Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Ukisikia kugaribikiwa uzeeni ndiyo huku!
Mbona alishasema hana chama cho chote?
Kama ni hivyo atafute hela aanzishe chama chake ingawa umri umeenda!
Mtu ambae alikuwa anashindia mihogo, ela ya kuanzisha chama ataitoa wapi?
Hata yale marupu rupu ya ubalozi sina hakika kama bado anayo.
 
Huu upumbavu ulioleta hapa jukwaani ni mafala wenzako ndio watakupongeza

Slaa ninaemjua mimi hawezi fanya huo ujinga,kawa balozi bila kadi ya CCM,haiitaji chadema tena,yeye ni mwanaharakati huru kabisa
Moyo wa mtu msitu. Umfikiriavyo wewe, sivyo ndivyo alivyo yeye.

Slaa kaomba poo, sema tu Lisu kamtosa.
 
Binafsi sidhani kama nitakuja kushangaa jambo lengine kuhusu wanasiasa na siasa zao kama lile la Lowassa kuhamia chadema na hapo hapo kupewa nafasi ya kugombea urais.
 
Makuwadi ya warabu koko yanatetea mapumbavu menzao ya ccm kwa hongo za warabu sisi wazalendo wa nchi hii tunawambia kwamba mamayenu anapaswa kurudisha pesa za hongo kwa mabwana zenu Dubai kabla ya 2025 vinginevyo kila tundu la mwili wake atazitolea.
Majinga ya kikundi cha matapeli na the wahuni hayana agenda kabisa ya kitaifa kila siku kudakia tu. Ni bora mara 💯 kuendelea na Dkt Samia siyo nyie wahuni na vibaraka wa ushoga maana viongozi wenu wote wameolewa na wana madume huko ulaya
 
Bora aende Chadema kwani hata MBOWE aliwasaliti wanaCHADEMA wa kweli kwa kule kubadilisha GIA angani baada ya "kulambishwa"...

Ukistaajabu ya kutoaminika kwa Dr.Slaa na staajabu ya MBOWE "kununuliwa" baada ya kwenda yule MSHENGA askofu G.....[emoji1787]
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Wakuu kuna habari ambayo nimeipata leo kutoka kwa mtu ambae yupo karibu zaidi na kiongozi fulani wa chama cha demokrasia na maendeleo, wengi mnakiita Chadema.

Ni hivi.. inasemekana baada ya Dkt. Slaa kuvuliwa hadhi yake ya ubalozi jana, kitu cha kwanza alichofanya ni kumpigia simu mwenyekiti wake wa chama wa zamani ili kumuomba wakutane nae haraka iwezekanavyo.

Mwenyekiti alipotaka kujua sababu ya yeye (dokta) kutaka kukutana nae ilhali wanaweza kuongea tu kwenye simu wakamaliza, Dr akamwambia kwamba anaomba wakutane nae ili amuombe msamaha kwa usaliti aliyoufanya mwaka 2015, na pia kumuomba msamaha kuhusu ile kauli aliyoitoa wakati ule Mbowe akiwa kafungwa kwa kesi ya uhaini.

Mwenyekiti alivyosikia hivyo akamuuliza kama lengo lake haswa ni kuomba msamaha au alikuwa na lingine la zaidi. Maana kama msamaha tayari atakuwa ameshaomba kupitia kauli yake ile aliyosema au anaweza kuomba tu hapo hapo simuni wakasameheana yakaisha.

Dokta akasema lengo sio msamaha peke yake, bali anataka pia arudi chamani kupitia kukutana kwao huko.

Ndo mwenyekiti akamwambia kama una lengo la kutaka kurudi chamani basi ngoja niongee na baadhi ya viongozi wenzangu ili nisikie na wao maoni yao kabla hatujakutana. Kisha mwenyekiti akampigia makamu kumueleza kile alichoambiwa na dokta.

Aisee baada ya makamu kusikia habari za dokta kwanza akapandisha pumzi na kushusha, after that kilichobakia ilikuwa ni kumshambulia dokta na kumwambia mwenyekiti kwamba huyo dokta sio mtu tena wa kumkaribisha chamani maana hana moyo wa kweli wa kupigania mabadiliko nchini, yeye ana moyo tu wa kupigania tumbo lake na familia yake.

Makamu akatahadharisha kwamba ikiwa mwenyekiti atashupaza shingo na kumruhusu kujiunga upya na chama, basi mwaka 2025 kama chama hakitatimiza lengo lake la kutaka achaguliwe kugombea uraisi basi mwenyekiti huyo na chama kwa ujumla wajiandae kukutana na yale waliyokutana nayo mwaka 2015.

Makamu alisema kwamba ni mara kumi ingekuwa ni Zito ambae hakuwahi kuonesha kufurahishwa na yale yaliowakuta wapinzani wenzake mbali mbali, kuliko huyu mzee ambae hakuonesha utu hata kidogo kipindi mwenzake alipopigwa risasi na kupambania uhai wake.

Mwenyekiti baada ya kusikia maoni ya makamu wake akawapigia wengine ambao nao hawakupendezewa na uamuzi wa dokta huyo kurudi chamani.

Baada ya hapo mwenyekiti akarudi kwa simu ya dokta na kumwambia kwamba mimi nimekusamehe, lkn swala la wewe kurudi chamani kwa sasa hivi sahau.

Mwenyekiti akakata simu huku akimuacha dokta akikosa la kufanya.

