Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

Kati ya families chache zinazoitawala dunia kuna hii nyingine ambayo pia ni ya kiyahudi na ina bloodline na ya Rothschild inayoitwa the Rockefeller hii family imeanzishwa na John Davidson Rockefeller kutoka Germany ni tycoon wa oil sector world wide na inasemekena ndiye anayemiliki oil business kwa percentage kubwa.

Ni mmarekani mwenye pesa kuliko mmarekani yeyote aliyewahi kuishi ulimwenguni and he will never fall down wanamuita the first American rich of all times. Alianza na company ya standard oil miaka ya 1850 na kufanikiwa kuteka soko la mafuta ulimwenguni kote.

Standard oil dissolved na zikazaliwa companies kubwa za mafuta duniani zinazomilikiwa na family moja nazo ni Exxon Mobil, chevron, BP plc na Marathon oil/petroleum, pia ndio wamiliki wa Rockefeller Center NY, real estate, biggest industrial empire, universities, churches, world trade center na pia hii family ndio mastermind wa September 11, vita vingi duniani hawa ndio wanasupport na conflicts for their profit gain.

Rockefeller ndio wanaomanipulate federal reserve sakishirikiana na family chache za the round table ndio wanacontrol every central bank worldwide uchumi wa dunia umetekwa na capitalism na federal reserve pia ndio owner wa Chase Manhattan Bank. Federal reserve ndio inasimamia rates na capital circulation ya makampuni yote yaliyoshika uchumi wa dunia pale New York Stock Exchange.
david-rockefeller.jpg

David Rockefeller ameshafanyia heart transplants zaidi ya 6 ndie alietekekeza shambulio la September 11 pale world trade center ili kuanzisha vita ya na kupata mafuta kwa urahisi hawa ndio wanamuweka rais yeyote madarakani na wakitaka atoke lazima atatoka tu.

Hapa David Rockefeller akiwa confronted na activists kuhusu agenda zao za New World Order na amekosa la kujitetea.



Kampuni kubwa na maarufu za kiteknolojia kama Microsoft, Google, Apple, Sony nk zina uhusiano na hawa American elites? Na ushoga ni moja ya agenda yao? Maana tunaona hata MSM wanaupromote sana mfano BBC hata CEO wa Apple nae katangaza wazi ni shoga unafahamu chochote?
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.

Kwa hili la vyakula nafikiri Dar ndo itakuwa ya kwanza kuwa victim!
 
Kampuni kubwa na maarufu za kiteknolojia kama Microsoft, Google, Apple, Sony nk zina uhusiano na hawa American elites? Na ushoga ni moja ya agenda yao? Maana tunaona hata MSM wanaupromote sana mfano BBC hata CEO wa Apple nae katangaza wazi ni shoga unafahamu chochote?
Hauwezi kuwatenga hizi social media na ushoga au na agenda ya NWO.

Mara nyingi wanatumia symbolism any occultist wanacommunicate kwa kutumia alama na ishara hii ni mada pana sana ila nitakupa kionjo symbolism inafanyaje kazi kwenye secret societies. Hasa kwenye hili swala la ushoga.

Hii ni the first apple icon
images.jpg

Hii ni nembo ya zamani ya instagram
instagram-app-review-41.jpg


Hii ni nembo ya Microsoft
Microsoft_2011.png

Hii ni nembo ya google
images-1.jpg


Hii ni nembo ya NBC
images-3.jpg

Na hii ni nembo ya ushoga same-sex flag
images-2.jpg

Usije ukadhani huo mfanano wa rainbow kwenye hizo icons imetokea tu kwa bahati mbaya kila detail hapo ina maana nyuma ya pazia na symbolism ndio identity yao kubwa.

Wakati wa ujenzi wa mnara wa Babel wale wajenzi masons walivurugiwa lugha na Mungu wasielewane na kushindwa kuendelea na ujenzi na King Nimrod ndiye founder wa Freemasonry ikumbukwe king Nimrod ndiye aliye plan ujenzi wa Babel tower ili kumuonyesha Mungu kwamba wanadamu wanayo power zaidi yake na eanaweza pia kujenga mnara mpaka ukamfikia Mungu mwenyewe mbinguni.

Mungu alipochafua usemi wao na kuvuruga lugha yao wasielewane ndipo walipokuja na lugha ya alama ambapo Freemasonry wanatambuana kwa alama na wanaamini hauwezi kubadili namna ya kutazama kama unavyoweza kubadili namna ya kuongea (lugha)
Ni somo pana sana tafuteni mtaelewa namna dunia inavyoenda.


Genesis Chapter 11

1 And the whole earth was of one language, and of one speech.

2 And it came to pass, as they journeyed from the east, that they found a plain in the land of Shinar; and they dwelt there.

3 And they said one to another, Go to, let us make brick, and burn them throughly. And they had brick for stone, and slime had they for morter.

4 And they said, Go to, let us build us a city and a tower, whose top [may reach] unto heaven; and let us make us a name, lest we be scattered abroad upon the face of the whole earth.

5 And the LORD came down to see the city and the tower, which the children of men builded.

6 And the LORD said, Behold, the people [is] one, and they have all one language; and this they begin to do: and now nothing will be restrained from them, which they have imagined to do.

