johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hiyo idadi wanaangalia mahakamani?!!Kwani chama huwa kinaangalia idadi ya wanachama au ubora?
min short kila mmoja ana maana when it comes to politics
hata wewe chadema Wanakuona wa maana ingawaje deep inside unajijua kwamba huna maana yoyote zaidi ya kelele tu za kipinzani
Na akitoka huko anaenda kupumzika Dubai au Sauzi AfricaPeople need money not words.. Nani atakutatulia shida zako ukiwa huna hela Kisha unautumia huo muda kuandamana..?
Hao viongozi yakiwapata wanapitisha bakuli uwachangie! Sio ccm sio chadema they are all need money ndo maana tunawekewa mitozo ya kila namna so chagua ukasikilize kesi au utafute hela.
Muulize Biushungi na mapolisi wakeChadema ilishajifiaga
kesi hii uwezi iita ya kubambikiziwa ni mhakama pekee na ushahidi uliopo ndivyo vitatupa directions na ukweli tuvute subira
Jipe moyo ila usisahau kuwaliza mapolisi wenu kinachowahangaisha basi ni niniAnaeamini kwamba chadema itashinda hata serikali za mitaa achilia mbali uchaguzi mkuu kwa aina ya siasa zao wanazoendesha sasa hivi, basi akajipime akili mwenyew kabla ya kuvua nguo na kuanza kuingia barabarani kuokota makopo. Fikiria pamoja na Lisu kukaa ulaya zaidi ya miaka mitatu, Mbowe kwenda kuweka kambi Dubai kwa zaidi ya miezi mitatu ili atakapofika aweze kuwa na mvuto, ukijumlisha na uhuru wa kufanya mikutano ya hadhara wakati wa uchaguzi mkuu lkn haya ndio yalikuwa mahudhurio ya wanachama na wapiga kura wao katika uchaguzi mkuu
View attachment 1880720
Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.
Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.
Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Lakini hoja mezani hazmiwezi bila ya nguvu ya dola.CHADEMA WANATAKIWA WAJITAFAKARI WAANZE UPYA UPINZANI HAUENDI WANAVYOTAKA WAO HUO NI MFANO TU KUWA WAMESHAPOTEZA MVUTO NA USHAWISHI KWA WATANZANIA YAANI HATA ASILIMIA MOJA YA WATANZANIA HAWASAPOTI WANAYOYAFANYA WATU WACHACHE HIVYO NDIYO WANAPONGEZANA ETI WAMEFIKA ? NI UTOTO WA HALI YA JUU SANA HUO
Ulitaka hadi afike mama yako ndiyo ujiridhishe?Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.
Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.
Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Kwa nini msiwaache mkaendelea na mambo yenu yenye umuhimu?Nadhani muda wao mwingi hawa CHADEMA wanautumia kupiga ganja. Sehemu kubwa ya mipango yao haifanani kabisa na mipango ya watu wanaotumia akili au busara ya kawaida!
Lakini kwemye ushindani kila ujinga wakutumia vyombo vya dola mnautumia kushindana na waliojifia.Chadema ilishajifiaga
OK tukubali mawazo yako.Anaeamini kwamba chadema itashinda hata serikali za mitaa achilia mbali uchaguzi mkuu kwa aina ya siasa zao wanazoendesha sasa hivi, basi akajipime akili mwenyew kabla ya kuvua nguo na k...
Ubora wa aina ganiUnaangalia Wingi au Ubora bwashee?
They are playing game.Na akitoka huko anaenda kupumzika Dubai au Sauzi Africa
Kwa nini msiwaache mkaendelea na mambo yenu yenye umuhimu?
Ndiyo akili yako inapogota?Marekani waliwapuuza wavuta bangi wa Trump ikala kwao. Tanzania haiwezi kufanya kosa kama hilo. Watakula kibano kabla uwendawazimu wao haujaleta madhara yoyote!
Hii sasa ni sawa na dua la kuku..Watanzania wengi hawapendi rabsha za kuvunjwa miguu na kupotezewa muda kuwekwa ndani Ila chuki yao kwa serikali ni kubwa mno isiyoelezeka.