atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hawa watakua maskini maisha yao yote,na hao ndio mtaji wa ccm ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watakua maskini maisha yao yote,na hao ndio mtaji wa ccm ....
Ndo huyo,Siku hizi ni Diwani. Yupo CCM.Hivi Rose Kamili ni yule aliekua mbunge wa karatu viti maalum cdm?
Wewe ni sawa sawa na samaki ambae hajui nini kinachoendelea nje ya maisha yake ya majini.Acha uzushi.....Dkt Slaa hana mpango wa kujiunga na chama chochote, yule ni Jeshi la mtu mmoja!
Mwaka 2020 Lisu alikuwa anatafuta strategy kupitia ACT Wazalendo mkuu.Ni kweli na hiyo ni baada ya huko nyuma kusema ACT hakijawahi kuwa chama cha upinzani.
Na hilo la kugombea uraisi ndio linalomfanya atape tape kama kuku aliekatwa kichwa mkuu.Hivi kumbe huyu mzee bado ana mawazo kugombea urais?[emoji849][emoji848]
Umeuliza swali zuri sana mkuu.Kwahiyo Dr atakapoenda utamfuata huangalii sera za chama?
Kitambo sana na kuna kipindi flani alikuwa anakanyemelea kabinti fulan ka bongo fleva.Mm nilikua naamini dr yule Josephine ni mke wake wa kwanza? Kumbe alishatelekeza familia
Kujiita chawa si tu ujinga ni upumbavu.Li kikundi la kijinga limejaa propaganda
Mbona Lipumba neno mgombea Urais ni ubini wake?Hivi kumbe huyu mzee bado ana mawazo kugombea urais?[emoji849][emoji848]
Ina maana hujui kama Josephine ni mke wa Mushumbushi tena wa ndoa mpaka leo?Mm nilikua naamini dr yule Josephine ni mke wake wa kwanza? Kumbe alishatelekeza familia
Unaniuliza mimi kwani mi ndio Dr Slaa?Wapi nimesema nampangia ? Mimi nakuuliza wewe , usikimbie maswali
Lipumba meno yote yashaisha mdomoni, lkn bado anang'ang'ania kuwa raisi wa JMT 🤣🤣🤣Mbona Lipumba neno mgombea Urais ni ubini wake?
Naona ni mwendo wa bandika bandua, au bandua bandika.Unaniuliza mimi kwani mi ndio Dr Slaa?
Unaniuliza mimi kwani mi ndio Dr Slaa?
Aungane na mzee Prof lipumbSasa si aunganishe nguvu kwa bwana zito! Au lipumba?
Hujui kitu kimoja ktk siasa unaangalia mtaji wa watu siyo CVHivi Chadema kunaleta Lowasa na kumtosa DR kugombea tena dakika za mwisho ilikuwa Sawa?
Huko kwa Lipumba anaona itakua ngumu yeye kupitishwa kugombea uraisi.Aun
Aungane na mzee Prof lipumb
chama cha Zito kipo Mwandiga pekeeSasa si aunganishe nguvu kwa bwana zito! Au lipumba?