Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Mkuu hapa ulipo comment nahisi umepotea, maana ulichoandika kipo nje ya hoja inayojadiliwa hapa.

Mada ni kuhusu jinsi Lisu alivyozuia Dr Slaa kurudi Chadema kutokana na kukisaliti chama chao, na pia kufurahia jinsi Lisu alivyopigwa risasi na baadae Mbowe kuwekwa ndani kwa uhaini.

Sasa hayo uliyoandika hapa hayaendani na kinachojadiliwa.

Ni bora ungeyaanzishia uzi wake watu wacomment.
Siasa za nchi hizi ni pasua kichwa.
Dr Slaa alikuwa na haki zote za kuondoka CHADEMA baada ya mbowe kutusaliti wapiga kura na kumleta waliyemuita fisadi ili agombee dakika za mwisho tena kwakuvunja katiba ya chama.
Hakuondoka peke yake tuliondoka wengi.
Lissu sijawahi kumuona km mzalendo wa kweli wa nchi hii hasa kufuatana na kauli zake.
Itoshe kusema Lissu na Zitto wanafanana hasa linapokuja suala la maslah
 
Mkuu hapa ulipo comment nahisi umepotea, maana ulichoandika kipo nje ya hoja inayojadiliwa hapa.

Mada ni kuhusu jinsi Lisu alivyozuia Dr Slaa kurudi Chadema kutokana na kukisaliti chama chao, na pia kufurahia jinsi Lisu alivyopigwa risasi na baadae Mbowe kuwekwa ndani kwa uhaini.

Sasa hayo uliyoandika hapa hayaendani na kinachojadiliwa.

Ni bora ungeyaanzishia uzi wake watu wacomment.
Siasa za nchi hizi ni pasua kichwa.
Dr Slaa alikuwa na haki zote za kuondoka CHADEMA baada ya mbowe kutusaliti wapiga kura na kumleta waliyemuita fisadi ili agombee dakika za mwisho tena kwakuvunja katiba ya chama.
Hakuondoka peke yake tuliondoka wengi.
Lissu sijawahi kumuona km mzalendo wa kweli wa nchi hii hasa kufuatana na kauli zake.
Itoshe kusema Lissu na Zitto wanafanana hasa linapokuja suala la maslah
 
Siasa za nchi hizi ni pasua kichwa.
Dr Slaa alikuwa na haki zote za kuondoka CHADEMA baada ya mbowe kutusaliti wapiga kura na kumleta waliyemuita fisadi ili agombee dakika za mwisho tena kwakuvunja katiba ya chama.
Hakuondoka peke yake tuliondoka wengi.
Lissu sijawahi kumuona km mzalendo wa kweli wa nchi hii hasa kufuatana na kauli zake.
Itoshe kusema Lissu na Zitto wanafanana hasa linapokuja suala la maslah
Unaweza ongea yote bila kumgusa mwenye Chama Chake? MWAMBA?!
 
Hivi uliwahi kuyasikia maneno aliyoongea Dr Slaa wakati Lisu alipopigwa risasi?

Pia uliwahi kusikia aliyoongea wakati wa kesi ya uhaini ya Mbowe?

Kweli Zito anaweza kuwa sio mtu mzuri kwa viongozi wa Chadema including Mbowe na Lisu, lkn amekuwa makini sana pindi anapoongelea issue za viongozi hao.
Dr. Slaa mm dimuelewagi maana hachelewi kusaliti kambi. Maneno ya kuhusu ile kesi ya mbowe ni mabaya sana na kuhusu lisu pia na kwa ujumla mm siwezi na sitakuja kumuelewa Dr slaa daima
 
Nadhani amepewa likes kutokana na jinsi alivyo Tunga hadithi inayoakaisi ukweli. Yani hata Kama ametunga ila scenario inafanana na ukweli asilimia 90%
Huyo jamaa ni mtunzi wa hadithi. Anafahamika hivyo humu muda mrefu sana.
 
Siasa za nchi hizi ni pasua kichwa.
Dr Slaa alikuwa na haki zote za kuondoka CHADEMA baada ya mbowe kutusaliti wapiga kura na kumleta waliyemuita fisadi ili agombee dakika za mwisho tena kwakuvunja katiba ya chama.
Hakuondoka peke yake tuliondoka wengi.
Lissu sijawahi kumuona km mzalendo wa kweli wa nchi hii hasa kufuatana na kauli zake.
Itoshe kusema Lissu na Zitto wanafanana hasa linapokuja suala la maslah
Ngoja genge lake lije likujibu mkuu.
 
Dr. Slaa mm dimuelewagi maana hachelewi kusaliti kambi. Maneno ya kuhusu ile kesi ya mbowe ni mabaya sana na kuhusu lisu pia na kwa ujumla mm siwezi na sitakuja kumuelewa Dr slaa daima
Tatizo dokta anapenda toto ndogo, hivyo inamlazimu kutumia kila njia ikiwezekana hata usaliti ilimradi apate pesa za kuhonga na ili avuliwe pichu.
 
Dr Slaa, Lipumba, Zitto, Cheyo, Shibuda, Hamad Rashid, wote hao hakuna mpinzani wa kweli wao uangalia upepo wa pesa unaelekea wapi.
Dr Slaa yeye amewaacha mbali wote uliowataja.

Kwanza kasaliti kanisa
Pili kasaliti CCM
Tatu kasaliti Chadema
Nne kasaliti ndoa yake
Na tano anasaliti kila anachogusa.
 
Ungejikita kwenye riwaya zako. Maneno meengi. Haya ni maudhui ya kutunga tu. Mimi binafsi sisomagi takataka zako, never! Mmelipwa na DP World huko misikitini kwenu hilo tunajua.
 
Back
Top Bottom