamiiforums.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na hakutotokea mwingine wa kufanana nami.

Nimemaliza.
Mngewauliza TP Mazembe walienda Yanga kujifunza nini, wenyewe ndiyo wenye majibu.
 
Inaonekana watanzania wengi mna mihemko tu hamfatilii wa kutaka kujua mbona TP Mazembe walisema kile kilichowafanya waje Yanga lkn cha kusikitisha apa Sisi watanzania tuna wivu tu bac
 
Back
Top Bottom