Kama hayati Magufuli alikiwa dhalimu mbona anakumbukwa na raia wanyonge kila kona na wanamchukia rais Samia?

Kama hayati Magufuli alikiwa dhalimu mbona anakumbukwa na raia wanyonge kila kona na wanamchukia rais Samia?

Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.

Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.

Mbona hayati Magufuli alipinga haya?

Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.

Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?

Mama amefeli
Alicheza na akili za wajinga wengi, na watu walitangaziwa alichotaka yeye, na sio walichotaka wao. Hao wanaomkumbuka ni waliotekwa na propaganda zake. Na werevu wote alitumia udhalimu wake kuwafanyizia.
 
Wewe ni mpumbavu. Ungekuwa umenipotezea using jibu post yangu. Wewee ni kiazi mbatata tu
Yaan, unaponitukana matusi kama hayo ni dhahiri shahiri kuwa upo chini sana, vichochoroni huko. Thus, matusi hayo unajaribu, kujifariji lakin ndio hivyo tena, ww ni wa huko. Mm na, ww, ni mbingu na nchi. Pole sana.
 
Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.

Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.

Mbona hayati Magufuli alipinga haya?

Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.

Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?

Mama amefeli
Labda umemkimbuka wewe mushuti
 
Sasa hao Wanyonge wakiendelea kumkumbuka sisi inatusaidia nini?

Wanyonge wakimchukia Samia na wenye maisha mazuri na ya kati wakimpenda huoni ni faidia?

Maana Wanyonge wenu hao hawana faida kwenye Nchi zaidi ya kutumia kama nyumbu wa Kisiasa.
Swali zuri sana
 
Kila mmoja ana feelings zake. Hata ukienda German utakuta sympathisers wa Adolf Hittler wa kumwaga tu. Na wana siku rasmi ya kumkumbuka kwa maandamano.

Huyu Magufuli anakumbukwa na wajinga ambao ni zaidi ya 90% ya Watanzania including wewe mwenyewe Nyankurungu2020.

Sisi tutaendelea tu kuwasomesha taratibu kuwa Magufuli alikuwa kiongozi wa HOVYO na ndiyo maana ALIKUFA akiwa madarakani na ulinzi wa kutosha na madaktari bingwa wote
Jiwe hana mtu mwenye akili akamkumbuka
 
Vitu vyote unatakiwa kuwa, na udhibitisho kuwa, ni kweli au uongo. Usipende kuishi kwa kusikia uongo. Leo naomba, ujifunze usipende kuamini na kuongea uongo. Labda nikuulize, ulimwona akimuua? Hayo ni maneno ya waongo.
Wewe ndo mwongo.
 
Usiishi kama mjinga na, mpumbavu. Theory za dunia hii zinasema, kuna mwanzo na mwisho. Yupo wapi Mabout Seseko wa Zaire, Yupo wapi Bokassa, Yupo wapi, Sadam, yupo wapi Idd Amin, yupo wapi Gadaffi. Vitu vyote duniani ni vya muda tu. Mwisho wa JK, anayeamini kuwa kwa yeye kuwa Rais basi family yake yote wanafaa kuwa na nafasi serikalini, ujue kuwa ni kipofu na asiyeona. Yeye hana tofauti na Kagame wala Museveni. Mwisho wake unakuja na hataamin. Rais wa hovyo kabisa.
Pole masikini na madua yako ya kimasikini kabisa.
Mwisho lazima uwepo, lkn kumchukia JK kwa kipindi hiki wajitesa bure tu.
Kazana na ww uiinue family yako lbda ipo cku utamkaribia JK
 
Yaan nimecheke.Usinichekeshe ndugu yangu. Mbon



Yaan ndugu unaongea vitu vya uongo, sana kwa, kuwa haujui kitu kuhusu research. Nyie ndio hamjui chochote kuhusu issue fulani basi mnadandia.Hili ufanye utafiti wa masters au PhD lazima uangalie wengine wamefanya nn.Tunaita literature review. Ndio maana zinaitwa research.Labda nichukue muda huu kukufundisha vizuri. Si vibaya kuwa, na title inayofanana hata kwenye PhD level. Kinachotofautishwa na kuwa noted ni kwenye statement of the problem na pia research gap ni vitu hivi: 1.Contexual gap,2: Methodology gap, 3:Theoretical gap . Sasa nikufafanulie kuhusu contexual gap:Kama Tittle ya research ilifanyika ulaya, unaweza kujenga primary reason na kuifanya Tanzania. Inakubalika. Methodology gap. Unatumia, different methodology ili kupata jibu tofauti. Mfano kama walitumia, primary data unaweza unatumia secondary data au kama walitumia regression analysis unaweza, unatumia SEM na ukapata Majibu tofauti. Theoretical gap. Hii ndio muhimu kabisa. Unatumia deductive approach kutests theory mbalimbali ili kupata theory zinazofit study yako. Usisikilize maneno ya watu wajinga, jaribu kuwa na uelewa. Yaan ww unaleta Majibu ya kusikia na uongo tupu. Haujui chochote.
Wewe ndo huna ujualo.
Marehemu anakutesa sn kwa sabb akili zenu hazitaki kuamini kuwa jitu lile katili lilishajifia na kamwe halitorudi tena
 
Pole masikini na madua yako ya kimasikini kabisa.
Mwisho lazima uwepo, lkn kumchukia JK kwa kipindi hiki wajitesa bure tu.
Kazana na ww uiinue family yako lbda ipo cku utamkaribia JK
Sisi ni watu tuliozaliwa, kuchukia dhuluma. Siku inakuja wahuni wote, watarudisha Mali za watanzania. Mali tunazo kwa kutumia akili ya kuzaliwa sio kuiba mali za watanzania. Siwez na sitathubutu kuiba mali ya umma. Nita chukua tu haki yanngu Subiri ndugu siku inakuja sio mbali.Omba tu uhai.
 
Sisi ni watu tuliozaliwa, kuchukia dhuluma. Siku inakuja wahuni wote, watarudisha Mali za watanzania. Mali tunazo kwa kutumia akili ya kuzaliwa sio kuiba mali za watanzania. Siwez na sitathubutu kuiba mali ya umma. Nita chukua tu haki yanngu Subiri ndugu siku inakuja sio mbali.Omba tu uhai.
Ww kweli mfuasi wa Marehemu.
Bila shaka we ni miongoni mwa wale Marehemu akiwaita wanyonge na ndio mnaomlilia.
Ni rahisi sana kwako kumfuata Magu huko aliko kuliko kudhani eti labda ipo siku atarudi
 
Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.

Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.

Mbona hayati Magufuli alipinga haya?

Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.

Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?

Mama amefeli
Hadi chadema wwnyewe wanamkumbuka, saana
 
Back
Top Bottom