Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #141
Wewe na Lisu nani mwenye kumjua vizuri dr Slaa?Ole kwa Ccm km Dr Slaa atarudi kwenye siasa za majukwaani.
Dr Slaa ni hazina ya Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na Lisu nani mwenye kumjua vizuri dr Slaa?Ole kwa Ccm km Dr Slaa atarudi kwenye siasa za majukwaani.
Dr Slaa ni hazina ya Taifa
Mkuu hapa ulipo comment nahisi umepotea, maana ulichoandika kipo nje ya hoja inayojadiliwa hapa.Hii Nchi imekuwa ya hovyo sana.
Mwananchi kupata habari imekuwa ni kwa hisani ya Ccm.
Magazeti yote kwa sasa yanatoa habari kwa maelekezo ya Nape. Redio, Tv woote ni ushuzi mtupu
Jf nayo imejaa wanaojiita chawa wa mama ilimradi kuvuruga watu tu.
Ndio maana TEC walitumia njia mbadala kufikisha waraka wao na ukafika vyema.
Inasemekana babu baada ya kuchovya ndo akaingia mazima na matokeo yake ndoa chali.Hivi Josephine,ndiye aliyesababisha Slaa wachane na Rose!?
Yani Dr Slaa sio tu msaliti, bali ni katili kabisa aisee.Hakuna siku Dk Slaa aliniumiza kama siku ile pale Serena alipokwenda kuwaga mboga... Matokeo yake akarudia yaleyale ya zamani! Siku nilijua anaenda kummaliza Lowasa ! na CHADEMA!
Ni kweli kwenye Siasa hakuna Urafiki au Uadui wa kudumu.
! Ila alipokejeli hata kuumizwa Kwa Lissu au kufungwa Kwa Mbowe ...mhhhh hapana!
Hata Lissu na Mbowe wakisoma hili andiko na wenyewe watashangaa sana, hakika umejua kuwabunia maneno kwa kiwango cha juu mno😂😂😂😂😂Habari zenu wanaJF wenzangu,
Wakuu kuna habari ambayo nimeipata leo kutoka kwa mtu ambae yupo karibu zaidi na kiongozi fulani wa chama cha demokrasia na maendeleo, wengi mnakiita Chadema.
Ni hivi.. inasemekana baada ya Dkt. Slaa kuvuliwa hadhi yake ya ubalozi jana, kitu cha kwanza alichofanya ni kumpigia simu mwenyekiti wake wa chama wa zamani ili kumuomba wakutane nae haraka iwezekanavyo.
Mwenyekiti alipotaka kujua sababu ya yeye (dokta) kutaka kukutana nae ilhali wanaweza kuongea tu kwenye simu wakamaliza, Dr akamwambia kwamba anaomba wakutane nae ili amuombe msamaha kwa usaliti aliyoufanya mwaka 2015, na pia kumuomba msamaha kuhusu ile kauli aliyoitoa wakati ule Mbowe akiwa kafungwa kwa kesi ya uhaini.
Mwenyekiti alivyosikia hivyo akamuuliza kama lengo lake haswa ni kuomba msamaha au alikuwa na lingine la zaidi. Maana kama msamaha tayari atakuwa ameshaomba kupitia kauli yake ile aliyosema au anaweza kuomba tu hapo hapo simuni wakasameheana yakaisha.
Dokta akasema lengo sio msamaha peke yake, bali anataka pia arudi chamani kupitia kukutana kwao huko.
Ndo mwenyekiti akamwambia kama una lengo la kutaka kurudi chamani basi ngoja niongee na baadhi ya viongozi wenzangu ili nisikie na wao maoni yao kabla hatujakutana. Kisha mwenyekiti akampigia makamu kumueleza kile alichoambiwa na dokta.
Aisee baada ya makamu kusikia habari za dokta kwanza akapandisha pumzi na kushusha, after that kilichobakia ilikuwa ni kumshambulia dokta na kumwambia mwenyekiti kwamba huyo dokta sio mtu tena wa kumkaribisha chamani maana hana moyo wa kweli wa kupigania mabadiliko nchini, yeye ana moyo tu wa kupigania tumbo lake na familia yake.
Makamu akatahadharisha kwamba ikiwa mwenyekiti atashupaza shingo na kumruhusu kujiunga upya na chama, basi mwaka 2025 kama chama hakitatimiza lengo lake la kutaka achaguliwe kugombea uraisi basi mwenyekiti huyo na chama kwa ujumla wajiandae kukutana na yale waliyokutana nayo mwaka 2015.
Makamu alisema kwamba ni mara kumi ingekuwa ni Zito ambae hakuwahi kuonesha kufurahishwa na yale yaliowakuta wapinzani wenzake mbali mbali, kuliko huyu mzee ambae hakuonesha utu hata kidogo kipindi mwenzake alipopigwa risasi na kupambania uhai wake.
