Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Wewe ni mpumbavuRais yeyote aliyepita ni Bora kuliko ajaye. Hata Samia ni Malaika compared to rais ajaye.
Nani ansmkibuka yule bwegeTumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
PumbavuNani ansmkibuka yule bwege
Hayo umenena wewe, unaanza na matusi kwa nini?Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Sasa hao Wanyonge wakiendelea kumkumbuka sisi inatusaidia nini?Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Kila mmoja ana feelings zake. Hata ukienda German utakuta sympathisers wa Adolf Hittler wa kumwaga tu. Na wana siku rasmi ya kumkumbuka kwa maandamano.Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Aliyeasisi hayo yote ya kumtukana marehemu ni mrithi wake.Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Umeamka na njaa na stress? Ungeamka na shem mkali,ukaoga saafii,kisha ukapata supu nzito na chapati usingekumbuka wendazao asubuhi asubuhi hivi!! Tafuta ela dogo kulala nanjaa utajakabwa na majinamizi,ukimbizwe na mizuka mpaka ukomeTumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Umemaliza mkuu,hata kikwete uzuri wake ulionekana alivyoingia magufuliRais yeyote aliyepita ni Bora kuliko ajaye. Hata Samia ni Malaika compared to rais ajaye.
Wewe ni mpumbavu
Magufuli alikuwa TAKATAKA tu haijalishi anakumbukwa na na nani!! Kama Mungu asingeingilia kati hii Tamzania ilikuwa inahaei ila kama Somalia au ZimbabweTumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Sio kweli, huo ni uongo!! Mbona Kikwete hakuwa bora kuliko JPM. JPM was the best president in Tanzania. Utake usitake. Unune usinune. Kikwete was, the worstRais yeyote aliyepita ni Bora kuliko ajaye. Hata Samia ni Malaika compared to rais ajaye.
Acha chuki za uongo. JPM alikuwa, mbaya kwa, wenye vyeti fake, CDM kwa kuwa walikosa hata ubunge ambao ndio urais wao,Mafisadi wakubwa etcMagufuli alikuwa TAKATAKA tu haijalishi anakumbukwa na na nani!! Kama Mungu asingeingilia kati hii Tamzania ilikuwa inahaei ila kama Somalia au Zimbabwe
Mbona na yeye alikuwa na PhD FAKE na bado akawa Rais? Kuwa na cheti FEKI hayamzuii mtu kuchangia hoja. Au hulijui hilo? Mbona na yeye amekufa akiwa fisadi ambaye hakutueleza Tsh 2.4 Trillion zilikwenda wapi as per CAG 2016-18 report!!.Sio kweli, huo ni uongo!! Mbona Kikwete hakuwa bora kuliko JPM. JPM was the best president in Tanzania. Utake usitake. Unune usinune. Kikwete was, the worst
Acha chuki za uongo. JPM alikuwa, mbaya kwa, wenye vyeti fake, CDM kwa kuwa walikosa hata ubunge ambao ndio urais wao,Mafisadi wakubwa etc
Wapumbavu hawatakwisha Tanzania, eti mtu anajuvunia kuitwa MNYONGEKumbe Kuna wapumbavu bado wanajinashibisha kujiita Wanyonge ndani ya taifa hili.
Nani alikwambia kuwa JPM alikuwa, na PhD fake??? Huo ni uongo. Tatizo mnawasikiliza watu wapumbavu na waongo na nyie mnaamin ujinga. Ukisema, PhD fake maana yake alinunua hiyo PhD kama wakina Dialo. Kitu ambacho sio kweli. Alidefend seminar zote na akapita.Ninawajua masurpervisor wake wote. Sasa PhD fake kivip?Watanzania wengi mnaongozwa na uongo. Mnapenda kusikia uongo wa, CDM. CDM wanamidomo tu hawana kitu. Ndio maana,Mbowe alipata zero form four. Lakin wao wanapenda kutoa vyeti vya Nape vya, form four , hawatoi vya Mbowe.Mbona na yeye alikuwa na PhD FAKE na bado akawa Rais? Kuwa na cheti FEKI hayamzuii mtu kuchangia hoja. Au hulijui hilo? Mbona na yeye amekufa akiwa fisadi ambaye hakutueleza Tsh 2.4 Trillion zilikwenda wapi as per CAG 2016-18 report!!.
Nyie vichwa panzi JPM aliwadanganya sana.
Mkuu wanyonge ndio kina nani??Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli