Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #81
Aende TLP mkuu.Aanzishe chama chake na kitime
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende TLP mkuu.Aanzishe chama chake na kitime
Una mkwara kwenye keyboardMakuwadi ya warabu koko yanatetea mapumbavu menzao ya ccm kwa hongo za warabu sisi wazalendo wa nchi hii tunawambia kwamba mamayenu anapaswa kurudisha pesa za hongo kwa mabwana zenu Dubai kabla ya 2025 vinginevyo kila tundu la mwili wake atazitolea.
Jamaa aliiacha Cdm kwenye wakati mgumu mno, aliumiza wengi sana kwa hatua ile bado akageuka kuwatupia mawe walipokumbana na mkono wa chuma kutoka Ccm na vyombo vya dola.Slaa alishiriki mchakato wote wa kumleta Lowasa na kuwa mgombea,ila alibadilishwa mawazo na mchumba wake Josephine chini ya uangalizi wa TISS. Gwajima aliwahi kueleza hili kwa kirefu zaidi.
Pole sana dokta. Zile kauli zako ulizotoa baada ya kuikimbia Chadema ndo imekuponza.Hivi wewe na hadithi zako hizi uwa hujisikii kuwa hata wajinga kuna siku moja watajua unazitunga mwenyewe na kuwa hazina hata chembe ndogo sana ya ukweli?
Naona hapo chini umepewa 'likes' na wengine hata kutoa "nzuri"
Ina maana kuna wajinga ambao unaweza kutumia kipaji chako hiki cha kutunga hadithi na ukapata mlo wa kila siku kutokana na kazi hiyo.
Unamaanisha akawe mfagiaji au?Labda arudi kanisani ili apangiwe kazi ya kufanya.
Yeye shabaha yake kuu ni kugombea uraisi na kurudishiwa cheo cha katibu mkuu basi.Ni vizuri aruhusiwe kurudi chadema lakini asipewe wadhifa wala cheo chochote. Apewe nafasi ya kugombea ubunge (si urais) ili tupate wasemaji wazuri bungeni!!
Huu upumbavu ulioleta hapa jukwaani ni mafala wenzako ndio watakupongezaHabari zenu wanaJF wenzangu,
Wakuu kuna habari ambayo nimeipata leo kutoka kwa mtu ambae yupo karibu zaidi na kiongozi fulani wa chama cha demokrasia na maendeleo, wengi mnakiita Chadema.
Ni hivi.. inasemekana baada ya Dkt. Slaa kuvuliwa hadhi yake ya ubalozi jana, kitu cha kwanza alichofanya ni kumpigia simu mwenyekiti wake wa chama wa zamani ili kumuomba wakutane nae haraka iwezekanavyo.
Mwenyekiti alipotaka kujua sababu ya yeye (dokta) kutaka kukutana nae ilhali wanaweza kuongea tu kwenye simu wakamaliza, Dr akamwambia kwamba anaomba wakutane nae ili amuombe msamaha kwa usaliti aliyoufanya mwaka 2015, na pia kumuomba msamaha kuhusu ile kauli aliyoitoa wakati ule Mbowe akiwa kafungwa kwa kesi ya uhaini.
Mwenyekiti alivyosikia hivyo akamuuliza kama lengo lake haswa ni kuomba msamaha au alikuwa na lingine la zaidi. Maana kama msamaha tayari atakuwa ameshaomba kupitia kauli yake ile aliyosema au anaweza kuomba tu hapo hapo simuni wakasameheana yakaisha.
Dokta akasema lengo sio msamaha peke yake, bali anataka pia arudi chamani kupitia kukutana kwao huko.
Ndo mwenyekiti akamwambia kama una lengo la kutaka kurudi chamani basi ngoja niongee na baadhi ya viongozi wenzangu ili nisikie na wao maoni yao kabla hatujakutana. Kisha mwenyekiti akampigia makamu kumueleza kile alichoambiwa na dokta.
Aisee baada ya makamu kusikia habari za dokta kwanza akapandisha pumzi na kushusha, after that kilichobakia ilikuwa ni kumshambulia dokta na kumwambia mwenyekiti kwamba huyo dokta sio mtu tena wa kumkaribisha chamani maana hana moyo wa kweli wa kupigania mabadiliko nchini, yeye ana moyo tu wa kupigania tumbo lake na familia yake.
Makamu akatahadharisha kwamba ikiwa mwenyekiti atashupaza shingo na kumruhusu kujiunga upya na chama, basi mwaka 2025 kama chama hakitatimiza lengo lake la kutaka achaguliwe kugombea uraisi basi mwenyekiti huyo na chama kwa ujumla wajiandae kukutana na yale waliyokutana nayo mwaka 2015.
Makamu alisema kwamba ni mara kumi ingekuwa ni Zito ambae hakuwahi kuonesha kufurahishwa na yale yaliowakuta wapinzani wenzake mbali mbali, kuliko huyu mzee ambae hakuonesha utu hata kidogo kipindi mwenzake alipopigwa risasi na kupambania uhai wake.
Mwenyekiti baada ya kusikia maoni ya makamu wake akawapigia wengine ambao nao hawakupendezewa na uamuzi wa dokta huyo kurudi chamani.
Baada ya hapo mwenyekiti akarudi kwa simu ya dokta na kumwambia kwamba mimi nimekusamehe, lkn swala la wewe kurudi chamani kwa sasa hivi sahau.
Mwenyekiti akakata simu huku akimuacha dokta akikosa la kufanya.
Ama kweli kifo cha nyani miti yote hutereza.