Mwenyekiti baada ya kusikia maoni ya makamu wake akawapigia wengine ambao nao hawakupendezewa na uamuzi wa dokta huyo kurudi chamani.
Baada ya hapo mwenyekiti akarudi kwa simu ya dokta na kumwambia kwamba mimi nimekusamehe, lkn swala la wewe kurudi chamani kwa sasa hivi sahau.
Mwenyekiti akakata simu huku akimuacha dokta akikosa la kufanya.
Ama kweli kifo cha nyani miti yote hutereza.
Kwa sasa kila anapojaribu kushikilia dokta anaanguka.
Jioni njema.
Moyo wa mtu msitu ndugu yangu. Muda mungine vile umdhaniavyo mwenzako sivyo vile alivyokuwa.Si tu ni uongo Mr p but hakuna kitu kama hicho kuwepo kwa senior kama Dr slaa, unaweza kuniokota mm kwa ignorance yangu ya uhaba wa elimu ya technology but kwa Dr? A big No. Aje na hoja mpya
Amna sikubuni mkuu. Nimeandika uhalisia wa kile kilichopewa 🤣🤣🤣Hata Lissu na Mbowe wakisoma hili andiko na wenyewe watashangaa sana, hakika umejua kuwabunia maneno kwa kiwango cha juu mno😂😂😂😂😂
Mnafiki Sana huyo Mzee.View attachment 2736907Huyu Mzee akirudishwa CHADEMA mimi narudisha kadi.
Huyo fisadi yupo wapi kwa Sasa? Na mtoto wake kapewa ubunge. Wewe ndio mnafikiCHADEMA acheni unafiki,Mbowe ndiyo Msaliti,bila Mbowe kwa kushirikiana na JK kumleta Lowasa CHADEMA ili agombee Urais,Dr Slaa asingeondoka.
Muwe na soni sometimes,Dr Slaa arudi bila Masharti,kama hamtaki basi na Mbowe akae pembeni maana alikaribisha fisadi kugombea Urais kinyume na ajenda ya kupinga ufisadi ya CHADEMA!
Nadhani amepewa likes kutokana na jinsi alivyo Tunga hadithi inayoakaisi ukweli. Yani hata Kama ametunga ila scenario inafanana na ukweli asilimia 90%Hivi wewe na hadithi zako hizi uwa hujisikii kuwa hata wajinga kuna siku moja watajua unazitunga mwenyewe na kuwa hazina hata chembe ndogo sana ya ukweli?
Naona hapo chini umepewa 'likes' na wengine hata kutoa "nzuri"
Ina maana kuna wajinga ambao unaweza kutumia kipaji chako hiki cha kutunga hadithi na ukapata mlo wa kila siku kutokana na kazi hiyo.
Aende Kwa Haruna ni mwenzakesasa si aunganishe nguvu kwa bwana zito! Au lipumba?
Huwa mnapenda kuipa sifa CCM kwa mambo ambayo haina uwezo nayo. Eti project 101. Kiburi Cha CCM kipo kwenye Dola basi. Hizi zingine porojo.Dr Slaa ni project 101, CCM wanamtumia kuwasambaratisha wapinzani, walimtumia mwanzo na hawasiti kumtumia sasa. Mambo yote kuhusu Dr ni maigizo mpaka huko TEC yanaingia.
Nccr kwa Sasa yupo Selasini, hawezi mkaribisha.Pole sana dokta. Zile kauli zako ulizotoa baada ya kuikimbia Chadema ndo imekuponza.
Nenda nccr mageuzi au tlp mkuu.
Slaa anaihitaji CHADEMA kuliko kitu chochote.Huu upumbavu ulioleta hapa jukwaani ni mafala wenzako ndio watakupongeza
Slaa ninaemjua mimi hawezi fanya huo ujinga,kawa balozi bila kadi ya CCM,haiitaji chadema tena,yeye ni mwanaharakati huru kabisa
Alijua ataendelea kuwa katika nafasi aliyokuwa nayo milele 😂😂Shida Dr Slaa aliongea mengi Sana kiasi Cha kutokuaminika Tena.
Utakuja kuniambia hapa, jipe muda.Huwa mnapenda kuipa sifa CCM kwa mambo ambayo haina uwezo nayo. Eti project 101. Kiburi Cha CCM kipo kwenye Dola basi. Hizi zingine porojo.
Huyu anamfaa zaidi Lipumba maana Zito hakufikia kiwango cha huyu Slaasasa si aunganishe nguvu kwa bwana zito! Au lipumba?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnajua kuwajaza chadema..Ole kwa Ccm km Dr Slaa atarudi kwenye siasa za majukwaani.
Dr Slaa ni hazina ya Taifa