Ama kweli kifo cha nyani miti yote hutereza.
Kwa sasa kila anapojaribu kushikilia dokta anaanguka.

Jioni njema.
Kina Lucas Mbwa wa Shamba mmekuwa wengi siku hizi
 
Kama ndio kikosi mliotumwa bado mnatumia mbinu ya OVYO waajiri watu wenye akili ya namna ya kusema mambo.
Kuna listi huko twitter ikiorodhesha watu waliopangwa KUTUMIA MITANDAO KUTETEA UJINGA.
SWALI. Kwanini TISS panga pangua inaendelea? Je ina maana ndani ya idara hakuna weledi na uwajibikaji? Je kuna makundi? Je kuna strategy za kutetea uozo?
 
Hii Nchi imekuwa ya hovyo sana.
Mwananchi kupata habari imekuwa ni kwa hisani ya Ccm.
Magazeti yote kwa sasa yanatoa habari kwa maelekezo ya Nape. Redio, Tv woote ni ushuzi mtupu
Jf nayo imejaa wanaojiita chawa wa mama ilimradi kuvuruga watu tu.
Ndio maana TEC walitumia njia mbadala kufikisha waraka wao na ukafika vyema.
 
Ole kwa Ccm km Dr Slaa atarudi kwenye siasa za majukwaani.
Dr Slaa ni hazina ya Taifa
1693711404308.jpeg
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Wakuu kuna habari ambayo nimeipata leo kutoka kwa mtu ambae yupo karibu zaidi na kiongozi fulani wa chama cha demokrasia na maendeleo, wengi mnakiita Chadema.

Ni hivi.. inasemekana baada ya Dkt. Slaa kuvuliwa hadhi yake ya ubalozi jana, kitu cha kwanza alichofanya ni kumpigia simu mwenyekiti wake wa chama wa zamani ili kumuomba wakutane nae haraka iwezekanavyo.

Mwenyekiti alipotaka kujua sababu ya yeye (dokta) kutaka kukutana nae ilhali wanaweza kuongea tu kwenye simu wakamaliza, Dr akamwambia kwamba anaomba wakutane nae ili amuombe msamaha kwa usaliti aliyoufanya mwaka 2015, na pia kumuomba msamaha kuhusu ile kauli aliyoitoa wakati ule Mbowe akiwa kafungwa kwa kesi ya uhaini.

Mwenyekiti alivyosikia hivyo akamuuliza kama lengo lake haswa ni kuomba msamaha au alikuwa na lingine la zaidi. Maana kama msamaha tayari atakuwa ameshaomba kupitia kauli yake ile aliyosema au anaweza kuomba tu hapo hapo simuni wakasameheana yakaisha.

Dokta akasema lengo sio msamaha peke yake, bali anataka pia arudi chamani kupitia kukutana kwao huko.

Ndo mwenyekiti akamwambia kama una lengo la kutaka kurudi chamani basi ngoja niongee na baadhi ya viongozi wenzangu ili nisikie na wao maoni yao kabla hatujakutana. Kisha mwenyekiti akampigia makamu kumueleza kile alichoambiwa na dokta.

Aisee baada ya makamu kusikia habari za dokta kwanza akapandisha pumzi na kushusha, after that kilichobakia ilikuwa ni kumshambulia dokta na kumwambia mwenyekiti kwamba huyo dokta sio mtu tena wa kumkaribisha chamani maana hana moyo wa kweli wa kupigania mabadiliko nchini, yeye ana moyo tu wa kupigania tumbo lake na familia yake.

Makamu akatahadharisha kwamba ikiwa mwenyekiti atashupaza shingo na kumruhusu kujiunga upya na chama, basi mwaka 2025 kama chama hakitatimiza lengo lake la kutaka achaguliwe kugombea uraisi basi mwenyekiti huyo na chama kwa ujumla wajiandae kukutana na yale waliyokutana nayo mwaka 2015.

Makamu alisema kwamba ni mara kumi ingekuwa ni Zito ambae hakuwahi kuonesha kufurahishwa na yale yaliowakuta wapinzani wenzake mbali mbali, kuliko huyu mzee ambae hakuonesha utu hata kidogo kipindi mwenzake alipopigwa risasi na kupambania uhai wake.

Mwenyekiti baada ya kusikia maoni ya makamu wake akawapigia wengine ambao nao hawakupendezewa na uamuzi wa dokta huyo kurudi chamani.

Baada ya hapo mwenyekiti akarudi kwa simu ya dokta na kumwambia kwamba mimi nimekusamehe, lkn swala la wewe kurudi chamani kwa sasa hivi sahau.

Mwenyekiti akakata simu huku akimuacha dokta akikosa la kufanya.

Ama kweli kifo cha nyani miti yote hutereza.
Kwa sasa kila anapojaribu kushikilia dokta anaanguka.

Jioni njema.
Mumeanza kumlisha maneno Babu yenu nyie si ndio? Mtamuua mapema Sana.

Mwambieni Babu aende Vatican kuosha vyombo vya makadinali 😁😁😁😁

Kuvuliwa Ubalozi ni kama mabalozi wengine 3 waliwahi vuliwa na anaweza shitakiwa Kwa kosa la uhaini au jingine ikiwemo kutoa Siri za Nchi na Serikali ambayo ni kinyume na viapo vya kiutumishi,adhabu Huwa ni miaka 20 jela au mil.50 au vyote Kwa pamoja as per sheria ya usalama wa Taifa.
 
Back
Top Bottom