Kwa sasa kila anapojaribu kushikilia dokta anaanguka.
Jioni njema.
😂😂😂😂Mkuu wewe ni me au ke? Ulivyomaliza kwa kusema kha nimepata mashaka kidogo
Unategemea nini kutoka kwa mtu aliyezungusha mikono na kiuno akiimbishwa mabadiliko lowasa!Wacheni Ugaidi na kuwachafua watu na Uwongo wa Kutunga.
Hivi wewe Mr Dudumizi na Lucas mwashambwa ni mtu mmoja au ndugu!!???Habari zenu wanaJF wenzangu,
Wakuu kuna habari ambayo nimeipata leo kutoka kwa mtu ambae yupo karibu zaidi na kiongozi fulani wa chama cha demokrasia na maendeleo, wengi mnakiita Chadema.
Ni hivi.. inasemekana baada ya Dkt. Slaa kuvuliwa hadhi yake ya ubalozi jana, kitu cha kwanza alichofanya ni kumpigia simu mwenyekiti wake wa chama wa zamani ili kumuomba wakutane nae haraka iwezekanavyo.
Mwenyekiti alipotaka kujua sababu ya yeye (dokta) kutaka kukutana nae ilhali wanaweza kuongea tu kwenye simu wakamaliza, Dr akamwambia kwamba anaomba wakutane nae ili amuombe msamaha kwa usaliti aliyoufanya mwaka 2015, na pia kumuomba msamaha kuhusu ile kauli aliyoitoa wakati ule Mbowe akiwa kafungwa kwa kesi ya uhaini.
Mwenyekiti alivyosikia hivyo akamuuliza kama lengo lake haswa ni kuomba msamaha au alikuwa na lingine la zaidi. Maana kama msamaha tayari atakuwa ameshaomba kupitia kauli yake ile aliyosema au anaweza kuomba tu hapo hapo simuni wakasameheana yakaisha.
Dokta akasema lengo sio msamaha peke yake, bali anataka pia arudi chamani kupitia kukutana kwao huko.
Ndo mwenyekiti akamwambia kama una lengo la kutaka kurudi chamani basi ngoja niongee na baadhi ya viongozi wenzangu ili nisikie na wao maoni yao kabla hatujakutana. Kisha mwenyekiti akampigia makamu kumueleza kile alichoambiwa na dokta.
Aisee baada ya makamu kusikia habari za dokta kwanza akapandisha pumzi na kushusha, after that kilichobakia ilikuwa ni kumshambulia dokta na kumwambia mwenyekiti kwamba huyo dokta sio mtu tena wa kumkaribisha chamani maana hana moyo wa kweli wa kupigania mabadiliko nchini, yeye ana moyo tu wa kupigania tumbo lake na familia yake.
Makamu akatahadharisha kwamba ikiwa mwenyekiti atashupaza shingo na kumruhusu kujiunga upya na chama, basi mwaka 2025 kama chama hakitatimiza lengo lake la kutaka achaguliwe kugombea uraisi basi mwenyekiti huyo na chama kwa ujumla wajiandae kukutana na yale waliyokutana nayo mwaka 2015.
Makamu alisema kwamba ni mara kumi ingekuwa ni Zito ambae hakuwahi kuonesha kufurahishwa na yale yaliowakuta wapinzani wenzake mbali mbali, kuliko huyu mzee ambae hakuonesha utu hata kidogo kipindi mwenzake alipopigwa risasi na kupambania uhai wake.
Mwenyekiti baada ya kusikia maoni ya makamu wake akawapigia wengine ambao nao hawakupendezewa na uamuzi wa dokta huyo kurudi chamani.
Baada ya hapo mwenyekiti akarudi kwa simu ya dokta na kumwambia kwamba mimi nimekusamehe, lkn swala la wewe kurudi chamani kwa sasa hivi sahau.
Mwenyekiti akakata simu huku akimuacha dokta akikosa la kufanya.
Ama kweli kifo cha nyani miti yote hutereza.
Kwa sasa kila anapojaribu kushikilia dokta anaanguka.
Jioni njema.
Wamekudanganya, lisu kamwambia mbowe sera za nusu mkate hazina nafasi chadema.Yeye shabaha yake kuu ni kugombea uraisi na kurudishiwa cheo cha katibu mkuu basi.
Ukiniwekea padre slaa na andazi, mapema mno nachukua zangu andazi!!Yeye anatafuta chama chenye umaarufu ambacho kitampitisha kugombea uraisi 2025
Milioni mia tano nyingi hivi, yeye apeleke milioni tano na box la konyagi tu, mapema tu anapewa na ujumbe kamati kuu taifa.Alichokosea Slaa ni kutotanguliza dau mezani. Kabla ya maongezi angeweka hata milioni 500 mezani huyo Mbowe angemrudisha chamani na kumteua kuwa mjumbe wa kamati kuu. Sema Slaa naye ni kenge sana kuropoka ushuzi wakati washkaji zake waliokuwa nae chama kimoja walipopatwa na matatizo. Alizingua kinyama kwenye ishu ya Lissu na Mbowe.
Mimi ninashauri Dr Slaa ajiunge WCB wazunguke nae kwenye Wasafi Festival.
Babu padre slaa hapo uligusa kwenye mfupa kabisa, mbowe Hana shukrani kasamehewa Kesi yake ya ugaidi lkn kila siku kazi yake ni kumtukana Samia na serikali yake.View attachment 2736907Huyu Mzee akirudishwa CHADEMA mimi narudisha kadi.
Kaburi lake hili hapa.View attachment 2736820dunia ina mengi sana