Kama hila ya Wazungu kupitia chanjo ni kutumaliza, basi tusitie kiburi leo, tumechelewa, tangu utotoni tumechanjwa sana na chanjo zao

Kama unataka kujua unafiki wa viongozi wa serikali hii, hiyo chanjo ije uone kama hawajaenda kuchanjwa usiku.
 
Hahaha look at you man.. for those who see beyond.
I applied logic.. not random theory.
Logic gan๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, tatzo bongo ka mtu kana degree flan kanahis ndo ka genius tz nzima, uzr hi n art ingekuw science tungeshusha calculation na principles hapa tuone anayekula Kona๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Logic gan[emoji23][emoji23], tatzo bongo ka mtu kana degree flan kanahis ndo ka genius tz nzima, uzr hi n art ingekuw science tungeshusha calculation na principles hapa tuone anayekula Kona[emoji23][emoji23]
Hahaha kuna mahali nimejiita geniuz.? Kuna mahali nimestate educational background yangu nope.

Dont be delusional man , ku assume character ya mtu wkt humjui unaonekana delusional.
Chill & relax.. si lazima wote tufanane.
 
Injinia soma iyo
Wazungu kwani tumewakosea nini hatu watufute kwenye sura ya dunia?
Walitupeleka utumwani, tukatumika kwa utii mkubwa, walitutawala na kuitumikisha huku wakipora utajiri wetu hatukupinga.
Sasa shida ni juu ya Nini Tena?
 
Hahaha kuna mahali nimejiita geniuz.? Kuna mahali nimestate educational background yangu nope.

Dont be delusional man , ku assume character ya mtu wkt humjui unaonekana delusional.
Chill & relax.. si lazima wote tufanane.
Anyway mengine maybe n mitazamo ya mtu, like religions, ( Christians, Muslims etc)
 
Wasubiri kwanza TUFE ndo waje na chanjo zao kwa Sasa hatuwezi kuwaelewa
 
 
Nyakati zinabadilika, mitazamo hubadilika, malengo hubadilika..... Kimsingi watakuwa kuchukua tahadhari kubwa sana kwa sasa. Ongezeko kubwa na la kasi la watu duniani ni tishio kwa viranja wakuu wa dunia. Tusisahau kuna watu wanaiendesha dunia kwa RIMOTI hivyo wanaweza amua chochote....wataumia wao na sisi weusi pia.... Km ndivyo ni mpango wa kidunia hakuna aliye salama ila weusi usalama wetu ni mdogo zaidi ya wao.
 
Wazungu kwani tumewakosea nini hatu watufute kwenye sura ya dunia?
Walitupeleka utumwani, tukatumika kwa utii mkubwa, walitutawala na kuitumikisha huku wakipora utajiri wetu hatukupinga.
Sasa shida ni juu ya Nini Tena?
Fuatilia magazeti na vyombo vya habari vya hao wanaoitwa mabeberu nao hawaitaki chanjo. Wameanza kuipinga kwa nguvu zote wakiamini ni mpango wa nguvu wa kupunguza wingi wa watu duniani.si Afrika pekee
 
 
Hivi sisi waafrica mpaka lini tutaendelea kupata chanjo za wazungu?? Kwani hatuwezi kutengeneza chanjo zetu?
Kuna jambo la kumuuliza Mungu kwa nini ufahamu wetu umefungwa?
Elimu elimu elimu.... Lazima tuwekeze hapa
 
Kwani kwa muda wote uo Africa nzima washindwe ata kushirikiana kutengeza dawa..wasomi wako weng ktk kila nch kwanin wasiungane kukabili majanga ya ghafla kama hya...au ule ushirikiano kama umoja wa Africa na mengine yanadili zaid na nin mambo ya kisiasa tu au nao wanatumika...
 
 
Kama unataka kujua unafiki wa viongozi wa serikali hii, hiyo chanjo ije uone kama hawajaenda kuchanjwa usiku.
Nimecheka. Umenikumbusha kikombe cha Babu wa Loliondo
 
Wazungu kwani tumewakosea nini hatu watufute kwenye sura ya dunia?
Walitupeleka utumwani, tukatumika kwa utii mkubwa, walitutawala na kuitumikisha huku wakipora utajiri wetu hatukupinga.
Sasa shida ni juu ya Nini Tena?
Kweli ni Wazungu waliopeleka watu utumwani? Si wafalme na machifu wenyeji waliokamata watu na kuwapeleka utumwani? Halafu kuwauza kwa Waarabu na Wazungu waliowanunua wakiwa watumwa tayari? Na hao kuwapeleka mbali hadi jehenam ya Marekani? (Nikumbushe: walioanza kupinga utumwa walikuwa watu wa wapi??)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