7 Go to, let us go down, and there confound their language, that they may not understand one another's speech.

8 So the LORD scattered them abroad from thence upon the face of all the earth: and they left off to build the city.

9 Therefore is the name of it called Babel; because the LORD did there confound the language of all the earth: and from thence did the LORD scatter them abroad upon the face of all the earth.
 
Haya mambo siyo yakusadikika mkuu.
Kama tu Hitler aliua zaidi ya Wayahudi milioni sita, Wahutu wameua Watutsi zaidi ya lakini nane na Stalin wa Urusi aliua Wayukreini zaidi ya milioni mbili.
Unategemea kuna kitu ambacho mwanadamu anashindwa kufanya???
Hakika hakuna jambo la kusadikika hapa duniani.
Je kwa mataifa hayo uliyoyataja idadi ya watu imepungua, iko vilevile au imeongezeka?
 
Haoni wapuuzi tuu wapo kwa ajili ya ku'create fear kwa walimwengu tuu... Na mpango wao huo..BC.!!
"" qur nafsi dharikar mauty""..
Tumekuja kwa udongo tutarudi kwa udongo...... Na wao hawatatoka kwenye mtego huo...
 
Je kwa mataifa hayo uliyoyataja idadi ya watu imepungua, iko vilevile au imeongezeka?
Watu hawatazami hivyo.

Jiulize je kama wasingeuwawa wakaachwa waishi wazaliane idadi ingekuwaje muda huu ukiwajumuisha na hawa waliopo sasa?
 
Na mimi ni miongoni mwa washirika wa NWO
 
Mwenye makala inayohusu malengo na mikakati ya NWO atupie hapa hasa Historia yake
 
Hilo la watu milion 500 halitawezekana kamwe

Haliwezekani kabisa japo watakufa wengi sana. Ninachoamini mimi ni kwamba hii dunia wataiharibu lakini wataiacha kama walivyo ikuta tu.
Mwenye dunia yupo na hawezi ruhusu.
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Hapo kwenye kupunguza IQ ndo wanachemsha maana IQ ikiwa chini mtu hawezi kutafakari maswala ya uzazi wa mpango atakuwa anasukumwa kimwili zaidi badara ya akili. Akipevuka tu anaweza anza kuzaa, sasa watapunguzaje population kwa kushusha IQ za watu?
 
Haliwezekani kabisa japo watakufa wengi sana. Ninachoamini mimi ni kwamba hii dunia wataiharibu lakini wataiacha kama walivyo ikuta tu.
Mwenye dunia yupo na hawezi ruhusu.
Kuua wataua sana mkuu sina tatizo nako hapo ,ila hata waue vipi bado hiyo milioni 500 hawataifikia ,Ni kweli mwenye dunia yupo na asilani hatoruhusu ,unless uwe mwisho wetu wanadamu wote
 
Katika pitapita zangu nimekutana na documentary moja inayoelezea mantiki nzima ya New Word Order NWO, Kuna mengi yameelezewa lakini haya machache yamenifanya niamini kama ni kweli basi hakuna aliye salama tena.

1. Inasemekana mpango wa NWO unataka dunia yenye watu wasiozidi 500,000,000 duniani. Dunia kwa sasa ina watu wanaokadiriwa kufika bilioni 6, ili kubakisha idadi hiyo ya watu inabidi watu 5.5 bilion waondoke duniani.

2. Inasemekana mpango wa kuwaondoa hao watu duniani umeshaanza. Na njia kubwa inayotumika ni kupitia vyakula tunavyokula, vita, na magonjwa kama vile UKIMWI, Malaria, chanjo za utotoni n.k

3. Kilichonishtua zaidi ni kuhusu hizo chanjo za utotoni, inasemekana katika chanjo hizo kuna chemical imewekwa ambayo inapunguza life expectancy ya mtoto na kupunguza IQ yake. Bahati mbaya taasisi ambazo ndo wanatengeneza na kuidhinisha dawa hizo wamezishikilia wao.

4. Vyakula asilimia 98% tunavyokula ni generic modified, yaani ni vyakula ambavyo mbegu zake zimetengenezwa viwandani na wakadhibitisha kwamba vinafaa kwa matumizi yetu. Yaan hata ule mchicha unaopanda hapo nje kwako sio organic tena, mahindi nk vyote viko modified kwa interest zao.

Ni dhahiri kwa mwendo na speed hii, baada ya karne chache zijazo hao jamaa watakuwa wanaimiliki dunia na vyote vilivyomo.
Weka link
 
Kama mpango huo upo toka babeli mpaka leo bado haujafika mwisho wake unatuhusu nini mpaka mtukondeshe kwa mawazo?
 
Kama mpango huo upo toka babeli mpaka leo bado haujafika mwisho wake unatuhusu nini mpaka mtukondeshe kwa mawazo?
Umeshakamata dunia nzima mpaka muda huu wanavyo vyombo vyao navyo ni IMF, NATO, WB, UN (hivyo vyombo ni kuwachapa mataifa yote wanaonda kinyume na agenda zao) sasa unataka wafikie wapi tena saivi mission ni kua na serikali moja ulimwenguni na dini moja ulimwenguni.
 
Back
Top Bottom