Kama hayati Magufuli alikiwa dhalimu mbona anakumbukwa na raia wanyonge kila kona na wanamchukia rais Samia?

Kama hayati Magufuli alikiwa dhalimu mbona anakumbukwa na raia wanyonge kila kona na wanamchukia rais Samia?

Una chuki binafsi na JK wewe.
Atakutesa sn mana anaendelea kupeta tu yy na kizazi chake
Usiishi kama mjinga na, mpumbavu. Theory za dunia hii zinasema, kuna mwanzo na mwisho. Yupo wapi Mabout Seseko wa Zaire, Yupo wapi Bokassa, Yupo wapi, Sadam, yupo wapi Idd Amin, yupo wapi Gadaffi. Vitu vyote duniani ni vya muda tu. Mwisho wa JK, anayeamini kuwa kwa yeye kuwa Rais basi family yake yote wanafaa kuwa na nafasi serikalini, ujue kuwa ni kipofu na asiyeona. Yeye hana tofauti na Kagame wala Museveni. Mwisho wake unakuja na hataamin. Rais wa hovyo kabisa.
 
Mimi namkumbuka Magufuli mliozoea ufisadi,uwizi,uvivu,rushwa,uonevu hamuwezi kumkumbuka
Yeye mwenyewe alikuwa mla rushwa ukimhoji anakupiga risasa kama Ben saanane aliyehoji PhD yake aliyoandikiwa na Dr tulia akoson. Kwa maana hiyo naye alikuwa na vyeti feki
 
Yaan nimecheke.Usinichekeshe ndugu yangu. Mbon
Mimi siyo CDM bali ni CCM ila nakuomba uende Kibaha Sekondari uangalie matokeo ya Form IV mwaka 1978, utakutana na Div I ya Freeman Mbowe.

Kisha nenda Ihungo Secondari angalia matokeo ya Form VI mwaka 1981 utakutana na Div II.

Siyo mnakaa kuropoka tu kudhani JPM alikuwa mtu wa maana na kudharau watu msiowajua

Ma Supervisor wake ndiyo hao akawahonga vyeo. Mmoja akampa U-Katibu Mkuu wa moja ya Wizara nyeti na mwingine akampa u-Mwenyekiti wa Bodi.

Kama hujui nitakujuza kwa nini PhD ya Magufuli ni FEKI ili ufunge domo lako. Iko hivi;
Magufuli aliandika Thesis baada ya kukopi kwa Dr Y J Philip wa Netherlands. Lile chapisho alikopi kutoka kwa Dr J Y Philip ambaye alikuwa anafanya sandwich program linaitwa "The potential of anarcadic acid self assembled monopolymers from cashewnut shell liquid as corrosion protection coating"

Msimamizi aliyemsimamia Dr Phillip ni huyo huyo aliyemsimamia Magufuli. Tayari Dr Phillip alikwisha chapisha kwenye peer review journals. Magufuli hajawahi kuchapisha popote na hata sasa hivi ukienda UDSM kwenye maktaba utake kuazima hilo chapisho huwezi kupata
Yaan ndugu unaongea vitu vya uongo, sana kwa, kuwa haujui kitu kuhusu research. Nyie ndio hamjui chochote kuhusu issue fulani basi mnadandia.Hili ufanye utafiti wa masters au PhD lazima uangalie wengine wamefanya nn.Tunaita literature review. Ndio maana zinaitwa research.Labda nichukue muda huu kukufundisha vizuri. Si vibaya kuwa, na title inayofanana hata kwenye PhD level. Kinachotofautishwa na kuwa noted ni kwenye statement of the problem na pia research gap ni vitu hivi: 1.Contexual gap,2: Methodology gap, 3:Theoretical gap . Sasa nikufafanulie kuhusu contexual gap:Kama Tittle ya research ilifanyika ulaya, unaweza kujenga primary reason na kuifanya Tanzania. Inakubalika. Methodology gap. Unatumia, different methodology ili kupata jibu tofauti. Mfano kama walitumia, primary data unaweza unatumia secondary data au kama walitumia regression analysis unaweza, unatumia SEM na ukapata Majibu tofauti. Theoretical gap. Hii ndio muhimu kabisa. Unatumia deductive approach kutests theory mbalimbali ili kupata theory zinazofit study yako. Usisikilize maneno ya watu wajinga, jaribu kuwa na uelewa. Yaan ww unaleta Majibu ya kusikia na uongo tupu. Haujui chochote.
 
Magufuli alikuwa TAKATAKA tu haijalishi anakumbukwa na na nani!! Kama Mungu asingeingilia kati hii Tamzania ilikuwa inahaei ila kama Somalia au Zimbabwe
Alikuwa takataka kwa wasio na akili,wenye vyeti feki na wapenda magendo na ufisadi.
 
Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.

Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.

Mbona hayati Magufuli alipinga haya?

Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.

Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?

Mama amefeli
Mama amefeli pakubwa sana lakini hilo halihalalishi kumtakatifusha Magufuli.
 
Yaan nimecheke.Usinichekeshe ndugu yangu. Mbon



Yaan ndugu unaongea vitu vya uongo, sana kwa, kuwa haujui kitu kuhusu research. Nyie ndio hamjui chochote kuhusu issue fulani basi mnadandia.Hili ufanye utafiti wa masters au PhD lazima uangalie wengine wamefanya nn.Tunaita literature review. Ndio maana zinaitwa research.Labda nichukue muda huu kukufundisha vizuri. Si vibaya kuwa, na title inayofanana hata kwenye PhD level. Kinachotofautishwa na kuwa noted ni kwenye statement of the problem na pia research gap ni vitu hivi: 1.Contexual gap,2: Methodology gap, 3:Theoretical gap . Sasa nikufafanulie kuhusu contexual gap:Kama Tittle ya research ilifanyika ulaya, unaweza kujenga primary reason na kuifanya Tanzania. Inakubalika. Methodology gap. Unatumia, different methodology ili kupata jibu tofauti. Mfano kama walitumia, primary data unaweza unatumia secondary data au kama walitumia regression analysis unaweza, unatumia SEM na ukapata Majibu tofauti. Theoretical gap. Hii ndio muhimu kabisa. Unatumia deductive approach kutests theory mbalimbali ili kupata theory zinazofit study yako. Usisikilize maneno ya watu wajinga, jaribu kuwa na uelewa. Yaan ww unaleta Majibu ya kusikia na uongo tupu. Haujui chochote.
Unajua plagiarism ni nini
 
Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.

Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.

Mbona hayati Magufuli alipinga haya?

Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.

Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?

Mama amefeli
Sababu raia wanaupenda unyonge, wanapenda kuwa wanyonge.
Walifundishwa kuchukia mafanikio kwa kuwachukia matajiri na utajiri.
Alipemda ujamaa, alitembea na makapu ya hela akigawa hela kwa wananchi masikini ma wanyonge, hakusubiri hadi wakati wa uchaguzi ile agawe hrla, yeye alikua akigawa kwenye ziara zake.
Alifanya watanzania wajisikie fahari kuwa wanyonge, aliwafanya wasione shida ya umasikini.
Wafanyabiashara ndogondogo waliruhusiwa kufanya biashara zao popote pale watakapo.
 
Unajua plagiarism ni nini
Plagiarism ni kuandika Kaz ya mtu word to word. Research zote za dunia hii lazima uangalie wenzako wamefanya nn, ili upate research gap. Sasa kama ww umefanya research ukiwa, USA mm naweza kuiandika research kama hiyo kwa maneno yangu, however nikijitetea kwenye aspects za contextual gap, methodology gap na theoretical gap. Na, hakuna plagiarism yeyote.
 
Plagiarism ni kuandika Kaz ya mtu word to word. Research zote za dunia hii lazima uangalie wenzako wamefanya nn, ili upate research gap. Sasa kama ww umefanya research ukiwa, USA mm naweza kuiandika research kama hiyo kwa maneno yangu, however nikijitetea kwenye aspects za contextual gap, methodology gap na theoretical gap. Na, hakuna plagiarism yeyote.
Ok
 
Sababu raia wanaupenda unyonge, wanapenda kuwa wanyonge.
Walifundishwa kuchukia mafanikio kwa kuwachukia matajiri na utajiri.
Alipemda ujamaa, alitembea na makapu ya hela akigawa hela kwa wananchi masikini ma wanyonge, hakusubiri hadi wakati wa uchaguzi ile agawe hrla, yeye alikua akigawa kwenye ziara zake.
Alifanya watanzania wajisikie fahari kuwa wanyonge, aliwafanya wasione shida ya umasikini.
Wafanyabiashara ndogondogo waliruhusiwa kufanya biashara zao popote pale watakapo.
Kwa hiyo unyonge kwenu ilikuwa fahari!!
 
Yaan nimecheke.Usinichekeshe ndugu yangu. Mbon



Yaan ndugu unaongea vitu vya uongo, sana kwa, kuwa haujui kitu kuhusu research. Nyie ndio hamjui chochote kuhusu issue fulani basi mnadandia.Hili ufanye utafiti wa masters au PhD lazima uangalie wengine wamefanya nn.Tunaita literature review. Ndio maana zinaitwa research.Labda nichukue muda huu kukufundisha vizuri. Si vibaya kuwa, na title inayofanana hata kwenye PhD level. Kinachotofautishwa na kuwa noted ni kwenye statement of the problem na pia research gap ni vitu hivi: 1.Contexual gap,2: Methodology gap, 3:Theoretical gap . Sasa nikufafanulie kuhusu contexual gap:Kama Tittle ya research ilifanyika ulaya, unaweza kujenga primary reason na kuifanya Tanzania. Inakubalika. Methodology gap. Unatumia, different methodology ili kupata jibu tofauti. Mfano kama walitumia, primary data unaweza unatumia secondary data au kama walitumia regression analysis unaweza, unatumia SEM na ukapata Majibu tofauti. Theoretical gap. Hii ndio muhimu kabisa. Unatumia deductive approach kutests theory mbalimbali ili kupata theory zinazofit study yako. Usisikilize maneno ya watu wajinga, jaribu kuwa na uelewa. Yaan ww unaleta Majibu ya kusikia na uongo tupu. Haujui chochote.
Wewe unaandika mambo ya kubuni tu, huna unachojua. Nakupa kigongo cha pili ku prove kuwa Magufuli hajustahili hiyo PhD. Hoja ya Prospectus;

Prospectus ya UDSM ya mwaka 2006 kifungu 2.7.7 kilisema mwanafunzi wa full time wa PhD minimum muda wa kumaliza ni miaka 3 na mwanafunzi wa kutoka kazini ni miaka 5. Ilikuwaje Magufuli wa part time aanze 2006 na kuhitimu 2009? Hakuwahi kujibu hilo kinyume chake akamuua Ben Saanane aliyekuwa anahoji.
 
Plagiarism ni kuandika Kaz ya mtu word to word. Research zote za dunia hii lazima uangalie wenzako wamefanya nn, ili upate research gap. Sasa kama ww umefanya research ukiwa, USA mm naweza kuiandika research kama hiyo kwa maneno yangu, however nikijitetea kwenye aspects za contextual gap, methodology gap na theoretical gap. Na, hakuna plagiarism yeyote.
Nakutuma sasa uende UDSM ukatake kuazima hiyo PhD kwa ajili ya rejea. Wakikupa niite mbwa, nipo pale Kimara Bucha
 
Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.

Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.

Mbona hayati Magufuli alipinga haya?

Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.

Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?

Mama amefeli
Tatizo hao unaowaita wanyonge, pia hawajui ni nini wanahitaji.

Kukosa kipaumbele, kunafanya mtu ashindwe kujua tofauti ya anachohitaji na anachotaka.
 
Wewe unaandika mambo ya kubuni tu, huna unachojua. Nakupa kigongo cha pili ku prove kuwa Magufuli hajustahili hiyo PhD. Hoja ya Prospectus;

Prospectus ya UDSM ya mwaka 2006 kifungu 2.7.7 kilisema mwanafunzi wa full time wa PhD minimum muda wa kumaliza ni miaka 3 na mwanafunzi wa kutoka kazini ni miaka 5. Ilikuwaje Magufuli wa part time aanze 2006 na kuhitimu 2009? Hakuwahi kujibu hilo kinyume chake akamuua Ben Saanane aliyekuwa anahoji.
Yaan ww ndio haujui kabisa na upo nje ya field. Yaan unajichanganya hujui chochote kabisa. Kama ungekuwa upo kwenye field za academic, ungenijibu kwa hoja nilizokupa ambazo ni academic tupu. Lakin unaongea, vitu simple, simple .Unajenga hoja dhaifu, isiyokuwa na msingi tena unasema kuwa kwenye prospectus, wanasema kuwa kama upo kazin unatakiwa usome miaka mitano.Na unauliza kwamba kwann JPM alisoma miaka mitatu. Sasa hii pia inaonyesha kuwa huna uelewa kabisa wa interpretation za vipengele husika. Interpretation zipo wazi kuwa ukiwa kazini unatakiwa umalize miaka mitano or within. Kwa hiyo hata ukimaliza miaka mitatu it's okay. Sasa hicho Kipenge kidogo tu kinakushinda kutafasiri. Nimeshituka kwamba, napoteza muda wangu kumbe naongea na mtu asiyejua chochote kuhusu academic affairs. Naongea na layman.
 
Nakutuma sasa uende UDSM ukatake kuazima hiyo PhD kwa ajili ya rejea. Wakikupa niite mbwa, nipo pale Kimara Bucha
Yaan
Ma Supervisor wake ndiyo hao akawahonga vyeo. Mmoja akampa U-Katibu Mkuu wa moja ya Wizara nyeti na mwingine akampa u-Mwenyekiti wa Bodi.

Kama hujui nitakujuza kwa nini PhD ya Magufuli ni FEKI ili ufunge domo lako. Iko hivi;
Magufuli aliandika Thesis baada ya kukopi kwa Dr Y J Philip wa Netherlands. Lile chapisho alikopi kutoka kwa Dr J Y Philip ambaye alikuwa anafanya sandwich program linaitwa "The potential of anarcadic acid self assembled monopolymers from cashewnut shell liquid as corrosion protection coating"

Msimamizi aliyemsimamia Dr Phillip ni huyo huyo aliyemsimamia Magufuli. Tayari Dr Phillip alikwisha chapisha kwenye peer review journals. Magufuli hajawahi kuchapisha popote na hata sasa hivi ukienda UDSM kwenye maktaba utake kuazima hilo chapisho huwezi kupata
Yaan ww ni layman kabisa unaongea upuuz. Siku hiz hatuingii kwenye mastaba, tumewaachia layman kama nyie.Tunaingia kwenye library za mtandao tunaona kila kitu.Nimeingia kwenye google scholar nimeandika tu magufuli PhD, and I love lake lote limekuja. Sasa ww unawashwa washwa huko kimara , unanitaka niende kwenye library, wakati hizo library ni za layman kama ww. Nimeingia tu repository nikapata kila kitu. Sitajibu na sitaongea na ww tena kwa kuwa nimegundua, naongea na mtu wa hali ya chini Sana.
 
Vitu vyote unatakiwa kuwa, na udhibitisho kuwa, ni kweli au uongo. Usipende kuishi kwa kusikia uongo. Leo naomba, ujifunze usipende kuamini na kuongea uongo. Labda nikuulize, ulimwona akimuua? Hayo ni maneno ya waongo.
Mkuu ingekuwa vyema kujitofautisha naye kwa kuthibitisha uongo wake kwa kuonyesha vivid facts jinsi ambavyo Mwendazake hakuhusika kwenye kifo au upotevu wa Ndugu Ben saanane!

Otherwise nawe ni wale wale!
 
Back
Top Bottom